Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Mtoa mada inawezekana hapajui dom, amebeba story za kwenye kahawa, ss tumejenga dom na tunapiga mihela, biashara zinafanyika sanaaaa ndo maana watu wana pesa sana dom ya sasa[emoji1316]
Dodoma nimekaa sana tu
 
Watalii gani waache kwenda serengeti, ngorongoro waende chato
Acha basi unafikiii si nilisikia kuna hifadhi hapoooo au nilisikiaga vbaya mkuuu😂
Kwahiyo huo uwanja saiv umekuwa kama pale jangwani pa mabasi ya mwendo wa harakaa
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Huenda umedanganywa mkuu! Demand ya nyumba za kupanga bado ipo juu sana Dodoma. Kama unampango wa kuwekeza kwenye hiyo sekta usisite, fanya hima
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Issue nini hatujui Historia au? Yani maamuzi yakutangaza makao makuu yalikuwa ya mtu mmoja? Keamba wewe tangia unasoma uko primary hukuwai kusikia makao makuu ya nchi yako ni Dodoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha basi unafikiii si nilisikia kuna hifadhi hapoooo au nilisikiaga vbaya mkuuu[emoji23]
Kwahiyo huo uwanja saiv umekuwa kama pale jangwani pa mabasi ya mwendo wa harakaa
Ni makazi ya ndege na popo
 
Ni upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sana
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]acheni stress baaasi!mwehu ni ninyi au yeye!!!??mtu amekufa unamuota mwehu ,nyumba zipi hazina soko hapo Dodoma?kuweni basi.

Wenye vyeti feki mnalia sana na magu kwa kua aliwatumbua aliyekufa ,kafa nyie acheni hoja dhaifu za kumponda marehemu,marehemu hana hatia.
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Wewe una matope kichwani si bure! Unawaza leo huwazi kesho!
 
Back
Top Bottom