Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Huu Uzi nausoma tu.

Nilikuwa team A saivi nimehamia Team B baada ya kupata kimwana mtoto aliyetayari kuishi na Mimi kwa shida na Raha

Anyway itabidi niwe observer Siwezi tia neno kwa Sasa. I need to experience this other side of life. I never know something good will happen to me

Never say never.
 
Wazee wangapi wanazeeka na bima za maana au hata milion 500 wangapi ukiangalia viongozi wafanya biashara wakubwa
Watawezaje kuzeeka na Bima kubwa wakati pesa zote wanazitumia kugaramia familia yake na ya mkewe? Kwa sie ambao hatuna mpango wa kuoa hatutakua na garama zA kulea familia ya mke na nduguze!!!!
 
Here you are not being realistic, watz wangapi unaowafahamu kwenye cycle yako waliooa na wasiooa wenye utajiri wa billion 5 tu achana na hizo 8 ulizosema
Hyo figure ipo hapo ili kupresent "kiasi cha kutosha cha pesa" doesnt necessarily mean 8 billions as numbers!
 
Wakiitwa ni vijana wa hovyo wanalia wanadharauliwa ila hawajui kitu kinawahukumu ni hoja zao mfu!!!

Umemuuliza swali la msingi sana,huyo unakuta ameajiriwa anasubiri mshahara mwisho wa mwezi take home 600K ila yupo JF anazungumzia habari za B kadhaa!!!
600k au sio
Haya bhana!!!!!
 
Unaweza sema wanakuelewa kumbe wanakuchuuza. Unafki ni mwingi sana kuliko uhalisia. Mbali na hoja nyingi za maana zilizotolewa kuhusu umuhimu wa kuoa pia kwa mtu mwenye Imani kwa Mungu lazima atafikiria kuoa kuepuka dhambi zisizo na lazima.
Kumbe ukioa ndo unaepuka dhambi duuuh pole kwa kua una akili mgando sana. Hawa waume na wake za watu tunaopishana nao kila sku kwny corridor Za guest houses kumbe wanakuaga wametoka kuepuka dhambi
 
Kutengeneza familia yenye maadili,mwanaume kama baba kuwatengeneza watoto wake jinsi anavyotaka,hakuna malezi ya simu sijui video call muone mtoto wa MR II yule alizaa na Faiza unadhani akiwa aged 20 atakuwaje yule?kuishi kistaarabu ktk jamii ya wastaarabu (haiyumkiniki kila siku mwanaume aonekane ana mwanamke mpya huo siyo ustaarabu wa binadamu).

Kujilinda na maradhi mbalimbali hatari HIV,UTI na siku hizi nasikia ipo UTI sugu,kutunza kipato maana kila mwanamke ana gharama zake,kupata utulivu wa maisha na akili ya mwanaume kupanuka zaidi pindi akiwa na majukumu,sababu ni nyingi usichukulie ndoa kama vita mimi hapa mke wangu na familia wamesafiri nyumba naiona kubwa yote ni kwa sababu bila wao maisha yangu siyafurahii.
"sababu bila wao maisha yangu siyafurahii."

Tatzo lako ww ni mtu dhaifu sana, ambae hujajijua ww ni nan ndo mana furaha yako inategemea kutoka external sources.

Kwa hyo kabla hujamuoa huyo unaemwita mke wako ina maana hujawah furahia maisha au sio

Na sku akikuacha/akifa manake utakosa furaha maisha yako yote au sio

Dont get too attached to women! ¡!!!!!!
 
Huyu hakusema umri wake ila obviously ni chini ya 30s sasa hakuna bachela wa umri huo verified bachela ni kuanzia 40 na kibaya zaidi wanadanganyana wote watoto humu hajatokea bado aliyeonja maisha hayo akasema kitu.

Wasome katikati ya mistari utagundua they don't know nothing about life,mifano yao wanaitoa kwa Elon musk,Christiano Ronaldo na daiomond unaweza kuona jinsi walivyo weupe,waulize baba zao na mama zao wapo pamoja watakwambia ndiyo sasa hoja zao ziko wapi?
1.Alokwambia ubachela mpaka ufikishe miaka 40 ni nan?? Tafafhali weka reference zako hapa.....

2.tunatolea mifano watu kama kina mondi, ronaldo na elon musk kwa sabab hawa n public figure, they are known by majority.

Hapa jran na nnapoishi kuna bachela ana miaka 34 ana nyumba, biashara yake kafungua matawi nchi nzma,,, anamilik hisa voda, toyota, na UTT amis. Lakn siwez kumtolea mfano kwa sabab yy sio public figure kwa hyo itakua ngum kufikisha ujumbe
 
Nilichelewa kuwa na mawazo haya katika ujana wangu ila nshaapa mke wangu akijichangaya tukaachana sitaoa tena! Siwezi kumuacha kwasababu za kawaida sababu watoto wanatuunganisha ila akizua imekula kwake asee
Kati ya vtu vzuri maishan mwangu ni "kuifahamu jamii forum" mapema. Kwa kweli imenishep sana kiakili.
 
Hii thread iko funny😂😂😂... yaan jamaa kaanzisha thread yake apate feedback tofauti nashangaa ndugu watanzania mmejawa na makasiriko... sio kweli kwamba usipooa utaishia kubaya uzeeni jamaa akitafuta maisha akawa mtamu mbona atazeeka akiwa mtamu tu kama kisheti ya nini makasiriko wanawane?! 😂😂😂😂
 
siku ukikua utajua nilimaanisha nini. bado utoto umekutawala kichwani
Usinambie siku nikikua,,,, jibu hoja kwa hoja mzee acha kuntishia tishia... Btw huenda ww ndo una utoto kichwan mwako mana cjaona popote ulipojibu kwa hoja zaidi ya kuandika majbu pet pet

Kuwa na umri mkubwa doesn't necessarily mean you have grown up NOOOO unaweza kuwa na miaka 40+ lakn akili yako bado ina umri wa miaka 12
 
Aliyekwambia hela ni matako kila mzee atakuwa nazo ni nani?na unaweza ukawa na hela lkn ukawa na mgonjwa ya utu uzima hizo biashara atasimamia nani?
"hizo biashara atasimamia nani?"

Kwa swali hili, yo still need more "financial education "

Mfanyabiashara cku zote anamilik vtu viwil
1.system
2.people

Hyo namba mbili ndo inaendesha namba moja afu namba moja ndo inampelekea Mfanyabiashara pesa popote pale alipo hata awe ICU

Na ndo mana leo hii mzee MENGI hayupo dunian ila IPP media, bonite bottlers nk bado zpo.
 
Back
Top Bottom