Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

kabisa singida kuna vibe zaidi dodoma mi naona mavumbi na jangwa tu airport imewekwa sehem kama kariakoo ukishuka kwenye ndege unaenda kupanda bodaboda aisee sijui nani ali plan vile
Zamani ulikuwa mji mdogo, Mambo mengi waliyaweka karibu karibu...ukijumlisha ukuaji wa maendeleo, watu na shughuli...unakuta vitu vinasogeleana, na hii ipo sehemu kubwa ya nchi.

Kuna uwanja utajengwa wa Kimataifa nje kidogo ya mji.

Lkn pia mkuu, hutaki ukitoka uwanjani upande Bodaboda? Kwani unalazimishwa kupanda?

Pia mi naona uwanja umejitenga sana, hizo boda boda sijui ulizionea wapi? (Maana watu wakikusoma wanaweza pata picha tofauti kabisa).

Singida nimefika, Singida haiifikii Dodoma hata robo.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Duh?
 
[emoji3][emoji3]soko lile bhana walipoteza hela tu
Lile soko naona wamePlan for the future, ule ukanda wanataka kuukuza...kuna Stendi kuu ya mabasi kule, ni upande wa Wizara za Serikali, kuna uwanja utajengwa kule...Naona kule kutakuwa mjini kupya. Muda utaongea.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Kwa Tz hiyo ni kawaida, hamna biashara yenye uhakika! Katba mpya si kwa wanasiasa tu, hata kwa wafanya biashara, iwalindwe wasipukutishe mitaji yao Kwa kupunguza mamlaka za vichaa wanaopewa rungu!
 
Tatizo lako umekariri maisha nyumba unaweza kujenga hata kijijini inategemea malengo yako kuna watu wanaangalia miaka 10 au 20 ijayo na kuendelea wewe akili yako imelala na umekalili kuwa miji mikubwa ndipo unatakiwa kujenga, nikupe pole ila ujue Dodoma kuna uhaba mkubwa wa nyumba na hata serikali haitahama Dodoma, Rais Samia ameshatoa pesa kwa kila wizara ijenge ofisi ya kudumu Dodoma
asiyejua maana .................anashida sana ktk brain yake.
ila kwa ufupi tu ni kwamba,
chumba [master], sebule na jiko kwa Dom ni Tsh. laki 2 hadi 2.5k
kwa Dar hiyo pesa niya nyumba nzima, ya vyumba 3 kimoja master, sebule , dinning, public toi & kitchen.
 
Nina imani ipo siku 1 kitarudi chuma kingine kama alivyokua John au zaidi ya JOHN ndipo mtakapojua kuwa DODOMA ni keki inayodharaulika.. ipo siku 1 hii thread itakua inapitwa kama haionwi maana itakua aibu kuja kuisoma.
Dodoma ni mji ambao Serikali inatumia nguvu nyingi kuujenga, pamoja na changamoto za maji na hali ya hewa, wagogo hawakuwa na akili au msaada wowote wa kuendeleza mji wao. Ni kama Serikali imefyeka msitu kuanza ujenzi wa hili jiji.
 
Mmhhh we ndio wale wale umezaliwa pwani,umesoma pwani,umeoa pwani mzaramo mwenzio,hujawahi kuvuka zaidi ya chalinze,Dodoma huijuhi.
Dodoma nyumba zinatafutwa kwa udi na uvumba,na soko,demand ya kupanga ni kubwa sana,
Mi mdau wa nyumba,kuanzia kisasa,area c,uzunguni,meliwa,mtumba,kote huku vyumba na nyumba zinatakiwa sana na mahitaji ni makubwa.
Usisikilize story za vijiweni.Tembelea Dodoma ujionee,fika eneo linaitwa kisasa ujionee,
Watu wanakuja wanaona nyumba,wanapanda dau wakupe 600K kwa mwezi,wachukue nyumba kwa miaka mitano,we amia kwingine!!
Mi mwenyewe namshangaa ndugu. Watu Wanalipia nyumba hata hujaiweka tiles, aluminium wala ceiling body wanakupa kodi ya nyumba iliokamilika ili mradi waingie tu mhimu umeme na maji vingine unarekebisha wakiwemo. Mtoa uzi umeingizwa cha kike, wapangaji ni wengi nyumba hakuna usizungumzie vijijini hakunaga mtu wa kupanga kijijini.
 
Dodoma na Kilimanjaro kuna tofauti gani?
khaaaa we jamaa niwa kufunguliwa mashitaka haraka sana, huu ni udhalilishaji wa kimaeneo hivi kweli Kilimanjaro kwa baridi, mandhari ya ukijani mlima, mito na utulivu una enda fananisha na nusu jangwa? hembu omba msamaha hapa kutwa mara tatu kwanza kabla hatua za kisheria haziafwatwa.😂😂😂😂😂
 
Zamani ulikuwa mji mdogo, Mambo mengi waliyaweka karibu karibu...ukijumlisha ukuaji wa maendeleo, watu na shughuli...unakuta vitu vinasogeleana, na hii ipo sehemu kubwa ya nchi.

Kuna uwanja utajengwa wa Kimataifa nje kidogo ya mji.

Lkn pia mkuu, hutaki ukitoka uwanjani upande Bodaboda? Kwani unalazimishwa kupanda?

Pia mi naona uwanja umejitenga sana, hizo boda boda sijui ulizionea wapi? (Maana watu wakikusoma wanaweza pata picha tofauti kabisa).

Singida nimefika, Singida haiifikii Dodoma hata robo.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
siku ndege ikipolomoka pale ndio mtaelewa iyo project mpya haipo manake naona kama wagogo mmeamua kuuboresha huu huu
 
iyo chamwino sasa ukiisikia ukiwa dar na ukifika pale utacheka yani ni mashambani ni mibuyu tu nilichofurahia nilikula zabibu fresh zina taste flani hivi safi
 
khaaaa we jamaa niwa kufunguliwa mashitaka haraka sana, huu ni udhalilishaji wa kimaeneo hivi kweli Kilimanjaro kwa baridi, mandhari ya ukijani mlima, mito na utulivu una enda fananisha na nusu jangwa? hembu omba msamaha hapa kutwa mara tatu kwanza kabla hatua za kisheria haziafwatwa.😂😂😂😂😂
hajafika kilimanjaro huyu dodoma na lindi wako sawa bado sana
 
khaaaa we jamaa niwa kufunguliwa mashitaka haraka sana, huu ni udhalilishaji wa kimaeneo hivi kweli Kilimanjaro kwa baridi, mandhari ya ukijani mlima, mito na utulivu una enda fananisha na nusu jangwa? hembu omba msamaha hapa kutwa mara tatu kwanza kabla hatua za kisheria haziafwatwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
khaaaa we jamaa niwa kufunguliwa mashitaka haraka sana, huu ni udhalilishaji wa kimaeneo hivi kweli Kilimanjaro kwa baridi, mandhari ya ukijani mlima, mito na utulivu una enda fananisha na nusu jangwa? hembu omba msamaha hapa kutwa mara tatu kwanza kabla hatua za kisheria haziafwatwa.😂😂😂😂😂
🤪🤪🤪🤪Kweli Dodoma ni kama nusu Jangwa, ila Pana UTAMU wake. Pana joto litakalokusababisha uinjoi swimming pool.
kamwe hauwezi ku enjoy kuogelea ukiwa K'njaro.
 
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.

Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.

Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]

Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom