Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
[emoji1787]Uzi huu kila mtu atakuwa na nyumba nzuri na gari na familia ila ndoto yake itakuwa kitu kingine ili kujikweza tu.
Mijitu mingi miongo miongo [emoji23][emoji1787]
Pesa ndio maisha na ndio matarajio mzee. Endelea kutarajia bila pesa mzeeWatu wengi wapo depressed sio kwa sababu hawana pesa za kuwaendeshea maisha yao Ila kuendana na matarajio ya jamii zao.
Anazilinda hizo gari na pesa, hana? Upo serious?Masters pale udsm ilikuwa ada ya mwaka mzima sh ngapi!?
Wapo wastaafu kibao baada ya kustaafu ndo wanajenga bado sana mkuu pambana ..Nipo bro na hapa yuko 42 ndo kaanza masters mwaka huu nilishawahi kuongea nae alisema alikuwa na plan kibao na alikuwa vizuri kiuchumi ila alifirisika mpaka kurudi kuajiriwa ila gari anazo kama 3 sema pesa hana na hizo gari kazilinda maana ni mtumishi sasa amechukua mkopo...la sivyo angeziuza watoto 4 wapo msingi wote .
Hii ni uongo ni uongo banaNimegundua vijana wanatumia nusu ya maisha yao kusoma shule badala ya kuishi.
Hivi unajua niliwaza nikuite uone venye mambo yapo 😂😂😂
Hongera kufanikiwa.Nyumba na magari nawaachia muyawaze😎
My biggest achievement kwangu ilikuwa na familia na Mungu alinijibu at the age of 28 nilikuwa tayari nimeolewa na watoto watatu nimemaliza kuzaa,
Mimi kwangu kitendo Cha kuwa na familia na kuzaa watoto wangu mapema kwangu ni mafanikio makubwa.
Exactly,
Watu wengi wana depression sababu ya kutaka maisha ambayo hata hawayahitaji kuwakamilishia furaha zao bali kufurahiwa, kupongezwa na kuonekana na watu wengine kuwa wamefanikiwa au ni watu wa maana sana. Mwisho wanapata walichokitafuta lakini bado hawapati furaha
Umebarikiwa sana kujua ni nini unachohitaji cha kwanza na kukipata [emoji1490][emoji1490][emoji1490][emoji2375]
Nakumbuka nilihitimu chuo nikiwa umri mdogo tu wa miaka 24 kasoro miezi kadhaa. Kwa enzi zile za JK sikuwa na shida sana ya kupata ajira kwahiyo nilianza ajira kwenye sekta binafsi siku chache tu baada ya mtihani wa mwisho chuo ilikuwa Julai.
Pia tangu nikiwa chuo nilikuwa nikijishughulisha sana na madili ya town kwahiyo kiukweli haikuwa shida kupata sehemu ya kujishikiza. Ile ajira niliifanya nikiwa na malengo ya kuja kujiajiri muda sio mrefu.
Wakati naanza kazi nikasema ndani ya miaka mitano lazima niwe na masters, nyumba nzuri, gari na ule mwaka wa sita naoa. Kwa hesabu za haraka ilikuwa nikiwa na miaka 29 niwe nimefikia hizo ndoto.
Kiukweli kwenye ile miaka mitano nilikutana na dhoruba nyingi sana ikiwemo kufeli karibu kila kitu nilichojaribu kwenye biashara kwasababu ajira niliacha ndani ya mwaka mmoja na nusu.
Nakumbuka kwenye hiyo miaka mitano nilipata admission ya kusoma Masters UDSM ila changamoto ikawa ada. Kuhusu nyumba na gari nilikubaliana na ukweli kwamba haiwezekani. Nikaona nitazame suala la mke. Huko pia nilifeli.
Wakati naelekea kutimiza miaka 30 ndo angalau ramani zikaanza kunyooka. Gari nikanunua nikiwa na 33yrs ambalo sikukaa nalo sana nikauza. Nyumba bado haijaisha.
Kimsingi nakaribia 40 ila hakuna uhalisia wa zile ndoto zangu za wakati ninatoka chuo. Kwa wananchi wengi wanaona niko poa ila binafsi naona muda unazidi kuchanja mbuga na ndoto za kushika kibunda zikiwa bado kutekelezeka.
Ninawashauri wote wenye changamoto ya umri kwenda huku hawajafikia malengo wazidi kupambana. Mbona Babu wa Loliondo alitoboa akiwa kikongwe?
Usijaribukama isingekua huyu Mungu inawezekana ningetafuta ushirikina.
Mm ni graduate mzuri tu lkn natamani Nika bet tuWatu wengi wapo depressed sio kwa sababu hawana pesa za kuwaendeshea maisha yao Ila kuendana na matarajio ya jamii zao. Mfano mzuri ni huo wa kutumia pesa kama kipimo cha thamani ya vitu vyote ikiwemo elimu
Ndio maana graduate asipopata pesa za kuishi life flani anajiona useless. Hii haipo sawa
Jomba lete mifano yenye uhalisia kwa maisha yetu.Kwanza jitambue wewe ni nani, kwa maana ya kuwa what is your definition of achievement halafu hela inafuata.
Kwenye maisha chochote utakachoamua kukifanya with passion ukakitilia mkazo kukielewa kwanza. kukubali kujifunza makosa yako kutoka na mbinu za wengine waliofanikiwa eventually you’ll make it.
Whatever you do make it a passion and when the achievement comes it’s satisfying to you only and not to another person, na kila mtu ana definition yake ya achievement.
Chukulia huu mfano
1. Kuna hizi challenge za ‘millennium maths prize’ ambazo zawadi yake ni $1 million dollar. Zipo problems saba katika hizo moja tayari ina solution (Poincaré Conjecture) jamaa aliejibu definition yake ya success kwa umri wake ilikuwa na ku solve hiyo problem tu na anaishi na mama yake mtu mzima kwenye flat huko Russia.
Zawadi ya ku solve one equation hiyo $1 milllion jamaa akaikataa. Sasa wewe unaweza shangaa why?jibu lake alipoulizwa lilikuwa hivi mtu ambae naweza jibu moja ya maswali magumu ya hesabu duniani naweza shindwa kweli kutengeneza dollar million kadhaa nikiamua kwa ku trade on the stock market au kwa kufanya biashara.
Sio hivyo tu alikuwa na job offers za Stanford university na other big institutions US ambazo zilikuwa tayari kumlipa mshahara kama huo wa million moja just to teach part time and do maths na aka kataa.
Somo hapo pursue what makes you happy ata ukipata hela una enjoy whilst doing your hobby, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala what the next person is doing.
Huyo jamaa ni binadamu kama wewe, biology yenu ni sawa.Jomba lete mifano yenye uhalisia kwa maisha yetu.
Mtu humjui, hakuji adanganye ili iweje? Sidhani kama watu wanasema uongoUzi huu kila mtu atakuwa na nyumba nzuri na gari na familia ila ndoto yake itakuwa kitu kingine ili kujikweza tu.
Mijitu mingi miongo miongo 😂🤣
Kweli binadamu! Upo 33 na una mtoto form one. Wewe Nadhani umshukuru mungu. Nilioa nikiwa 30 na sasa kijana wangu anataraji kuoa mwaka huu na mnalingana. Huoni wewe upo mbali sanaAisee pole sana na hiyo ndio dunia.
Sema nimekuja kugundua kwamba malengo watu tunatofautiana sana pia mitazamo jinsi tunavyoya pima maisha ndio maana wengine wanapokuona umepiga hatua wewe unajiona bado sanaaaaaa.
Binafs stress za umri pia zinanitafuna sana na kama isingekua huyu Mungu inawezekana ningetafuta ushirikina.
Kwangu kuwa na nyumba wala gari sioni kama ni hatua kivile.Nina nyumba ya kisasa tu na kagari pia nina watoto wa4 wanasoma wa kwanza anaingia form 1 mwakani na yoote haya yote nikiwa ndio nafunga 33 years.
Ila kwangu ndoto kubwa inayonifanya nijione kama nimechelewa sana ni ku establish buznes empire..hilo tu na kwa umri huu wa 33 najina kama nishazeeka tayat japo najitia moyo kwamba Mungu atanisaidia tuu...Kikubwa ni kuomba baraka na mkono wa Mungu utusaidie tusikate tamaa na kujikinai
Yani Kuna watu humu hata hela ya bando baada ya hili kuisha tutaitolea wapi mungu ndo anajua walahi 😢. Ila waajiriwa na wazaz muwalee watoto katika mazingira yanayokuza uelewa zaidi. Msitoe mabroila mkuuKuhusu family honestly sina cha kusema brother..ila hayo mengine sasa...nimekaa juz namwambia shemej ako kwamba after 6 tutakua tunapaswa ku inject almost 10M kwa mwaka kwa ajili ya malipo ya ada tu kwa watoto hapo mengine weka kando..na hapo unasomesha vishule vya kawaida tu hiv... sasa imagine ndio na umri ushasogea na ishu hazielewi hapo liku ag 50..si unaweza ukajitundika?
Na hawana chochote,hahahaWanaume wengi kwenye huu uzi wamegonga 33 yrs[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji38][emoji38]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app