Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

Mkuu

Usijichoshe kuhusu umri!

Biden kawa Rais wa US akiwa na miaka zaidi ya 70 wakati obama anastaafu urais akiwa na miaka pungufu ya 70!

Umri na mafanikio haviendani!!

Pia inategemeana mafanikio unayatafsirije!kwa mfano mimi sijawahi fikiri kuwa na Gari ni mafanikio bali ni matokeo ya aina ya kazi unayofanya kama Gari linahitajika!
Mi Naamini mafanikio ni kumiliki viwanda, taasisi kama hospitali mashule n.k

Kuoa sio mafanikio bali ni haki ya ASILI ya kiumbe yeyote hata sisimizi anaoa!msifanye Mambo ya KAWAIDA kuwa ya spesho Sana kiviile!!!

Kujenga NYUMBA ya kuishi sio mafanikio huko ni kujipambanua kama kiumbe wa kiume kama ndege vile wanavotengeneza viota Hayo sio mafanikio ni wajibu wa asili wa umiliki wa mipaka (territory)!

Kati ya vyote ulivyoorodhesha sijaona kinachoitwa mafanikio zaidi ya wajibu wa KAWAIDA kuwa mwanaadamu YEYOTE!!!

Hivyo tu ndugu!!
Asante sana
 
Me I'm turning 28 kitu pekee nachomilikini hizi dreads zangu nilizofuga kwa miaka kadhaa.

Nikizikata nikauza kwa urefu wake napata laki 7.

Nikimuomba mzee aniongeze laki tatu nipate milioni naenda kulima matikiti.

Nitapanda
mbegu za matikiti ambapo kwa heka moja nitapata miche 444.

Nikichukua miche 444 mara 5 kwakuwa kila mche utatoa matikiti hadi matano napata matikiti angalau 2000 kwa heka moja!

Nikiuza tikiti moja 2000 kwa matikiti 2000 napata 4000000 ndani ya miezi mitatu tu, imagine heka mbili!

Shamba nitapata la kukodi kwa laki moja tu huko Kibaha.

Mbegu nitanunua kwa bei nafuu hata laki haifiki.

Nitaajiri kibarua mmoja asafishe shamba na kupanda mbegu kwa 2000 tu kwa siku.

Pesa inayobaki nakodi mashine ya kumwagilia,

dawa ya kuulia wadudu hata elfu 20 haifiki,

pesa ya mtu wa kuangalia shamba,

Na kibarua wa kuvuna.

Haya nikilima misimu miwili tu najikuta nina 8M ndani ya miezi sita!


Yajayo yanafurahisha ngoja niende saluni!
 
Me I'm turning 28 kitu pekee nachomilikini hizi dreads zangu nilizofuga kwa miaka kadhaa.

Nikizikata nikauza kwa urefu wake napata laki 7.

Nikimuomba mzee aniongeze laki tatu nipate milioni naenda kulima matikiti.

Nitapanda
mbegu za matikiti ambapo kwa heka moja nitapata miche 444.

Nikichukua miche 444 mara 5 kwakuwa kila mche utatoa matikiti hadi matano napata matikiti angalau 2000 kwa heka moja!

Nikiuza tikiti moja 2000 kwa matikiti 2000 napata 4000000 ndani ya miezi mitatu tu, imagine heka mbili!

Shamba nitapata la kukodi kwa laki moja tu huko Kibaha.

Mbegu nitanunua kwa bei nafuu hata laki haifiki.

Nitaajiri kibarua mmoja asafishe shamba na kupanda mbegu kwa 2000 tu kwa siku.

Pesa inayobaki nakodi mashine ya kumwagilia,

dawa ya kuulia wadudu hata elfu 20 haifiki,

pesa ya mtu wa kuangalia shamba,

Na kibarua wa kuvuna.

Haya nikilima misimu miwili tu najikuta nina 8M ndani ya miezi sita!


Yajayo yanafurahisha ngoja niende saluni!
Nimecheka sana 😄
 
Epuka hiyo roho ya kujilinganisha na wengine kwa sababu kila mtu ana safari yake.

Mimi nina ma classmates wana majumba mpaka Dubai na Amerika lakini nami niko kivyangu napambana. Wengine ni vigogo huko serikalini wanajichotea tu mahela wamejenga mahekalu kila kona hapa mjini na wanasukuma ma Vogue. Na mimi hata Corolla ya mchongo sina. Na umri umeenda sana!

Ukijilinganisha na watu utapata msongo wa mawazo kwa maana lazima kutakuwa na watu wanaokuzidi tena mbali mno.

Na ajabu tukijilinganisha na wengine kamwe huwa hatujilinganishi na wengi tuliowazidi (ukiachilia mbali wenzetu wengi waliotangulia mbele ya haki). Huwa naona ni kama vile huwa tunamkosea Mungu kwa kukosa shukrani kwa kutufikisha hata hii hatua tuliyofikia...

Kama ni lazima kujilinganisha basi kufanyike kwa lengo la kujipatia motisha tu wa kupambana na si vinginevyo.

Una afya nzuri. Una gari. Unajenga...Una kazi...Bado uko kwenye 40s.

God has been good to you and you are blessed. Just keep hustling [emoji1545]
Jambo la msingi sana hili.
 
Aisee pole sana na hiyo ndio dunia.
Sema nimekuja kugundua kwamba malengo watu tunatofautiana sana pia mitazamo jinsi tunavyoya pima maisha ndio maana wengine wanapokuona umepiga hatua wewe unajiona bado sanaaaaaa.

Binafs stress za umri pia zinanitafuna sana na kama isingekua huyu Mungu inawezekana ningetafuta ushirikina.
Kwangu kuwa na nyumba wala gari sioni kama ni hatua kivile.Nina nyumba ya kisasa tu na kagari pia nina watoto wa4 wanasoma wa kwanza anaingia form 1 mwakani na yoote haya yote nikiwa ndio nafunga 33 years.

Ila kwangu ndoto kubwa inayonifanya nijione kama nimechelewa sana ni ku establish buznes empire..hilo tu na kwa umri huu wa 33 najina kama nishazeeka tayat japo najitia moyo kwamba Mungu atanisaidia tuu...Kikubwa ni kuomba baraka na mkono wa Mungu utusaidie tusikate tamaa na kujikinai
33 unajiona umezeeka mimi na sitini nakaa kwa baba yangu 😁
 
Nakumbuka nilihitimu chuo nikiwa umri mdogo tu wa miaka 24 kasoro miezi kadhaa. Kwa enzi zile za JK sikuwa na shida sana ya kupata ajira kwahiyo nilianza ajira kwenye sekta binafsi siku chache tu baada ya mtihani wa mwisho chuo ilikuwa Julai.

Pia tangu nikiwa chuo nilikuwa nikijishughulisha sana na madili ya town kwahiyo kiukweli haikuwa shida kupata sehemu ya kujishikiza. Ile ajira niliifanya nikiwa na malengo ya kuja kujiajiri muda sio mrefu.

Wakati naanza kazi nikasema ndani ya miaka mitano lazima niwe na masters, nyumba nzuri, gari na ule mwaka wa sita naoa. Kwa hesabu za haraka ilikuwa nikiwa na miaka 29 niwe nimefikia hizo ndoto.

Kiukweli kwenye ile miaka mitano nilikutana na dhoruba nyingi sana ikiwemo kufeli karibu kila kitu nilichojaribu kwenye biashara kwasababu ajira niliacha ndani ya mwaka mmoja na nusu.

Nakumbuka kwenye hiyo miaka mitano nilipata admission ya kusoma Masters UDSM ila changamoto ikawa ada. Kuhusu nyumba na gari nilikubaliana na ukweli kwamba haiwezekani. Nikaona nitazame suala la mke. Huko pia nilifeli.

Wakati naelekea kutimiza miaka 30 ndo angalau ramani zikaanza kunyooka. Gari nikanunua nikiwa na 33yrs ambalo sikukaa nalo sana nikauza. Nyumba bado haijaisha.

Kimsingi nakaribia 40 ila hakuna uhalisia wa zile ndoto zangu za wakati ninatoka chuo. Kwa wananchi wengi wanaona niko poa ila binafsi naona muda unazidi kuchanja mbuga na ndoto za kushika kibunda zikiwa bado kutekelezeka.

Ninawashauri wote wenye changamoto ya umri kwenda huku hawajafikia malengo wazidi kupambana. Mbona Babu wa Loliondo alitoboa akiwa kikongwe?
Mkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga nikauza baadhi ya vitu vyangu vya ndani, na niko mkoa wa mbali na nyumbani nikawa bodaboda mara dereva bajaji unadandia za washkaji unapiga deiwaka nawe upate pesa ya kula bahati nzuri mwaka jana mwishoni ndo nikapata ajira serikalini ni kama nilianzaa upya mana niliuza kila kitu naweka malengo yangu upya sina mke wala mtoto na hainipi stress cha msingi nina afya njema
 
Mkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga nikauza baadhi ya vitu vyangu vya ndani, na niko mkoa wa mbali na nyumbani nikawa bodaboda mara dereva bajaji unadandia za washkaji unapiga deiwaka nawe upate pesa ya kula bahati nzuri mwaka jana mwishoni ndo nikapata ajira serikalini ni kama nilianzaa upya mana niliuza kila kitu naweka malengo yangu upya sina mke wala mtoto na hainipi stress cha msingi nina afya njema
Kweli ni kupambana mkuu.ulipiga coz gan?
 
Me I'm turning 28 kitu pekee nachomilikini hizi dreads zangu nilizofuga kwa miaka kadhaa.

Nikizikata nikauza kwa urefu wake napata laki 7.

Nikimuomba mzee aniongeze laki tatu nipate milioni naenda kulima matikiti.

Nitapanda
mbegu za matikiti ambapo kwa heka moja nitapata miche 444.

Nikichukua miche 444 mara 5 kwakuwa kila mche utatoa matikiti hadi matano napata matikiti angalau 2000 kwa heka moja!

Nikiuza tikiti moja 2000 kwa matikiti 2000 napata 4000000 ndani ya miezi mitatu tu, imagine heka mbili!

Shamba nitapata la kukodi kwa laki moja tu huko Kibaha.

Mbegu nitanunua kwa bei nafuu hata laki haifiki.

Nitaajiri kibarua mmoja asafishe shamba na kupanda mbegu kwa 2000 tu kwa siku.

Pesa inayobaki nakodi mashine ya kumwagilia,

dawa ya kuulia wadudu hata elfu 20 haifiki,

pesa ya mtu wa kuangalia shamba,

Na kibarua wa kuvuna.

Haya nikilima misimu miwili tu najikuta nina 8M ndani ya miezi sita!


Yajayo yanafurahisha ngoja niende saluni!
Shukuru Mungu unamiliki hizo dread wengine hawana
 
Mkuu usikate tamaa mi kazi yangu ya kwanza nilipata 2019 nikiwa na miaka 30 baada ya kusota miaka 4 bila kazi toka nimalize chuo na ilikuwa na mshahara mzuri tu haya 2021 mkataba ukaisha sikuongezewa mkataba , nikarudi mtaani kumbuka hapo nishaanza maisha yangu ya kujitegemea maisha yalinipiga nikauza baadhi ya vitu vyangu vya ndani, na niko mkoa wa mbali na nyumbani nikawa bodaboda mara dereva bajaji unadandia za washkaji unapiga deiwaka nawe upate pesa ya kula bahati nzuri mwaka jana mwishoni ndo nikapata ajira serikalini ni kama nilianzaa upya mana niliuza kila kitu naweka malengo yangu upya sina mke wala mtoto na hainipi stress cha msingi nina afya njema
Usikate tamaa.
 
Yaani mwanangu kama tayari una exposure kuona watu wanavyopambana sehemu mbalimbali unaweza changanyikiwa. Halafu siku hizi kuwa watoto wa under 25 hapahapa Afrika wanakimbiza hatari.
Wananitia pressure japo mi nipo under 30 😅😅 wanakimbiza na tech wengi wao........
 
Epuka hiyo roho ya kujilinganisha na wengine kwa sababu kila mtu ana safari yake.

Mimi nina ma classmates wana majumba mpaka Dubai na Amerika lakini nami niko kivyangu napambana. Wengine ni vigogo huko serikalini wanajichotea tu mahela wamejenga mahekalu kila kona hapa mjini na wanasukuma ma Vogue. Na mimi hata Corolla ya mchongo sina. Na umri umeenda sana!

Ukijilinganisha na watu utapata msongo wa mawazo kwa maana lazima kutakuwa na watu wanaokuzidi tena mbali mno.

Na ajabu tukijilinganisha na wengine kamwe huwa hatujilinganishi na wengi tuliowazidi (ukiachilia mbali wenzetu wengi waliotangulia mbele ya haki). Huwa naona ni kama vile huwa tunamkosea Mungu kwa kukosa shukrani kwa kutufikisha hata hii hatua tuliyofikia...

Kama ni lazima kujilinganisha basi kufanyike kwa lengo la kujipatia motisha tu wa kupambana na si vinginevyo.

Una afya nzuri. Una gari. Unajenga...Una kazi...Bado uko kwenye 40s.

God has been good to you and you are blessed. Just keep hustling [emoji1545]
Amen umeongea vyema.
 
Uzi huu kila mtu atakuwa na nyumba nzuri na gari na familia ila ndoto yake itakuwa kitu kingine ili kujikweza tu.
Mijitu mingi miongo miongo 😂🤣
Watu wanamaisha kweli japo waongo wapo 😅
 
Back
Top Bottom