Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Kijana kazi unaiweza? Sitaki ooh mama tupumzike kidogo mshipa wa ngiri umekaza.
Njoo Karambezi tupate dinner afu nikufanyie training kwanza
Nadhani Mimi ndio nitakupa training ili uweze kuendana na pigo zangu. Maana nina PhD ya heshima kwenye swala zima la kukunjana 😉
 
Nadhani Mimi ndio nitakupa training ili uweze kuendana na pigo zangu. Maana nina PhD ya heshima kwenye swala zima la kukunjana 😉
Kijana wangu kwa maandishi yako unaonekana mwepesi inatakiwa nikubrush kidogo, nyie wenye kelele nyingi ni wabovu bado mna zile old missionary 🤣
 
Back
Top Bottom