Unaweza kuniambia kikomo Cha uwaziri mkuu wa Uingereza?
Kikomo Cha ukansela wa Ujerumani?
Lakini umeona kiwango chao chaaadili kinavyo wawezesha kutokuwa na waziri mkuu au kansela wa maisha?
Umeona Uingereza wanavyo jiuzuru mawaziri wakuu wanapo ona kuna umuhimu wa kuwajibika?