Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Mm hapa ndo najisemeaga acha nitafute mtoto wa pili alaf niachane na mawazo ya kuoa

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hujanielewa.

Huyu mwanamme angesimama kama mwanamme, sio kibabe, kwa upendo na busara angeiongoza familia na isingevunjika.
Busara gani hapo angefanya kama mtu kaamua kukengeuka? Again kila mtu analimit ya uvumilivu na si kila mtu anastahili kuvumiliwa kama ilivyo si kila mtu anafundishika

Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 
Ila alikuja kuzidi mahali ndio maana ndio ikawashinda kwa uzoefu wangu wanaume wanaoendelezewa kielimu au kibiashara ndoa zao hufa, a moment mke akipata kazi au hela humuona mume si chochote
Kilanga tu 😅😅😅 bora kumuacha mke hivyo hivyo tu!
 
Si ndiyo hapo sasa mimi hili nitapinga miaka buku! Haiwezekani mume na mke wasaidiane kulipa bills!

Then linapokuja suala la kazi za nyumbani wote mnaenda kazini asubuhi mnarudi usiku mmechoka! Ila mkirudi mke ndiyo apike aoshe vyombo na bado afue na afanye usafi mume kumsaidia hataki na mkiweka housegirl lawama duuh!
Housegirl akiwepo haina shida ila atleast kapika jiongeze mtengee mumeo basi chakula kwenye tray au mezani aone tu umetenga wewe hata kama haujakipika inaleta raha😅
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Hilo janamke la aina hii uliliokota wapi[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Aya ya kwanza unasema ulioa akiwa corporate lady mwanasheria mwenye connection then badae unasema wewe ndo ulimlink na kumsomesha kitu ambacho kinapingana na mwanzo wako mkuu kwa jinsi hii shida ipo kwako ulioa pesa zake anyways inaonekana uyo manzi ni wale don care na wewe ni wale wanaojali flani pole kwa kuachika
Una mashushu balaa
 
Ulitaka mwenye degree na akili ya biashara halafu unataka asitumie degree yake na uwezo wake kutafuta biashara akuandalie maji ya kuoga??🤣🤣🤣....

Kuna mwenzako kaachana na mkewe sababu huwa hapokelewi begi akitoka kazini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ukitaka ufanyiwe hayo mambo ya kuwekewa maji ya kuoga achana na wanawake akili kubwa, oa wanawake wa kawaida wa kiswahili tena wale Wapenda taarabu n.k, wale huwa ni waoga wa kuibiwa mume, utaogea mpaka maji yenye iliki.
 
Yes hyo must na ukipata hela unamuona wa nini, upendo mzuri ni ule usio ji attach na material things
Ndio mi nasemaga daily sihongi wala stafuti mpenzi kwa kuhonga pesa ukinipenda bila hongo ndio ntajua upo serious na penzi lako😅 maana matapeli wengi wanafataga hongo zile! Uje tutafte na tuzile pamoja.

Wengine ni gari ama kazi nzuri anakuvizia wewe ujae aanze kuwatambia mashosti😂...Thats never gonna last.
 
Kwahio unataka mumeo umlishege chips kila siku ambayo hutaki kupika[emoji28]!

Nakusihi jikite kwenye kuwa demu wa mtu achana na ndoa! Muwe mnakutana weekend na kulana uroda tu
Siwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
 
Housegirl akiwepo haina shida ila atleast kapika jiongeze mtengee mumeo basi chakula kwenye tray au mezani aone tu umetenga wewe hata kama haujakipika inaleta raha[emoji28]
Mkuu hii sio shida, tatizo linaanza pale unapoanza oh mimi sili chakula cha dada, mara nguo zangu ufue mwenyewe zisishikwe na mtu mwingine. Hapo ndio hakuna rangi utaacha kuona
 
Ndivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Unaonekana una mdomo sana[emoji1787][emoji1787] eti mgonjwa wa akili hahaahaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]pole sana ingawa nimecheka hapo kupika kinyeo Cha kuku huwa ni kitamu sana, [emoji23][emoji23][emoji23] I understand you hivo vitu vidogo dogo huua ladha ya mahusiano kabisa imagine kumuelekeza mtu mzima huwa inachosha, angalia asiwaambukize watoto ujinga maana wataalamu husema watoto hurithi akili za mama
Hapo jamaa kala hasara yani😅
 
Housegirl akiwepo haina shida ila atleast kapika jiongeze mtengee mumeo basi chakula kwenye tray au mezani aone tu umetenga wewe hata kama haujakipika inaleta raha[emoji28]
Si unaona sasa mlivyo wabinafsi! Wewe unachojali ni kupata raha tu hujali kama mwenzako naye kachoka kama wewe au la!
 
Back
Top Bottom