Wengi wamepokonywa kadi zao za bank na wake zao ...hali si shwariKuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Kaka, unawasi wasi una toumbe war?Mambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna mazingira ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI
Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
Kabla ya ndoa, vipato vyenu vinakuwa vyenu
Baada ya ndoa, kipato Cha mwanamke ni chake. Cha kwako ni chenu!
"Kataa ndoa" Wana sababu za msingi
Kikubwa umeoa mwanamke wa namna gani, kama mnaelewana vizuri na mnashirikishana utafurahia maisha, mishahara yenu mnaijumuisha na kuipangia matumizi, ila usisahau kuwa wanawake wanamahitaji makubwa kuliko sisi hehe lazima awe na ziadaMambo ni magumu kiasi chake maana kipato cha mwanamke ni chake, na kipato cha mwanaume ni cha wote... Lakini pia kuna gani ya kikazi ya mwanamke yanaleta hali ya sintofahamu ktk suala la kuaminiana kihisia... Huu utaratibu wa kusema MSAIDIANE nadhani hakuna mashiko sana na hii inapelekea mwanaume kujikuta unatengeneza bomu linalokuja kukulipukia mwenyewe baadae. NAJUTA MIMI yenu
Hongereni mliooa mama wa nyumbani na heshima mnaipata
tatizo humkojozi vizuri huyo bibie. Ila hakuna watu wahongaji kama wanawake kama ukimjuliaKabla ya ndoa, vipato vyenu vinakuwa vyenu
Baada ya ndoa, kipato Cha mwanamke ni chake. Cha kwako ni chenu!
"Kataa ndoa" Wana sababu za msingi
Si tunawapa π πHapo sasa
Kwanza sisi hela tunatoa wapi
Hela ya mwanamke ni chungu mnoNAKAZIA
Kabisa mkuu, bora ajitoe mwenyewe ila sio uipigie hesabu huwa hawapendi.Ujue unatafuta ugomvi ili uanze kumsingizia Mke wako kwamba hana Heshima, anakudharau, ni mjeuri kumbe vita unaitafuta mwenyewe.
Full ukakisi tu. Wewe n mimi kabisaNdoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Umeongea kwa Hisia sana mkuu Natafuta Ajira Kuna spana hapa zakuja kukusaidia kuelimisha vijanaWanawake wengi (japo si wote) asilimia kubwa ni selfish linapokuja suala la kutumia kipato chake kwa ajili ya familia.. mda mwingine mwanaume usawa unakaba huna hata shilingi lakini mkeo hawezi kukusaidia hata kama pesa anayo... wengi tunapitia changamoto hizi lakini tunavumilia.
Oa huyo binti acha kuangalia kazi yake maana hela zao ni zao peke yao, yani mwanaume unatakiwa ujue kabisa hela ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe..Kuna wanaume waliioa wanawake wanaofanya kazi/walioajiriwa kwa lengo la kurahisisha maisha.
Mambo yakopoje huko kwenye ndoa? leteni feedback.
Daah Yaani ndio mana tunaishi nao kwa akili ,mfano Nyumba yakwako yeye kanunua Kijiko TU kelele zake sasa πππ wanaume tumeumbwa matesoUtaweka kila kitu ndani ila mwanamke akinunua hata kijiko tu atakusimanga kinoma huku anakwambia yeye ndo ananunua kila kitu ndani
Una mabinti kama ndio kuna kitu kinaitwa Karma...))Ndoa ukweli ni utapeli ndio maana Mimi niliamua kuoa mama wa nyumbani Hana Cha kunifanya
Nyumba kaikuta na kila kitu ndani
Akicheza anabeba begi kwao!!
Niache kula bia halafu nianze sijui baby huo ujinga Sina full ukakisi tu nyumbani nakaa masaa6 Kati ya 24!!!
Sinaga huruma kwa mwanamke Mimi!!!
Kwanini mnakua hivyo?Ela yetu inauma balaa Yani
Yani hata tukikopa kulipa ni kipengele π€£π€£π€£
Hii ipo sana aisee, nafikiri ni hulka ya wanawake wengi sana.Utaweka kila kitu ndani ila mwanamke akinunua hata kijiko tu atakusimanga kinoma huku anakwambia yeye ndo ananunua kila kitu ndani
Sasa kulenga kuoa mtumishi si ni kupigia hesabu hela mke?Mwanaume unakaa kabisa unaipigia hesabu hela ya mwanamke?
Nafuu ipo kwa mama wa nyumbani, at least atakuwa loyal kwa mume wake, mke mtumishi anawajibika kwa mabwana kadhaa, bosi ofisini ni mume tosha kabisa mwenye mamlaka kuliko mume wa nyumbani, na tena anaogopwa kuliko mume wa nyumbaniMaumivu ni yale yale uoe Mtumishi na Usioe Mtumishi hakuna kinacho badilika.