Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
bora waendelee tu kuteseka na mikopo umiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora waendelee tu kuteseka na mikopo umiza
Mnajidanganya, mwenyekiti wa CCM hawezi kupingwa na yoyote. JK licha ya udhaifu wote shibuda alichukua fomu akafukuzwa same to Membe kwa JPM alifukuzwa. Nikwambie tu hapa mgombea wa CCM 2025 ni Samia na fomu ni moja tu.Kuna taarifa za Chini chini kuwa kuna uwezekano Zikaprintiwa Fomu zaidi ya 1 Mwaka 2025, lengo ni kumuondoa kwenye kinyang'anyilo aliyepo.
Ndiyo hii taarifa nikasema nitaifatilia kwa undani, maana niliipata kwa Kada mmoja Mkongwe aliyehudumu Serikalini na Chamani kwa miaka 48 sasa.Mnajidanganya, mwenyekiti wa CCM hawezi kupingwa na yoyote. JK licha ya udhaifu wote shibuda alichukua fomu akafukuzwa same to Membe kwa JPM alifukuzwa. Nikwambie tu hapa mgombea wa CCM 2025 ni Samia na fomu ni moja tu.
🤣🤣 Kama nawe ni mwalimu,mzee wa kula kimasihara,Basi ni kupatwa kwa elimusisi waalimu tunampenda rais wetu anatujalii sana
kila mtu ni mwalimu mkuu..!!🤣🤣 Kama nawe ni mwalimu,mzee wa kula kimasihara,Basi ni kupatwa kwa elimu
Na lazima wasimamie na uchaguzi.Unajua kuwa Umoja wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA) wameshamaliza kazi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025? Walimu wako Serious sana kwa hili wamekua wa kwanza na wamevunja rekodi katika kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani!
My take, Hawa ndo wasimamizi wa wasimamizi wa uchaguziView attachment 2847924View attachment 2847925View attachment 2847926
Wewe ulitaka watetee nini? Mkono mtupu haulambwi.Kazi kweli kweli.Hapo pia Kuna upigaji Ina maana wamechanga shilingi ngapi ngapi?
Wanatetea posho ya madaraka 250K🤣🤣🤣🤣🤣🪑
Ulitaka litumike na Machadema au? 😁😁Hili ni kusanyiko la watu wajinga haswa, ni kundi linalotumika na CCM wala halina maana yoyote
Kwani Machadema ndio watawapa maisha ya asali na maziwa? 🤪🤪Acha waendelee kuwa masikini na kuishi maisha ya shida mitaani na madeni juu. Mpwayungu anasemaje juu ya hili?