Wakuu wa shule za sekondari nchi nzima Tanzania wamchangia Rais pesa za form ya kugombea Urais mwaka 2025

Wameanza Walimu, kundi linalofuata ni Watu wa Afya, Movie bado haijaisha.


Kuna taarifa za Chini chini kuwa kuna uwezekano Zikaprintiwa Fomu zaidi ya 1 Mwaka 2025, lengo ni kumuondoa kwenye kinyang'anyilo aliyepo.

Ngoja nifatilie undani wa hii Taarifa.

But wishing her all the best of Luck.
 
Huyu angemaliza tu kwa amani kwa huu utawala wa uliomdondokea kama embe, aende kulea wajukuu kwa amani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…