Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Huo ni mtazamo wako hauwezi ukawa mtazamo wa watu wote.
We are interdependence to each other huwezi ku-declare humtegemei mtu
yeyote utakuwa unadanganya unless wewe uwe motivational speaker.
Kutegemeana kupo lakini sio kutegemea au kutegemewa hilo ndo nalipinga. Ndoa nyingi zinakufa kwa sababu ya mitazamo kuwa tofauti. Mwanamke anategemea mume awe kama baba yake na Mwanaume anategemea mke awe partner (i.e mpambanaji mwenza ) kwenye kutafuta maisha. Mwanamke kumtegemea mwanaume ilikuwepo zamani na ilifanya kazi, kwa sababu wanawake wa kipindi waliweza ku compromise baadhi ya vitu. Waliweza kuwa wavumilivu na kumtukuza mwanaume. Kwa hio pointi ni kwamba kama mwanamke anataka kupewa Kila kitu atoboe kupitia ndoa inabidi ajishushe hamna namna. Ila kama anataka kuenjoy ndoa apate mwanaume ambaye watagrow together.
 
Hapana hizo ni hulka na mawazo ya kibinadamu,jambo la kuolewa halina mda wala ukomo wa umri.

Mimi binafsi nimeshuhudia ndoa nyingi sana ambazo wanawake wameolewa wakiwa above 35.

Mambo ya msingi za kuzingatia ili kutengeneza njia ya kuolewa

-Kujipenda kwa kuvaa vizuri na kuwa na muonekano mzuri sisemi ujichubue,oga vizuri kila sehemu ya mwili vizuri,paka mafuta au losheni ambayo itang'arisha mwili na siyo kukuharibu,tumia perfume yenye harufu nzuri na siyo ya kukera watu na kujitunza vizuri usigawe mwili kwa kila mtu siyo karanga hizo.Msubiri mumeo aje afungue vitu vipya kwenye box usije ukawa na kutu.[emoji177]

-kuwa na mwenendo na tabia njema uwapo kwenye jamii,kazini,kanisani au sehemu yoyote

-Kula chakula bora kwa kuzingatia afya yako

-kufanya mazoezi yatakayokuweka fit kiakili na kimwili.

-kuhudhuria kwenye ibada mbalimbali,seminar,Mikutano,sherehe na kwenye shughuli za kijamii kama misiba na shughuli za maendelea.

-Fanya kazi kwa bidii hakuna mwanaume anayempenda mwanamke mvivu,akimpenda basi anataka kumtumia
tu.

-Njia nyingne muhimu sana itakayokuhakikishia kumpata umpendae naye akupendaye ni kusali kwa imani kwa Mwenyezi Mungu bila kukata tamaa.Nakuhakikishia utapata unachositahiri kupata.[emoji120][emoji120]

Hizi ni njia anazoweza kutumia hata mwanaume kupata mke sahihi....

NAPENDA KUWATAKIA VALENTINE DAY,,[emoji312][emoji312][emoji3531]KWA WAPENZI,WANANDOA, FAMILIA,JAMAA NA MARAFIKI WOTE

UPENDO UDUMU KATIKA KATI YETU NA WATU WOTE[emoji123][emoji177][emoji322][emoji322]

Nifollow kupitia
petermarco65@gmail.com
Hapo kufanya kazi kwa bidii wazingatie Sana.
 
Wanawake above 30y hua wanamatatizo mengi. Nitakutajia 0.001% ya hilo lundo la matatizo yao

1. Uzazi unakua wa manati
2. Shahawa na manii zinapotea njia na mimba zinatunga popote pale
3. Wanqzaa watoto wenye mapungufu
4. Wanakua washabomolewa na njembaz sana
5. Wako waluwalu hawanautaratibu
6. Nyapu zimekomaa hata harufu yake sio ile tunayoipendaga
7. Maumbile yanachoka hata mvuto wa mapenzi unakua chini
8. Hata wao hawapati utamu vizuri (sugua utakavyosugua)
9. Hawatumwi

Source: Shemeji yenu
Kweli kabisa hasa namba 9.
 
Kama upo 32yrs for instance, hujapata partner ambaye una uhakika wa kuingia nae kwenye ndoa, basi ngoma itafika 35yrs bila bila, likelihood!

Ndoa sio kila kitu katika maisha!
 
Aunt financial services usikute unahitaji mume ambae haexist, tajiri, mzuri, mwenye majumba magari, mwenye nguvu za Simba, anaekupenda sana anajali sana na mengi ya kwenye tamthilia....punguza matarajio makubwa tule ubwabwa.

halafuuu umri una matter jitahidi kabla ya 30 uwe umeishikilia future japo kuolewa sio lazima pia sio kila mtu anataka.
 
Aunt financial services usikute unahitaji mume ambae haexist, tajiri, mzuri, mwenye majumba magari, mwenye nguvu za Simba, anaekupenda sana anajali sana na mengi ya kwenye tamthilia....punguza matarajio makubwa tule ubwabwa.

halafuuu umri una matter jitahidi kabla ya 30 uwe umeishikilia future japo kuolewa sio lazima pia sio kila mtu anataka.
Thank you for the advice, ila mimi niko simple wala sihitaji mambo makubwaa, mkaka tu wa kawaida ila yes awe anajali, napenda kudeka siyo sana lkn😂😂
 
Ni ujinga tu, na wale walio olewa chini ya miaka 30 lakini hawana watoto na hawawezi kuzaa wanabaki kusimangwa tu na jamii wana unafuu gani?
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona? Maisha yanaendaje? Ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekuwa na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikuwa nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekuwa huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na Jumapili njema...
Eti umekuwa huyo Auntie pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Usisikilize maneno ya watu.

Kuna dada yangu huyo,ni rafiki ya dada yangu wamesoma wote miaka hiyo.
Dada yangu aliolewa 2010...yeye amekuja kuolewa mwaka juzi 2020 akiwa na miaka 36.
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Hakika
 
Back
Top Bottom