Wakuu wa shule za sekondari nchi nzima Tanzania wamchangia Rais pesa za form ya kugombea Urais mwaka 2025

Wakuu wa shule za sekondari nchi nzima Tanzania wamchangia Rais pesa za form ya kugombea Urais mwaka 2025

Naona wengi mnawalaumu walimu!

Lakini hamjui masterminder was haka kamchezo amelenga nini!!

Wewe unashangaa hicho kimkutano haujui wakati was jiwe kulikua na umoja wa chama Cha mapinduzi walimu na tulikusanyika Kila mkoa kuanzia 2020 july,na ilikua shangwe mhusika alipoupata urais Kwa term la pili Kwa shangwe lite lile alidumu Kwa muda Gani madarakani!!?

Ukiona ushabiki no mwingi Kwa mhusika ujue roho ya mhusika inasherehekewa Ili Roho iuache mwili kiaharaka au aache kile anachokitamani!!

Muwe mnayatazama mambo Kwa muono tofauti sio kama muonavyo!!!
Mkuu wakusikilize vizuri.....
 
Mkuu wakusikilize vizuri.....
Muhusika angekubali hii bado no awamu ya tano na anafanyia kazi ilani ya chama ya 2020 na angeacha watendaji wale wale na kubadili mambo kidogo nakuhakikishia angeomba awamu ijayo wangemuonea huruma wakampa walau Kwa mhula mmoja,lakini kwakua kaifanya hii kama awamu ya kwanza ya kwake halafu Ile nyingine iwe kama ya pili ya kwake kaharibu,umepewa koti la kuazima lifue lirudishe uombe Tena sio unalifanya lako utagombana na mwenye nalo!!
 
Nyie watu hamwelewi kabisa hii move nyie!!

Ishu sio kuchanga fedha ishu ni hii technic ilivyo ni ya kumuingiza incumbent madarakani Kwa mara nyingine!!?

Kikwete,mkapa wakati wa awamu ya piliyao walifanys move kama hizi!!?

Kama mama ana uhakika kwanini afanye haya!!?

Wanaomruhusu afanye haya wanataka state of mind yake iweje !?iwe comfort zone ili iweje!!?


Huwezi shambulia wakati adui yupo conscious lazima awe comfort zone ndio owe Rahisi!!

Bad move kwakweli Bad move!!!
Let's wait and see, lakin elim ya zaman inankata sana, maake wajumbe wa elimu hiyo hawatofautiani na Baba levo
 
Let's wait and see, lakin elim ya zaman inankata sana, maake wajumbe wa elimu hiyo hawatofautiani na Baba levo
Ukweli wa elime ya zamani ilijikita kwenye ujamaa na kujitegemea!!

Hii ya Sasa ni office man sio ile!!

Japo hakuna uhusiano wa hiyo elim na lawama zinazotolewa na watz!!

Hao wakuu was shule ndani Yao Kuna mmafisa usalama kwenye mission zao!!

Wakuu mnaitwa kwenye semina Dodoma hamjui nini kitajiri na mchango wenyewe hats 5000/= unaweza usifike piga hesabu ya shule zote nchini gawa kwa 1600000/= uone kila mkuu atatoa sh. Ngapi kama sio buku mbili Hadi tatu!!

Unafika mnapigwa Hela ya semina halafu zinakuja madam uchwara kama hizo ndio wenye akili wanatambua hii sio seminah ni ujasusi was mbio za uraisi za kufa au kupona!!


Mngejua walim tunavofikiria mambo msingekua mnatuona kama tulivyo!no chenga za mwili za kutosha kati yetu na government!!
 
Back
Top Bottom