HahahahaAtleast una protect the Niggas Pride[emoji28] and this is what is called respekt!
Huyo bitch anakusoma tu anamsubiri mwanao ajichanganye[emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya uje utupie "trella" kwanza then nitakuambia[emoji23][emoji23]Hahahahaha nani kakutuma nitajie kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona yumo humu and he understands my madness mkuu, vitu ka hivi mnavolalamikia kwake sio issueMara paaah, huyo jamaa yumo humu na kwenye uzi kashatia neno[emoji16].
Wanaume wa kanda ya ziwa wake zao wana kazi haswa,hata mtoto analia hawezi mbembeleza alale au acheze nae ,mke yupo busy mwanaume kakaa miguu juu anasubiria ugali wa muhogo Na samaki ale aondoke aende kwa rafiki zakeKwa huko Pemba ni kawaida ila kwa sie huku Geita ni nadra sana😅
Ya kuleta viumbeKwahiyo yale ndo aina ya mahusiano mahusiano unayotamani? Halafu mtengeneze familia gani sasa[emoji1][emoji1].
Kwa wiki mbili mgeni ambaye ataendelea kutuma kila kitu au kujifanya hawezi kushiriki kazi za nyumbani ili kazi zote azifange mke wangu kwaajili yao, sitakubaliana nalo na kama ni low rank kiukoo ntaitisha kikao niwaambie, wasipobadilika watarudi walikotoka.Kuna wageni niliwahi wapokea nyumbani aisee waliishi kama walemavu kwa wiki 2.
Mtoto kenge kweli huyu😅Kwahiyo yale ndo aina ya mahusiano mahusiano unayotamani? Halafu mtengeneze familia gani sasa😄😄.
Wabadilike haswa[emoji23][emoji23][emoji23]wengi wavivu hawataki responsibilities then wanalaumu wengi
Alikuwa anapiga deki, anafua, anakanda chapati na kupika mandazi?Baba yangu hakuwahi kuishi kama mlemavu.
Nawashangaa watu humu mnaishi kama walemavu.
Imagine huyu kaenda kwa watu anawapangia Cha kufanya Hadi kutuma tuma watu ka mlemavuMkienda kwa watu punguzeni usumbufu usio wa lazima.
Si wewe hapa umetuambia kikombe kilikuwa karibu!kwanini usinyanyuke ukachukua?
Pia huwezi jua watu wamekubaliana kuishi vipi,,wewe umehudumiwa bado umekereketwa na mleta kikombe kweli mkuu!
Fanya kazi acha kulia lia wewe😅Kuna wageni niliwahi wapokea nyumbani aisee waliishi kama walemavu kwa wiki 2.
Hii ni dream ya kila mwana ila tatizo ni pale mke anapopanda cheo na kuwa meneja😅 analeta ubosi mpaka nyumbani😅Nimesoma malalamiko ni mengi humu! Nimeoa hao wasomi level ya masters nani mtumishi wa shirika fulani la serikali nani boss kwenye ilo shirika namaanisha ni wale wakuendeshwa na v8 ma safari kibao lakini niwe mkweli, msichana kiumri ni mdogo ana 32 mimi 36 na mimi sina elimu kama yake ni kijana wa form 6 na nina biashara zangu hapa mjini lakini naweza kusema huyu mke ana nizamu sijawai kuona... Tuna dada wa kazi na mtoto mmoja lakini anaamka sa 11 anandaa chai na cha mchana ndo anaondoka kwenda kazini na jioni lazima aulize mume unataka kula nini....
Tukiachana na hayo sijawai kuona hatimizi wajibu au kinivunjia heshima na ndoani huu ni mwaka wa7!!! Nafikiri kabla yakuoa chunguza uyo mwanamke na anapotokea yani familia yake... Kuna kitu tunasahau nacho ni ushamba! Usiombe kukutana na mwanamke hajui alafu ajifanye anajua au mwanamme wa style hiyo na Hawa ndo wanaitwa wajuaji kwenye ndoa lazima pawe pamoto....!!! Maisha ya ndoa haya husiani na elimu zenu au kipato ila mmoja akiwa vizuri anamuinua mwengine na maisha yanaenda safi!!! Men achana na kuwaza visenti vya hawa wakina mama maana unakuta kamshahara ni ka million 1.3 ila iyo jeuri ni balaa...
Tafuta Pesa yako kama mwanaume tunza familia kama baba kuanzia mke mpe pesa za shopping yake na watoto nyumbani vyakula viwepo vyakutosha sio maharage tu jaza nyama, samaki, kuku weka vile vyakula wanavyopenda nyumbani kwako na ukipata time weekend ingia jikoni mwambie mke leo nyie pumzikeni jumapili napika mimi baba andaa chakula kula mle vyombo dada atamalizana navyo....
Jioni aga mke naenda kuangalia mpira mama nitachelewa kidogo ndo time yakujiongeza sasa hope nimeeleweka hapo!!!!... Hutokaa usikie kelele tatizo hawa tunataka kuwafanya kama beki 3 na ilo ndo tatizo ila mimi pamoja na yeye ana kibunda ila anajua akifika kwangu mimi ni mume na anakuwa na adabu zote
Kupiga deki tena? Ikiwa Kwa hiyari yake ni Sawa, sio Kwa kutumwa😂Wewe ni mpemba/mzanzibari?
Nikuulize, hivi kijana wako siku akiwa na nyumba yake akawa anafanya kukanda chapati na kupiga deki mbele yako na mkewe yupo utaona kawaida tu?
Be honest!
Ovyoo sana....waiii[emoji57][emoji57]Wanaume wa kanda ya ziwa wake zao wana kazi haswa,hata mtoto analia hawezi mbembeleza alale au acheze nae ,mke yupo busy mwanaume kakaa miguu juu anasubiria ugali wa muhogo Na samaki ale aondoke aende kwa rafiki zake
Hii biashara ifanyike kwa muda tu! Kwani ndoa inajengwa na wawili kuishi under one roof.Pamoja na yote haya, mnasahau kuwa kuna kutengana kati ya mume na mke kikazi. Dar na mwingine yupo Dodoma. Mwanaume usipotengeneza mazingira ya kuishi bila mke utapata shida sana. Housemaids wanasaidia sana ili mradi usihitaji K yake.
Mi babangu alikuwa anatupikia....na watoto wa kiume wote wamefundishwa kazi za nyumbani...na wako proud sasa hivi, mwanamke ukimzingua mmojwapo wa kaka angu ni anakutimua muachie watoto atafanya kazi zote [emoji848]Alikuwa anapiga deki, anafua, anakanda chapati na kupika mandazi?
Kaka zangu huenda sokoni kununua vitu vya nyumba na siku wakipika msosi watu hujing'ata my daddy self Kuna vitu hufanya ka kununua vitu sokoni tena wamama humpenda balaa mbona hajawa less man?Nyie mmejua kunichekesha,[emoji23][emoji23][emoji23]...sasa mmezidi Kaka zangu, Hadi kutumwa ni nongwa?
Mkija kwangu mtazimia, shemeji yenu mtamkuta anakanda ngano na akitoka hapo anaenda sokoni analeta Hadi pilipili...!
Ahaaahaahaaa....we jamaa unapenda ligi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732]Kwa wiki mbili mgeni ambaye ataendelea kutuma kila kitu au kujifanya hawezi kushiriki kazi za nyumbani ili kazi zote azifange mke wangu kwaajili yao, sitakubaliana nalo na kama ni low rank kiukoo ntaitisha kikao niwaambie, wasipobadilika watarudi walikotoka.
Na hiyo ni tofauti kabisa na scenario ya mgeni aliyefika kwako day one kisha ukataka ajihudumie mwenyewe kila kitu ili wewe mama wa familia upate nafasi ya kuchati.
Lakini kwa nilivyozisoma akili zenu, utakuta hii comment umeandika kuwalenga wakwe zako(wazazi wa mumeo) waliokuja kukaa kwako kwa muda wa wiki mbili.
Nambie kwanza hata pm...then naja kuselfikaFanya uje utupie "trella" kwanza then nitakuambia[emoji23][emoji23]
@Makiwendo ndio kasema [emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]Nambie kwanza hata pm...then naja kuselfika