cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo janamke la aina hii uliliokota wapi[emoji57][emoji57][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo janamke la aina hii uliliokota wapi[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Unaonekana una mdomo sana[emoji1787][emoji1787] eti mgonjwa wa akili hahaahaa
[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya kujichosha ya nini jamani natafta mtu namlipa afanye banaHapo jamaa kala hasara yani[emoji28]
Mkuu bila shaka nawe unatimiza majukumu yako yote! Huulizii mshahara wa mkeo na unamhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na watoto na unalipia bills zote peke yako!Huo uzungu mpelekee baba ako nyumbani kwenu. Ukiolewa lazima ufwate taratibu na sheria ikiwemo kumpikia mume wako. Kama hutaki kupika kaa nyumbani na mama ako ndio mtapangiana zamu za kupika sio kwa mume wako.
Teh teh teeeh!! Huo ni utumwa sasa.Wapo wanawake wanafanya kazi (za kutafuta hela) na nyumbani wanafanya kazi kama kufua, kupika na haki ya ndoa inatendwa vizuri.
Usisahau kuja kuleta mrejesho[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Dah sasa bibie kutenga chakula napo tu tabu jamani😅 hebu usiwe hivyo bana! Why do you want to establish a league on such a minor thing? Hivi hilo nalo ni kumfanyia favour mume pia? Afterall unapakua mnakula wote mbona iko poa sana tu.Si unaona sasa mlivyo wabinafsi! Wewe unachojali ni kupata raha tu hujali kama mwenzako naye kachoka kama wewe au la!
Kumekucha kikosi kazi kazini😅Teh teh teeeh!! Huo ni utumwa sasa.
Hatari sana,ndio maana wadada wamejaa kitaa hawaoni mbele wala nyuma. Vijana wa siku hizi ni wajanja hawaoi kizembeMkuu hii sio shida, tatizo linaanza pale unapoanza oh mimi sili chakula cha dada, mara nguo zangu ufue mwenyewe zisishikwe na mtu mwingine. Hapo ndio hakuna rangi utaacha kuona
Hata mimi nitakuambia wapo wanaume wanaotimiza majukumu yao na bado wanawasaidia wake zao kazi za nyumbani ilihali wake zao ni mama wa nyumbani tu! Je hiyo ni sawa?Wapo wanawake wanafanya kazi (za kutafuta hela) na nyumbani wanafanya kazi kama kufua, kupika na haki ya ndoa inatendwa vizuri.
Wooooi!! Hiyo ndoa au utumwa sasa!! Kujichosha kote huko ili?Kumekucha kikosi kazi kazini[emoji28]
Bila maelewano mapenzi ni ushuzi tu😅Hapo kwenye bond na chemistry nmepaelewa aisee...unaweza kuwa na demu mkali had washkaj wanakuonea wivu ila ukawa huna bond nae na chemistry hakuna..ila ukawa na demu wa kawaida tu ila mka connect vibaya mno...yameshanitokea haya mambo
Hawaoi sababu wanajua hawana uchumi wa kuhudumia huyo mke atakayekaa anakuwaza wewe muda wote utakula nini utavaa nini umekohoa au umejikwaa huko uliko! Maana yake mwanamke wa hivyo lazima awe mama wa nyumbani sasa vijana wengi wanataka kusaidiana maisha ndipo shida ilipo!Hatari sana,ndio maana wadada wamejaa kitaa hawaoni mbele wala nyuma. Vijana wa siku hizi ni wajanja hawaoi kizembe
Ni sawa kama mwanaume anafurahia kufanya hayo yote ila kwa asiye furahia hayo ana hiari ya kutofanya na haikupi wewe mamlaka ya kumkomoa!Hata mimi nitakuambia wapo wanaume wanaotimiza majukumu yao na bado wanawasaidia wake zao kazi za nyumbani ilihali wake zao ni mama wa nyumbani tu! Je hiyo ni sawa?
Kaa kwako uende kazini na kupitia chips kibandani kila ukirudi ili usichoke kwa kupika😅Wooooi!! Hiyo ndoa au utumwa sasa!! Kujichosha kote huko ili?
Ndiyo uangalie na siku sasa jamani! Kuna siku mwenzio anakuwa kavurugwa hata hamu ya kula tu hana achilia mbali hiyo ya kukutengea wewe msosi!Dah sasa bibie kutenga chakula napo tu tabu jamani[emoji28] hebu usiwe hivyo bana! Why do you want to establish a league on such a minor thing? Hivi hilo nalo ni kumfanyia favour mume pia? Afterall unapakua mnakula wote mbona iko poa sana tu.
Kwahio mume akirudi ajitengee mwenyewe maji ya kuoga, ajipakulie, ajioshee vyombo! Kimsingi mimi kama mumeo ungechagua mawili tu aidha uendelee na kazi au ubaki home ufanye mambo yanayostahili kufanywa.
Dah Yani mimi nimetoka na wewe kazini hunihurumii eti nikupie, sijui nibebe maji huko ni kuchoshana jamani, hyo ya nguo kufua nikununua tu machine hamna namna, hyo ya msosi weekend mtu waweza pika. Sasa mume asiyekuhurumia na kukugeuza kijakazi hafaiI second you. Wanawake sikuhizi wanaweka dada wa kazi training ya maana ya kupika plus usafi kila kitu. Kuingia jikoni mara moja moja especially weekend mume akiwa nyumbani. Hawafui kitu labda nguo za baba za ndani na za kwake. Bado hapo mwanaume atasema ukitoka kazini nataka kula chakula chako na maji unipelekee bafuni wakati kila kitu nyumbani kipo perfect
House maid anapika, analipwa kwa kazi hizo.Kaa kwako uende kazini na kupitia chips kibandani kila ukirudi ili usichoke kwa kupika[emoji28]