Wako kwenye stone ageHawa wenye mwazo hayo n maskin wa kutupwa. Wamekulia kwny umaskin. Yaan mtu ukose wa kukuuguza uzeen na bank [emoji542] account inasoma billion 8+??
Watu hao akili zao bado zpo kwny "industrial age" ambapo wazaz walikua wana invest kwny watoto.
kwanini hujasema mwanamke akizeeka?siku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
Duh! Umeandika nini hapa? Wewe utakuwa mwanamke.Pesa sio kila kitu ukizeeka ndugu
Mnavyozungumza utafikiri wazee wote huwa wana akiba uzeenDuh! Umeandika nini hapa? Wewe utakuwa mwanamke.
Vitu pekee vinavyosimama na mwanaume mpaka kaburini ni Mungu na pesa yake tu. Hivyo vingine havina guarantee. Usije ukafanya kosa la kiufundi kama mwanaume uanze kuwa unasumbua wanao na simu za vizinga ukifika miaka 60.
Wana enjoy maisha ya Fantasy.Wakiitwa ni vijana wa hovyo wanalia wanadharauliwa ila hawajui kitu kinawahukumu ni hoja zao mfu!!!
Umemuuliza swali la msingi sana,huyo unakuta ameajiriwa anasubiri mshahara mwisho wa mwezi take home 600K ila yupo JF anazungumzia habari za B kadhaa!!!
Maliza kwanza chuo, uje uraiani kupata true taste of life. Mkikaa kwenye hayo ma group yenu ya vijana mnaishia kulishana habari za kufikirika.Ronaldo mpaka Sasa anawatoto zaidi ya watu lakin hajaoa ila katafuta mwanamke wa kimzalisha kwanin ...
Wakili wake alishamshauri na kumpa maoni kuwa ndoa ni scam na wanawake wote dunian wanaingua kwenye ndoa Kwa lengo la kuhudumiwa Bure Bure ,mwisho wa siku wanapataa tamaa na kuhitaji mali ambazo hawajazitolea jasho ...
Hivyo basi ni vzuri kuepuka ujinga wa kufunga ndoa ili kukwepa mambo ya kugawana mali ,pindi ndoa inapovunjika , taamaa za wanawake ni za hali ya juu kabisa ....
Wanawake wengi wanapata pesa haramu ( pesa yeyote unahopata Bure bila kuifanyia kazi ni haramu ) ,Kwa sababu pesa ni reward of soving someone problem,ila wanawake wanapenda kugawana mali za wanaume ambazo hawajachangia hata tone la jasho ...
Tunapoelekea tutaanza kufunga ndoa za mkataba ,na kuwekeana sheria ,maana vifo vya wanandoa na wapenzi havitakuha kuisha ...
Huwezi kuja kiholela tu unakuta Nina mali ,biashara ,nyumba ,magari ,nakuoa unazaa na Mimi mtoto mmoja ,then unaleta timbwili tuachane nikupe taraka tugawane pasu mali ,huu ni uhujumu uchumi na ujinga ,ulaya walishalijua Hilo ....na wanawake wengi wanaingua kwenye ndoa kimkakati ....
Kuolewa siku hizi ni biashara,wanawake wanaingia kwenye ndoa kimkakati , ndio maana hakuna mwanamke anayeolewa na masikin ,wote wakotayari kuolewa na mwanaume mwenye hela .....kiufupi hakuna mapenzi ila Kuna biashara ..,...
Mimi nitaoa lakin ndoa ya mkataba ,....Maliza kwanza chuo, uje uraiani kupata true taste of life. Mkikaa kwenye hayo ma group yenu ya vijana mnaishia kulishana habari za kufikirika.
Wote mnaopinga kuoa mnatumia mifano ya watu ambao hawapo kwenye jamii inayowazunguka, maana yake mmekosa mifano hai kutoka kwenye your immediate surrounding, sasa sijui hamjagundua kwamba mna tatizo sehemu au mmeamua kujizima data.
Unaweza sema wanakuelewa kumbe wanakuchuuza. Unafki ni mwingi sana kuliko uhalisia. Mbali na hoja nyingi za maana zilizotolewa kuhusu umuhimu wa kuoa pia kwa mtu mwenye Imani kwa Mungu lazima atafikiria kuoa kuepuka dhambi zisizo na lazima.as a thread prolongs nafurahi wengi wanaanza Kunielewa! Yeah.. Good Move!
This is Africa, ukijaribu kuishi kama upo America lazima upigwe na kitu kizito.Mimi nitaoa lakin ndoa ya mkataba ,....
Binadamu by nature tunachokana na mtu akishakuchoka na kutaka kuondoka hakuna namna ya kuanza kumlazimisha abaki ni kumuacha aondoke tu ,.....kitu ambacho wengi hawawezi Kwa Sasa kutokana na gharama na pesa alizotumia kumpata wanaishia kuuana ....
ila kama unaoa mtu unajua kabisa huyu one day atabadoli mindset na kuondoka lazima mkataba utengenezwe kuachana kiusalama .....
Kufunga ndoa za mpaka kifo huo ni ujinga ....
Mwambie watu wanaishi kwa Pattern humu.Unaweza sema wanakuelewa kumbe wanakuchuuza. Unafki ni mwingi sana kuliko uhalisia. Mbali na hoja nyingi za maana zilizotolewa kuhusu umuhimu wa kuoa pia kwa mtu mwenye Imani kwa Mungu lazima atafikiria kuoa kuepuka dhambi zisizo na lazima.
Tuletee pointi za msingi za kwa nini tukubali kuoa sio vifungu vya bibliaMhubiri 4:9-12
Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwa peke yake.Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yao. Ikijatokea mmoja akaanguka, Huyo mwenzake atamwinua. Lakini Ole wake aliye peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mtu wa kumwinua!. Hali kadhalika, wawili wakilala pamoja watapata joto, Lakini mtu akiwa peke yake atajipatiaje joto?Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui lakini wakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
Ronaldo mpaka Sasa anawatoto zaidi ya watu lakin hajaoa ila katafuta mwanamke wa kimzalisha kwanin ...
Wakili wake alishamshauri na kumpa maoni kuwa ndoa ni scam na wanawake wote dunian wanaingia kwenye ndoa Kwa lengo la kuhudumiwa Bure Bure ,mwisho wa siku wanapataa tamaa na kuhitaji mali ambazo hawajazitolea jasho ...
Hivyo basi ni vzuri kuepuka ujinga wa kufunga ndoa ili kukwepa mambo ya kugawana mali ,pindi ndoa inapovunjika , taamaa za wanawake ni za hali ya juu kabisa ....
Wanawake wengi wanapata pesa haramu ( pesa yeyote unayopata Bure bila kuifanyia kazi ni haramu ) ,Kwa sababu pesa ni reward of soving someone problem,ila wanawake wanapenda kugawana mali za wanaume ambazo hawajachangia hata tone la jasho ...
Tunapoelekea tutaanza kufunga ndoa za mkataba ,na kuwekeana sheria ,maana vifo vya wanandoa na wapenzi havitakuha kuisha .......
Huwezi kuja kiholela tu unakuta Nina mali ,biashara ,nyumba ,magari ,nakuoa unazaa na Mimi mtoto mmoja ,then unaleta timbwili tuachane nikupe taraka tugawane pasu mali ,huu ni uhujumu uchumi na ujinga ,ulaya walishalijua Hilo ....na wanawake wengi wanaingua kwenye ndoa kimkakati .......huku Africa watu wanaishia kupigana risasi tu ila kama wangekuwa na mkataba walaa yasingetokea .......
Kuolewa siku hizi ni biashara,wanawake wanaingia kwenye ndoa kimkakati , ndio maana hakuna mwanamke anayeolewa na masikin ,masikini wote wanakimbiwa kama ukomaa ,wote wakotayari kuolewa na mwanaume mwenye hela .....kiufupi hakuna mapenzi ila Kuna biashara ..,...!!
Hakikisha kabla ya kuoa unatumia akili kuliko hisia ,ikiwezekana na mkataba kabisa uhusike ,maana binadamu by nature humchoka mwenzake ,na akija kupata mawazo ya kuachana na wewe ni kuachana salama bila tatizo....
Hiyo huwekwa kutokana na mazingira yetu ila ni ya mwisho ktk uhalisia wa nini maana ndoa,Hivi kwanini mnapojadili swala la kuonesha umuhimu wa ndoa mnatumia point za kuumwa?
Binafsi naona kabisa zipo hoja zenye mashiko za kumshawishi mtu na akakuelewa zaidi ya hizo habari za mtu kuoa kuhofia kuumwa au mtu wakumsaidia pindi akizeeka
Kama nawewe upo kwenye ndoa kwasbabu hizo basi unatakiwa ujitafakari sana na pengine ufanye kila uwezalo mke wako asijue kama yeye yupo hapo kama backup tu, hana umuhimu mwingine zaidi ya hilo.
Hope unapoongea haya una mfano labda wa baba yako kuachana na mama yako etc,wapo watu humu wanasema eti wanaume wengi wamekufa kwa sababu ya ndoa ukiwauliza wao baba zao wapo hai wanakwambia ndiyo na still wapo na mama zao.Mimi nitaoa lakin ndoa ya mkataba ,....
Binadamu by nature tunachokana na mtu akishakuchoka na kutaka kuondoka hakuna namna ya kuanza kumlazimisha abaki ni kumuacha aondoke tu ,.....kitu ambacho wengi hawawezi Kwa Sasa kutokana na gharama na pesa alizotumia kumpata wanaishia kuuana ....
ila kama unaoa mtu unajua kabisa huyu one day atabadoli mindset na kuondoka lazima mkataba utengenezwe kuachana kiusalama .....
Kufunga ndoa za mpaka kifo huo ni ujinga ....
Hiyo huwekwa kutokana na mazingira yetu ila ni ya mwisho ktk uhalisia wa nini maana ndoa,
Hope unapoongea haya una mfano labda wa baba yako kuachana na mama yako etc,wapo watu humu wanasema eti wanaume wengi wamekufa kwa sababu ya ndoa ukiwauliza wao baba zao wapo hai wanakwambia ndiyo na still wapo na mama zao.
Kama ndoa inasababisha kifo mbona huyo baba hajafa?jueni kwamba kifo ni nature ya kiumbe chochote kinachopumua uowe usiowe kufa utakufa saa ikifika awe mama awe baba uwe kijana,mimi nina ndoa ya miaka kumi with three kids sina sababu na wala sifikirii kuacha mke na yeye sizioni dalili za kuyumba sasa wewe mama yako na baba yako wanazeeka pamoja kinachokufanya ukimbie jukumu la mpaka kifo ni nini?unadhani maisha ya kuchukua huyu unaacha unachukua huyu unaacha ndiyo utakuwa ume-win?
Na mnadanganywa na maisha ya kihuni wanayoishi wasanii wenu,mtu ametokana na uzinzi refer Diamond atajua je kanuni za ustaarabu wa kuzaliana?iga alichofanya baba yako usiige wengine.
Kutengeneza familia yenye maadili,mwanaume kama baba kuwatengeneza watoto wake jinsi anavyotaka,hakuna malezi ya simu sijui video call muone mtoto wa MR II yule alizaa na Faiza unadhani akiwa aged 20 atakuwaje yule?kuishi kistaarabu ktk jamii ya wastaarabu (haiyumkiniki kila siku mwanaume aonekane ana mwanamke mpya huo siyo ustaarabu wa binadamu).Tuletee pointi za msingi za kwa nini tukubali kuoa sio vifungu vya biblia
Tulikwambia ni wote tunaamini uwepo wa Mungu huku ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Point ni kuwa " kataa ndoa " ...Lakin Ronaldo anaishi na mwanamke na watoto wake tofauti angeishi peke yake tunaozungumzia ni hao ambao hawaoni umuhimu wa kuishi na mwanamke
Wenye hela bongo sio wengi vile
Huyu hakusema umri wake ila obviously ni chini ya 30s sasa hakuna bachela wa umri huo verified bachela ni kuanzia 40 na kibaya zaidi wanadanganyana wote watoto humu hajatokea bado aliyeonja maisha hayo akasema kitu.Huis uzi mleta Mada ambae nie bachelor anaomba ushauri kwa wenzake jinsi ya kuishi Manisha yao sasa naona amevamiwa na watu wengine.