Mimi ni WA 9139? Au maana 30's got no limit within 31-39.
Hupaswi kuhofu kusema ukweli. Mm Nina 41 Nina nyumba mbili Moja haijaisha ..Nina watoto kazi japo siipendi.
Kazi ninayoipenda naona kama siipendi japo natamani kitu ni Prestige tu. Hii kazi imaniudhi Sana. Nipo katika kuomba Allah niwe na maisha mazuri tu hizi kazi za tamaa zipite mbali.
Yaani I have dreams nadhani kuliko MTU yyt Yule
Mfano Mimi natimiza 29 huu mwaka nina watoto watatu tayari ..mapacha wawili na mmoja kivyake nimezaa na mademu wawili tofauti. Hao mapacha wanna 5years now na huyu mwingine 3years je nimechelewa au nimewahi??Miaka 33 una mtoto anaingia sekondari?
Namiliki begi la nguo tu,nikitaka kusafiri sipati tabu.Kwani saivi unamiliki nn mswaki au [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
HahahahaKusoma sio kazi, kazi kubadirisha masomo kuwa pesa.[emoji16]
Mkuu nadhani hujaelewa hapa, mtu unaweza ukawa na nyumba, gari ila drwam yako bado hujafika kabisa, na hela wala huioni, ila mtaani wanakuona una maisha mazuri..hapa nadhani hujapata pointUzi huu kila mtu atakuwa na nyumba nzuri na gari na familia ila ndoto yake itakuwa kitu kingine ili kujikweza tu.
Mijitu mingi miongo miongo [emoji23][emoji1787]
MwanitamussHii mada ni nzuri sana.Kwa upande wangu naona ni vyema sana kumshukuru Mungu kwa vile alivyokujalia na kutokujilinganisha na jirani yako.Muda mwingine unaweza dhani jirani yako unayemuona maybe anamiliki v8,range na mengineyo ana maisha mazuri lkn ukute anajitibu kansa,Figo inamsumbua au gonjwa ambalo hata uambiwe mbadilishane maisha hutaweza kustahimili anachopitia.Tunamkosea Mungu mara nyingi maana fikiria unasema mbn jirani yupo vizuri kumbe jirani yako ana share yake ya matatizo kwenye hii dunia.Wengine hujui utajiri wameutoa wapi maybe waliiba,kutoa kafara,kulala na mama au watoto zao.Wapendwa kuna mengi sana tusiyoyajua kwenye hii dunia ni vyema sana kumshukuru Mungu alichokujali maana mara nyingi hatujui lolote kuhusu tunalolitamani
Miaka 33 umezeeka?! Hujioni kuwa unaweza kufika 63?Aisee pole sana na hiyo ndio dunia.
Sema nimekuja kugundua kwamba malengo watu tunatofautiana sana pia mitazamo jinsi tunavyoya pima maisha ndio maana wengine wanapokuona umepiga hatua wewe unajiona bado sanaaaaaa.
Binafs stress za umri pia zinanitafuna sana na kama isingekua huyu Mungu inawezekana ningetafuta ushirikina.
Kwangu kuwa na nyumba wala gari sioni kama ni hatua kivile.Nina nyumba ya kisasa tu na kagari pia nina watoto wa4 wanasoma wa kwanza anaingia form 1 mwakani na yoote haya yote nikiwa ndio nafunga 33 years.
Ila kwangu ndoto kubwa inayonifanya nijione kama nimechelewa sana ni ku establish buznes empire..hilo tu na kwa umri huu wa 33 najina kama nishazeeka tayat japo najitia moyo kwamba Mungu atanisaidia tuu...Kikubwa ni kuomba baraka na mkono wa Mungu utusaidie tusikate tamaa na kujikinai
💪💪Epuka hiyo roho ya kujilinganisha na wengine kwa sababu kila mtu ana safari yake.
Mimi nina ma classmates wana majumba mpaka Dubai na Amerika lakini nami niko kivyangu napambana. Wengine ni vigogo huko serikalini wanajichotea tu mahela wamejenga mahekalu kila kona hapa mjini na wanasukuma ma Vogue. Na mimi hata Corolla ya mchongo sina. Na umri umeenda sana!
Ukijilinganisha na watu utapata msongo wa mawazo kwa maana lazima kutakuwa na watu wanaokuzidi tena mbali mno.
Na ajabu tukijilinganisha na wengine kamwe huwa hatujilinganishi na wengi tuliowazidi (ukiachilia mbali wenzetu wengi waliotangulia mbele ya haki). Huwa naona ni kama vile huwa tunamkosea Mungu kwa kukosa shukrani kwa kutufikisha hata hii hatua tuliyofikia...
Kama ni lazima kujilinganisha basi kufanyike kwa lengo la kujipatia motisha tu wa kupambana na si vinginevyo.
Una afya nzuri. Una gari. Unajenga...Una kazi...Bado uko kwenye 40s.
God has been good to you and you are blessed. Just keep hustling [emoji1545]
Epuka hiyo roho ya kujilinganisha na wengine kwa sababu kila mtu ana safari yake.
Mimi nina ma classmates wana majumba mpaka Dubai na Amerika lakini nami niko kivyangu napambana. Wengine ni vigogo huko serikalini wanajichotea tu mahela wamejenga mahekalu kila kona hapa mjini na wanasukuma ma Vogue. Na mimi hata Corolla ya mchongo sina. Na umri umeenda sana!
Ukijilinganisha na watu utapata msongo wa mawazo kwa maana lazima kutakuwa na watu wanaokuzidi tena mbali mno.
Na ajabu tukijilinganisha na wengine kamwe huwa hatujilinganishi na wengi tuliowazidi (ukiachilia mbali wenzetu wengi waliotangulia mbele ya haki). Huwa naona ni kama vile huwa tunamkosea Mungu kwa kukosa shukrani kwa kutufikisha hata hii hatua tuliyofikia...
Kama ni lazima kujilinganisha basi kufanyike kwa lengo la kujipatia motisha tu wa kupambana na si vinginevyo.
Una afya nzuri. Una gari. Unajenga...Una kazi...Bado uko kwenye 40s.
God has been good to you and you are blessed. Just keep hustling [emoji1545]
Watu kama nyie ndo mnatutia stress zaidiAisee pole sana na hiyo ndio dunia.
Sema nimekuja kugundua kwamba malengo watu tunatofautiana sana pia mitazamo jinsi tunavyoya pima maisha ndio maana wengine wanapokuona umepiga hatua wewe unajiona bado sanaaaaaa.
Binafs stress za umri pia zinanitafuna sana na kama isingekua huyu Mungu inawezekana ningetafuta ushirikina.
Kwangu kuwa na nyumba wala gari sioni kama ni hatua kivile.Nina nyumba ya kisasa tu na kagari pia nina watoto wa4 wanasoma wa kwanza anaingia form 1 mwakani na yoote haya yote nikiwa ndio nafunga 33 years.
Ila kwangu ndoto kubwa inayonifanya nijione kama nimechelewa sana ni ku establish buznes empire..hilo tu na kwa umri huu wa 33 najina kama nishazeeka tayat japo najitia moyo kwamba Mungu atanisaidia tuu...Kikubwa ni kuomba baraka na mkono wa Mungu utusaidie tusikate tamaa na kujikinai
Basi acha niiondoe hii comment maana naona wengi wamenielewa vibaya like am boasting myself but noo..sivy kabisa chiefWatu kama nyie ndo mnatutia stress zaidi
Kuna baadhi ya vitu umri huo kuanza kuvifanya ni rahis sana kukata tamaa japo unaweza uka achieve..Miaka 33 umezeeka?! Hujioni kuwa unaweza kufika 63?
ukishindwa kumudu hela ya kutumia kwa maitaji ya lazima usitegemee kuwa tajiriNakumbuka nilihitimu chuo nikiwa umri mdogo tu wa miaka 24 kasoro miezi kadhaa. Kwa enzi zile za JK sikuwa na shida sana ya kupata ajira kwahiyo nilianza ajira kwenye sekta binafsi siku chache tu baada ya mtihani wa mwisho chuo ilikuwa Julai.
Pia tangu nikiwa chuo nilikuwa nikijishughulisha sana na madili ya town kwahiyo kiukweli haikuwa shida kupata sehemu ya kujishikiza. Ile ajira niliifanya nikiwa na malengo ya kuja kujiajiri muda sio mrefu.
Wakati naanza kazi nikasema ndani ya miaka mitano lazima niwe na masters, nyumba nzuri, gari na ule mwaka wa sita naoa. Kwa hesabu za haraka ilikuwa nikiwa na miaka 29 niwe nimefikia hizo ndoto.
Kiukweli kwenye ile miaka mitano nilikutana na dhoruba nyingi sana ikiwemo kufeli karibu kila kitu nilichojaribu kwenye biashara kwasababu ajira niliacha ndani ya mwaka mmoja na nusu.
Nakumbuka kwenye hiyo miaka mitano nilipata admission ya kusoma Masters UDSM ila changamoto ikawa ada. Kuhusu nyumba na gari nilikubaliana na ukweli kwamba haiwezekani. Nikaona nitazame suala la mke. Huko pia nilifeli.
Wakati naelekea kutimiza miaka 30 ndo angalau ramani zikaanza kunyooka. Gari nikanunua nikiwa na 33yrs ambalo sikukaa nalo sana nikauza. Nyumba bado haijaisha.
Kimsingi nakaribia 40 ila hakuna uhalisia wa zile ndoto zangu za wakati ninatoka chuo. Kwa wananchi wengi wanaona niko poa ila binafsi naona muda unazidi kuchanja mbuga na ndoto za kushika kibunda zikiwa bado kutekelezeka.
Ninawashauri wote wenye changamoto ya umri kwenda huku hawajafikia malengo wazidi kupambana. Mbona Babu wa Loliondo alitoboa akiwa kikongwe?
Mkuu hapo ni parefu kwa sisi watu wa kawaida ila kwa mwingine hiyo 10M ni kodi ya frame ya miezi mi 3 tuuuu pale kariakoo na analipa ya mwaka mzima.Yani Kuna watu humu hata hela ya bando baada ya hili kuisha tutaitolea wapi mungu ndo anajua walahi 😢. Ila waajiriwa na wazaz muwalee watoto katika mazingira yanayokuza uelewa zaidi. Msitoe mabroila mkuu