Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hii kada ina shida gani? Ni mental problems au nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafuatiwa na polisiWameanza Walimu, kundi linalofuata ni Watu wa Afya, Movie bado haijaisha.
NjaaHii kada ina shida gani? Ni mental problems au nini
Samia anayejenga hotel ya nyota tano ndiyo wa kupitisha bakuli kwa watu wasio na uhakika wa kesho yao?Ubarakaka, Unafiki, kujikomba, na kujipendekeza ni Kansa ya hatari sana inayodumaza Maendeleo barani Afrika.
Wewe ni Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ila waliochanga ni Wakuu wa shule za sekondari.Mmm mbona Mimi sijachanga au Mimi sio mwl mkuu
Sina uhakika kama umesoma katiba walau mstari mmoja.Muhusika angekubali hii bado no awamu ya tano na anafanyia kazi ilani ya chama ya 2020 na angeacha watendaji wale wale na kubadili mambo kidogo nakuhakikishia angeomba awamu ijayo wangemuonea huruma wakampa walau Kwa mhula mmoja,lakini kwakua kaifanya hii kama awamu ya kwanza ya kwake halafu Ile nyingine iwe kama ya pili ya kwake kaharibu,umepewa koti la kuazima lifue lirudishe uombe Tena sio unalifanya lako utagombana na mwenye nalo!!
Umemezeshwa eti mwlm mkuu ni msingi sekondari mkuu was shule unachelewaWewe ni Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ila waliochanga ni Wakuu wa shule za sekondari.
Hatari Mkuu, ndiyo maana kuna haja Katiba ya Nchi ikabadirishwaWatafuatiwa na polisi
sisi waalimu tunampenda rais wetu anatujalii sanaDuh! Walimu wamejitukana kwa mara nyingine tena!
Kisiwa cha UCHAWA na KUJIKOMBA KOMBA.Tanzania, Kisiwa cha ujinga.