Wakuu wa Mikoa wote wangefanya kama anachofanya Makonda tungekuwa mbali

Wakuu wa Mikoa wote wangefanya kama anachofanya Makonda tungekuwa mbali

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,508
Tumsifu Yesu Kristo.

Wakuu leo nipo kuwakumbusha ya kuwa utendaji anaofanya makonda kwenye ziara zake ndio unaotakiwa kwenye nchi kama hii, kuna watu watabishia hili kwasababu hawajawah kukutana na kadhia ya watendaji wa serikali kwenye maofisi.

Wengine hawajawah kufanya kazi za tender zinazotolewa na hizi manispaa au halmashauri, kwahiyo kazi zao ni kupinga kinachofanya na bwana yule...isitoshe na wengine hawajawah kukutana na issue zinazoitwa Ardhi iwe kudhurumiwa na kunyanyaswa na matapeli.

Ukikumbana na hayo hapo juu, ndio utajua umuhimu wa huyu bwana anafanya nini....na ndio ilitakiwa wakuu wa mikoa wote wafanye hivyo
 
Kuna mama mmoja alilia sana akamuombea maombi ya baraka yaaan unaona kabisa mama kashusha mzigo baada ya kuongea.

Sio siri makonda hata km unajifanya kumlaaani huku ika kuna wafu wanamuombea sana. Sasa njoo Dar unakutana na mkuu wa mkoa anakuambia ww km una miaka 40 huna hela usiilaumu serikali wakati mkoa huu unachangamoto za barabara tangu mvua ziishe zimeacha mahandaki ila kiongozi kakalia mipasho facken kabisa
 
Tumsifu Yesu Kristo.

Wakuu leo nipo kuwakumbusha ya kuwa utendaji anaofanya makonda kwenye ziara zake ndio unaotakiwa kwenye nchi kama hii, kuna watu watabishia hili kwasababu hawajawah kukutana na kadhia ya watendaji wa serikali kwenye maofisi.

Wengine hawajawah kufanya kazi za tender zinazotolewa na hizi manispaa au halmashauri, kwahiyo kazi zao ni kupinga kinachofanya na bwana yule...isitoshe na wengine hawajawah kukutana na issue zinazoitwa Ardhi iwe kudhurumiwa na kunyanyaswa na matapeli.


Ukikumbana na hayo hapo juu, ndio utajua umuhimu wa huyu bwana anafanya nini....na ndio ilitakiwa wakuu wa mikoa wote wafanye hivyo
Tunapotaka mifumo ibadalike ni Ili wananchi waweze kuwajibisha viongozi wazembe, wezi na Wala rushwa. Haya mambo ya kutegemea viongozi wanaosaka kiki, hayawezi kutatua utendaji mbovu wa viongozi.
 
Kwenye suala la ardhi hana Cha kuongea kwa sababu ni tapeli mzuri tuu gsm alitaka kumtoa mavi juzi juzi tuu hapo, kua mtendaji mzuri sio kubeba ma camera kwenda location kutafuta sifa kama anavyo fanya yule maskini wa akili
 
M
Kwenye suala la ardhi hana Cha kuongea kwa sababu ni tapeli mzuri tuu gsm alitaka kumtoa mavi juzi juzi tuu hapo, kua mtendaji mzuri sio kubeba ma camera kwenda location kutafuta sifa kama anavyo fanya yule maskini wa akili
Mtihani sana
 
Kwenye suala la ardhi hana Cha kuongea kwa sababu ni tapeli mzuri tuu gsm alitaka kumtoa mavi juzi juzi tuu hapo, kua mtendaji mzuri sio kubeba ma camera kwenda location kutafuta sifa kama anavyo fanya yule maskini wa akili
We Spana tayari wewe!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Makonda anafanya kazi nzuri inayogusa maisha ya wananchi wasio na mtetezi moja kwa moja. Ningemshauri, pamoja na hiyo kazi nzuri anayoifanya, aelekeze nguvu zaidi kwenye kujenga taasisi zenye mifumo imara, zitakazoweza kuwawajibisha watendaji na watawala wanaotumia mianya ya mapungufu ya mfumo kujineemesha na kujenga na kujijengea kiburi.

Aungane na wengi wanaotaka katiba mpya, hususani kuipigania Tanganyika irudi kwenye nafasi yake ndani ya muungano huu "Fake" .....Lakini atambue kuwa kazi anayoifanya siyo ya kutumwa na Samia wala CCM, bali ni hali halisi ya mmomonyoko wa utawala na utumishi wa umma.unaonufaisha kikundi kidogo cha watu ndani ya chama kikongwe na Serikali inayolindwa na katiba ya kikoloni.

Makonda atapita muda wake ukifika lakini Tanzania atakayoijengea misingi imara itabaki milele....
 
Kwahiyo tutegemee nini labda? Tell other way around
Tunapotaka mifumo ibadalike ni Ili wananchi waweze kuwajibisha viongozi wazembe, wezi na Wala rushwa. Haya mambo ya kutegemea viongozi wanaosaka kiki, hayawezi kutatua utendaji mbovu wa viongozi
 
Ila Makonda anajua kuwachota akili wajinga. Kuna mkutano mmoja bado akiwa mwenezi aliwaambia wananchi washeni tochi ili wale wa upande mwingine wajue. Akauliza mnawajua? Kuna majamaa yakasema CHADEMA hao. Ila Makonda akajibu ni mafisadi na wazembe kazini. Wakaona aibu kumbe Wala haikuwa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom