Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

Paragraph ya mwisho umeharibu sana...pesa za uzeeni za kingese sana, hazina vibe[emoji57]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
😁😁😁
Uzuri wa hivi vitu, watoto watakua hadi utapofikia take off stage brother na utawapa hiyo life unayotaka (based na story ya faza). You are doing just good brother
 
hivi watu wanalsema nifanye hiki nifanye kile "nitoboe" " nitoke" sasa utoke uende wapi? upate hiki na kile then what???
mafanikio hupimwa na mtu mwenyewe binafsi, ukiona hapo ulipo sipo basi nenda unapotakiwa kuwepo! That's all
Tatizo tuna complicate sana maisha na kufanya yaonekane magumu mno!! Unakuta maisha ni ufukweni ila watu wanayafanya kama ni bahari kuu...
mi binafsi nikiwa na uwezo wa kula bila wasiwasi wa kufa njaa hapo nmefanikiwa sana tena mno. Mengine majaaliwa
 
Dunia haiko level ndivyo ilivyo
 
Kauli yangu siku zote hata kabla sijamaliza chuo

"Sitaki nianze kutafuta cha kufanya baada ya kustaafu kazi kama wengi niliowaona, nataka nijue dira ya maisha yangu toka mwanzo"

Hii kauli bado inanipa nguvu sanaa na nashukuru Mungu kila industry au skills set nilizotamani nizijue, nimezimaliza. Siishi tena maisha ya kusema ningejua ningefanya kitu flani au uwezo wangu flani ungenitoa HAPANA. Sina hiyo regret

I define my life and success in my own terms na kitu nachoogopa labda kifo tu 😁😁 lakini nikiwa hai. Lazma iwe

Najua kwa hii flow na phrases kuna watu washanijua.. Sijali lakini 😁🙏🏽
 
Umeandika points tupu mkuu
 
Financial freedom mkuu ni muhimu sana
 
Wewe upo km mimi najiulizaga kwanini people wanapoteza muda kufuatilia life la watu wengine hasa bongo nakosa jibu kabisaaa sijui ni ujinga au ni nini isee!
 
Nyumba na magari nawaachia muyawaze😎
My biggest achievement kwangu ilikuwa na familia na Mungu alinijibu at the age of 28 nilikuwa tayari nimeolewa na watoto watatu nimemaliza kuzaa,
Mimi kwangu kitendo Cha kuwa na familia na kuzaa watoto wangu mapema kwangu ni mafanikio makubwa.
 
Ogopa sana mtu anaetumia sentence za "wapo watu..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…