Kikubwa ni kuwa na watoto, huwezi kuwa mwanaume mwenye akili timamu kisha tumaini lako la uzeeni ukaliweka kwa mwanamke.wrong thinking. pesa ni ya maana ujanani tu ukiwa na nguvu za kuitumia. .ukishazeeka pesa is nothing. relationship ndiyo kila kitu hasa with your immediate family members-mke na watoto. waulize wenye pesa na hawana relationship nzuri na wanafamilia wao, watakwambia huzuni waliyonayo
Kuwa na watoto haimaanishi kuwa ni lazima uwe kwenye ndoa, tofautisheni MUME na BABA.Sasa hela ziwepo si inatakiwa watoto waziendeleee wakutunze ukizeeka nguvu zinaisha pia unadhan kina Bakhresa wajinga watoto wake kusimamia biashara
Usipokuwa kwenye ndoa maana yake watalelewa na mama zao wataelemea upande wa mama tuKuwa na watoto haimaanishi kuwa ni lazima uwe kwenye ndoa, tofautisheni MUME na BABA.
Kama utajaribu kufikiria kwa makini zaidi, utagundua kuwa:-Huyo ni kupe.Amevuka unyonyaji wa kawaida.Maisha ya wenza hutengenezwa kwa hatua na hazirukwi.Ndiyo maana huwa wanatafuta hela na kuishia kuibiwa au kutapeliwa.Ndiyo adhabu yao hiyo ya kukiuka maumbile asili ya maisha ya kibinadamu.Let them rot and sink in sorrowful ways![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi ambao wanaishi vizuri waliolea familia vyemaKama paka shume sio? 😂
Alafu ni wagomvi hao usiombe uwasemeshe
Basiiii.Kama hutaki kuoa,hakikisha una pesa nyingi,
Namanisha pesa nyingi kweli...
Mwanamke sio guarantee ya kutokuwa na huzuni uzeeni, ila pesa inakupa uhakika huo kwakua hautakosa watu wakukuzunguka abadani.Ujue saa zingine hela si kila kitu, haswa kwenye huzuni
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hahaha kama hizi ndio sababu za msingi za kuoa basi mleta mada yupo sahihi, yani unaoa ili upate wa kukuchambisha uzeeni?Si unazo nguvu za kuoga na kujichambisha ,Ngoja Kuna mda utafika utaelewa tu.
Uliona wapi mzee mwenye uwekezaji wake wa maana akazurura hovyo? Wanazurura makapuku tu.Ndio hao huzurura hovyoo
Utoto tu unakusumbua!!!Wewe ni Zwazwa, Kuna tofauti ya baba na Mume. acha kubeba mavi kichwani.
Wataelemea upande wa mama kama baba yao ni apeche alolo, kama zipo haohao mama zao watapigana kuhakikisha watoto wao wanakuwa karibu na baba yao.Usipokuwa kwenye ndoa maana yake watalelewa na mama zao wataelemea upande wa mama tu
Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
Wewe na wewe mbona una-act utoto?Hahaha kama hizi ndio sababu za msingi za kuoa basi mleta mada yupo sahihi, yani unaoa ili upate wa kukuchambisha uzeeni?
Muhimu ni kupata watoto wa kuendeleza kizazi chako, kisha miliki pesa uone kama utapa shida.
Hawa wanaleta mchezo na hela..yaani dogo namlipia milioni kadhaa za ada shuleni na chuoni then asione umuhimu wangu kisa Mama yake..hell noWataelemea upande wa mama kama baba yao ni apeche alolo, kama zipo haohao mama zao watapigana kuhakikisha watoto wao wanakuwa karibu na baba yao.
Unahisi angekosekana ingekuwaje?.asingefanyiwa MRI?Wewe na wewe mbona una-act utoto?
Zipo situation ktk maisha humkuta mtu siyo lazima uzeeke,assume upo above 30s umepata ajali mbaya inakulazimu uwepo wa mtu kukusaidia mpaka wakati wa haja za msingi za mwili wako unategemea mama yako akupeleke chooni au kaka yako au mdogo wako?
NB:Ninyi mnaojifanya hamjui au mnajua mnakuwa viburi kujifanya hamjui tembeleeni hospital kubwa hasa zile sehemu za maabara muuone umuhimu wa mwanaume mtu mzima kuwa na mke,unakuta mtu ameletwa kwa vipimo (hii niliiona juzi sept pale MNH tena bwana mdogo tu) alitakiwa kuvua nguo aingizwe kwenye MRI machine ikatangazwa msaidizi wake aende akaenda mkewe mnategemea ktk hali kama hii mama zenu wakawavue nguo?
Nonse nse kabisa.
Sawa utapata kila unachokitaka!!!Watu wanasema mtu asipooa akiugua ataona cha moto..yes kama mtu huyo ni hoehae.
Mtu mwenye hela utapata nursing service yoyote unayoihitaji.