Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Huwezi mtuma mumeo mbele ya wageni kwasababu moyo wako unajua unachofanya sio sahihi witnessj
 
Dada if it's right [emoji817] then hakuna haja ya kulificha kuwa lifanyike mkiwa nyie tu na sio mbele ya wageni ndo ubadilike
 
Mi babangu alikuwa anatupikia....na watoto wa kiume wote wamefundishwa kazi za nyumbani...na wako proud sasa hivi, mwanamke ukimzingua mmojwapo wa kaka angu ni anakutimua muachie watoto atafanya kazi zote [emoji848]

Umeona faida sasa
Kuwafundisha watoto kazi zote ni Jambo jema sana, hata wa kwangu naamini kila kitu watafanya, lazima wajue kufanya kila kitu coz kesho yao hawajui.

Lakini mkuu kijana wako anapiga deki na kukanda mandazi ili mkewe anywe chai kweli😂😂😂😂
 
Jamaa mmoja alikuwa anajifanya kidume kumpiga dadaangu kama wewe hivyo. Siku hiyo niko na wahuni wangu tumekula pombe mpaka akili zimekatika, nikasema jamani nipelekeni. Saa kumi usiku nilimburuza kwenye matope ya mvua Mungu wake hawezi kusahau. Halafu fala tu Mpemba anapiga mademu nguvu hana, yaani ni sawa na wewe
 
Alikuwa anapiga deki, anafua, anakanda chapati na kupika mandazi?
Kuna siku baba yangu alikuwa anapika,
Tunatoka safari na mama tunakuta mzee ashatengeneza mambo.

Akibaki nyumbani na wengine hampo basi mtakuta kila kitu ashaweka sawa.
Na alikuwa msafi sana mzee wangu akifanya kitu utapenda.



Hakuwa anapiga deki lakini alikuwa akifanya usafi wa nje ya nyumba.
Mama anapika,baba anafanya usafi nje na kukamua maziwa ya chai,mtoto anapiga deki.
 
Kupiga deki tena? Ikiwa Kwa hiyari yake ni Sawa, sio Kwa kutumwa😂
Mimi mume wangu huwa ananisaidia mara nyingi Kama hatuna dada wa kazi, au kunionea huruma nikiwa nimechoka...tena Kwa mapenzi yake, simshurutishi.
Hiki ndicho ninachokisisistiza humu ndani, mwanaume afanye kazi kwa matakwa yake na sio kwasababu katumwa na mkewe.
 
Mumeo atakuwa anapiga deki, kuosha vyombo na kukanda unga wa mandazi na chapati?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kijana wako atakuwa akifanya hivyo mbele yako na wewe ukasema YES, my son is so good at helping his wife[emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu hem tuacheni masihara basi, hizi mambo we funga kibwebwe ufanye, ukipata msaada wa Mr shukuru, akishika remote we endelea kufanya kazi zako.
 
Imagine walikuja wageni wanakaa kama walemavu.
Niwahudumie watoto ,nihudumie na watu wazima tena wengine wanawake 2 na mwanaume aiseee!
Tena wanakusumbua kabisa,tuwekee nyimbo fulani..
Napeleka watoto shule,nafanya usafi ,nafua,nawaandalia chai ,muda wa kuchukua watoto unafika wanalalama eti wapikiwe kwanza chakula ndiyo niondoke.
Unarudi unakuta hata vyombo hawajatoa wajinga wale.
 
Najua kabisa kuwa hii comment hainihusu mimi, ila ngoja nitie neno.

Inaonekana ni kweli kabisa kuwa dadako kaolewa na jamaa fala tu kama ulivyosema hapo, maana kama asingekuwa fala usingepata hâta nafasi ya kuingia kwake saa kumi za usiku ukiwa umelewa.

Wewe kama ni mimi ulitakiwa uishie getini huko ili walinzi waulize kama wanatakiwa kukuruhusu au laah, na kama nikiambiwa umelewa nakutimua ili upitilize kwenu na hizo pombe zako.

Au nakuruhusu kabisa kabisa uingie ndani kisha namlala dadako na wewe ukiwepo msanii ili alie vizuri (milio ya mgegedo) mbele yako, na hiyo ni kukuonyesha tu kwamba nina mamlaka juu ya dadako, alafu tuone sasa utaenda kushitaki wapi. Maana najua hâta tukiamua kuwindana kitaa sichelewi kukuweka kwenye box la mbao.

Wanaume wengine wanakuwaje hawa, yani anakuja kupigwa kwenye nyumba yake?
 
Reactions: 7ve
Kazi nafanya
Na mwanangu pia nitamfudisha kufanya kazi asikae kama mlemavu.
Hata mzee wangu hakuwahi kuishi kama mlemavu.
 
Wanaume wa kanda ya ziwa wake zao wana kazi haswa,hata mtoto analia hawezi mbembeleza alale au acheze nae ,mke yupo busy mwanaume kakaa miguu juu anasubiria ugali wa muhogo Na samaki ale aondoke aende kwa rafiki zake
Ndiyo ndiyo. Wanaume wapo kanda ya ziwa. Sehemu zingine ni version mpya ya wanawake.
 
Sasa kama kupika hujui nikusifie kweli!?

Mie unafiki na mimi huwa hatupikiki chungu kimoja😅 kuna wanawake wanapika na ni hobby kabisa kwao! They cook alot and wabunifu leo atakupikia meat chops, kesho atajipikilisha vitu gani sijui yani full amazing😅! Mara kiji culiflower kidogo katengeneza na chops za carrot na hoho kuna vipande vya samaki fillets na kwa mbali mixa pili pili manga mara katengeneza pishi flani unaona dah hii menu ni 5 star kabisa.

We daily wali marage halafu unataka sifa😅? Ukibadilisha ni ugali na chuzi la nyama halina hata viungo yani hoves kabisa😀 nijikute tu nasifia utumbo kama huo??? Ukijitahidi ni pilau jumapili 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…