Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Najua unataka details,ilianzaje,nilimlaje,but Mimi Gentle man pia Nina heshima kwa Mishangazi so siwezi kuongea ya chumbani Hadharani, haha pole mkuuUongooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We chukulia ujuavyo, kama kuna Lecturer wa chuo kikuu anaweza kushindwa gharama za kupanga apartment na basic needs zinginezo basi huenda Marioo unayemsemea ni mume wa paula.Uongoo yeyote anaenda kwa shangazi due to mahitaji na huduma hasa financially, ni Marioo.
Hata huyo jamaa ni marioo, umesema kwa pesa zake binafsi asingeweza ku afford butters, ila za shangazi ndo zimetumika.
Sasa huyu si marioo na kiben10 kabisaaa. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DAda yake Mangungu atakufaa Sunzuπ€£π€£π€£Kama mkipata mshangazi mfupi mnipe mimi ndio kazi zangu
Niweke Mimi basi hapo alipotoka huyu jamaaMwenzio alikua anakonda had watu wanamstukia, kumbe ni sex worker, japo nilimuunganisha mie kwa shangazi, ilibidi nimchane ukweli toka hapo utakufaa weweee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vigezo unavyo Mamii π84kgs
Kama mama zuchu au sioMishangazi lazima Iwe minene...halafua ina gari ...ili niwe naendesha yani kama ile inaimbaga taarabu...
πππ akikosa lishangazi anaangukia kwa limjombaShida ya kutafuta mshangazi wa kukulea ukikosa kabisa utatafuta uncle
Kuwa makini kijana.
NaogopaaaKwani nasema uongo ndugu zangu....
Sifa kuu ya lishangazi haliombi ombi huduma za kifedha kwa kijana wa buku 2. Ukishaona unalilia kuhudumiwa ndio utoe mbunye ujue we huna sifa ya jishangaziπ ni freedom fighter tu.
π DahWakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
we ndo maana unafeli shangazi linakusalimia unajibu uko poa??Niko poa
Kamba hiiHahahahaha sio poa, kijana alikaliwa na mashine kama Scania R420 halafu inampelekea moto πππ akiwa anasubiria ujira wa Iphone new model
Tafuta kazi ya u house boy kwa wajane!!Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
ππππ unajua we mwehu voohShangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli π
Kwahiyo kumbe wapo wanaume wenye uwezo ila wanaipenda mishangazi? Basi mishangazi ina vitu pambeeeeEvery man deserves happiness bruhdaπ ndio maana wanaojua raha ya mishangazi wanasapoti mada. Kuna kijana namfahamu anaishi makazi yanayoeleweka jijini hapa na kashajengea familia yake mkoani huko sababu amejiattach kwa jishangazi lenye mipango na mipunga. Yeye anabadili mipira tu kwa sasa mara tako la nyani mara alphard kiufupi kajipata japo naye sio kwamba ni sifuri ni muajiriwa wa serikalini ila kwa kipato chake asinge afford hizo butters.
Habari yako shangazi πππππ unajua we mwehu vooh
35+ ..... Ila mizuri ni ile ya 45+Wakuu kwani Mshangazi ndo kuanzia miaka mingapi? Mie sielewagi hii kitu.