Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Hahahaha.....kuna demu nilimtumia nauli kutoka singida - dar.....akaila halafu hakuja na akakata mawasiliano......nikaona sio mbaya....baada ya nikamtafuta nikiwa mcheshi.....na uchangamfu like nothing happened..,.wala sikumuuliza.....baada ya kama wiki tatu nikamwomba tena aje....akasema hana nauli.....wala sikuwa na hiyana....mwanaume nikatuma tena....nikamwambia ntakupokea stend (coz hakuwahi kufika dar na hakuwa na ndugu kwa dar).....basi sijui binti aliona kapata bonge la bwana...hahahaha!!!!...akapanda gari aisee....kama utani....njiani naongea naye kwenye simu...nafuatilia kila sehem aliyofika.....kafika dar saa tano usiku.....ili tu kuhakikisha kweli kaja stendi nilikuwepo.....mpaka nikamuona....yuleeeeeee......hahahaha....nikazima na simu.....kudadeki sijui alilala wapi maskini......alikula nn...alirudi vipi kwao.....ila kiukweli mwenyewe iliniuma baadae.....kisasi nilichomfanyia ilikuwa too much...nilimpigia simu baada ya wiki moja.....alinitukana and kunilaumu sana.....aliapa hajawahi kufanyiwa kitu kama kile.....yani nilikubali niingie gharama mara mbili ili tu nimkomeshe....daaaaa...utoto huu....anyway..samahani sana Dada flora popote pale ulipo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ulikomesha
 
Safi sana
 
Balaa limenikuta Mara mbili kwa demu mmoja Mara ya kwanza tumekutana kwenye jiji LA joto tukabadilishana namba kipindi Niko mkoani mtoto akataka kuja .

Mwamba nikazama mfukoni nikatuma elfu 55 nauli elfu 30 hiyo ingine kwa ajili ya njiani

Mrembo akatoa hela akasema kesho anaanza safari ..alfajiri namcheki mrembo hapatikani baada ya siku tatu akaja na kisingizio aliibiwa simu..

Akasema tuma hela ya simu na nauli nitakuja ..nikajipiga na elfu 85 nikatuma ..

Kesho siku ya kujiandaa Mara shangazi kaja kwake hawezi kuja tena ..nikatulia kama hamna lolote.

Mara paaap nikatua dar mwenyewe akanipanga maeneo ya kukutana kilichomkuta aliomba anirudishie hela zote ili nimuachie aondoke

Kutuma hela ni kamari jamani unaweza kula au kuliwa lazima ujitoe ufahamu ila Mimi situmi tena n'goooo
 
acha tu mkuu inakera sana kama ushafanya maandalizi mazuri
 
Mkuu yupo mmoja nlimtumia alaf umefika usiku wa saa tano akaniambia kapoteza nauli na yupo na boda anamdai, akaendelea kukomaa nimtumie tena mimi nikamwambia boda amvue nguo ajilipe chake
 
Demiss,hao wasiojua,kama mimi tunaingia room ya hotel
1.funguo na hold mimi,kuoga unaanza wewe,ukiingia tu,naficha key,au twende wote kuoga,siwezi anza mimi nikuache wewe room,
hiyo tekinik ya longtime ago,tena kama nimelewa tukilala.kitanda nasogeza mlangoni.
Maana yake hutoki mpaka nami niamke,
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] haki ya nan kumbe tumeliwa wen
 
Tehteh unaroho ngumu. Bora ununue bidhaa online utakua na uhakka itafka, kulko kumtumia mtu nauli ili aje umvuruge[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tehteh unaroho ngumu. Bora ununue bidhaa online utakua na uhakka itafka, kulko kumtumia mtu nauli ili aje umvuruge[emoji3][emoji3][emoji3]
Wakati huo huna shida na hiyo bidhaa unachotaka ni mrembo wa hisia zako
 
Hahahahahaha
 
Demiss unanifundisha kitu sitokubali unipeleke hoteli unayoijua wewe, utanikuta hapo na utakuta nimeshaoga tayari, ukifika unaenda kuoga then tunaanza mchezo baada ya hapo tunaagiza vinywaji hapo ndio ntakuwa nimekubana
Kwa sababu nimekufundisha lakini Nina mbinu kibao huwez shindana na mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…