Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sasa wewe wako utawafundishaje kama haufanyi?Kuwafundisha watoto kazi zote ni Jambo jema sana, hata wa kwangu naamini kila kitu watafanya, lazima wajue kufanya kila kitu coz kesho yao hawajui.
Lakini mkuu kijana wako anapiga deki na kukanda mandazi ili mkewe anywe chai kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ndani ni tofauti sanaThank you japo sijui nikiingia huko kwa ndoa kama mambo yatabadilika ama lah, isijekua najiongelesha hapa ila huko ndani ni tofauti 🤔
Ni vitu vya kujiongeza mkuu.Mfano kwako
Ungependa assist kwenye chores gani nyumbani and kw kiwango gan
Hao mimi hawachukui round nyumbani kwangu labda kama wife asinifikishie taarifa.Tena kama wageni wa kike wakiwa kwangu except (Mama zangu na mashangazi) watafanya kazi as usual, labda kama wawe wapitaji tu lakini two week na kuendelea wawe kwangu bila kufanya kazi sitaruhusu.Imagine walikuja wageni wanakaa kama walemavu.
Niwahudumie watoto ,nihudumie na watu wazima tena wengine wanawake 2 na mwanaume aiseee!
Tena wanakusumbua kabisa,tuwekee nyimbo fulani..
Napeleka watoto shule,nafanya usafi ,nafua,nawaandalia chai ,muda wa kuchukua watoto unafika wanalalama eti wapikiwe kwanza chakula ndiyo niondoke.
Unarudi unakuta hata vyombo hawajatoa wajinga wale.
Wasukuma wana hizi tabia.Wanaume wa kanda ya ziwa wake zao wana kazi haswa,hata mtoto analia hawezi mbembeleza alale au acheze nae ,mke yupo busy mwanaume kakaa miguu juu anasubiria ugali wa muhogo Na samaki ale aondoke aende kwa rafiki zake
Anne bwana! Ushakunywa chai kwani?[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe wako utawafundishaje kama haufanyi?
Hawakuoni ukifanya!
Hahahaaaa sio ligi witness. Sasa mtu akilalamikia kutumwa na wakwe zake atakuwa na akili kweli huyo?Ahaaahaahaaa....we jamaa unapenda ligi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732]
Teh teh[emoji23][emoji23][emoji23] mbona yumo humu and he understands my madness mkuu, vitu ka hivi mnavolalamikia kwake sio issue
Kupika hujui huna maajabu usifiwe nini sasa?Teh akusifie? Watakuambia akusifie nini wakati hilo ni jukumu lako ila wao wanataka tuwe na shukurani hata wakitimiza majukumu yao!
Mama mkwe tumekaa naye yule bibi mwaka mzima,na kazi zote anafanyiwa bila kinyongo maana ni mdhaifu na upendo ulitamalaki.Hao mimi hawachukui round nyumbani kwangu labda kama wife asinifikishie taarifa.Tena kama wageni wa kike wakiwa kwangu except (Mama zangu na mashangazi) watafanya kazi as usual, labda kama wawe wapitaji tu lakini two week na kuendelea wawe kwangu bila kufanya kazi sitaruhusu.
Cha ajabu humu utakuta mwanamke anataka mkwewe akija kukaa kwake eti afanye kazi, how comes jamani? Mama yangu aje kukaa nyumbani kwangu Kisha wewe utake afanye kazi kwakua unataka afanye? atafanya kazi akitaka mwenyewe.
Ninachokikataa ni ile mwanaume kufanya kazi za ndani eti kwakua wife wake kasema, au ile unakuta wamewekeana zamu za kuosha hadi vyombo[emoji1].
Mwanaume afanye kazi za ndani kumsaidia mke wake kwakua kwa kupenda yeye na anafurahia kufanya hivyo, na sio kwa kutumwa tena mbele za wageni.
Najua kabisa kuwa hii comment hainihusu mimi, ila ngoja nitie neno.
Inaonekana ni kweli kabisa kuwa dadako kaolewa na jamaa fala tu kama ulivyosema hapo, maana kama asingekuwa fala usingepata hâta nafasi ya kuingia kwake saa kumi za usiku ukiwa umelewa.
Wewe kama ni mimi ulitakiwa uishie getini huko ili walinzi waulize kama wanatakiwa kukuruhusu au laah, na kama nikiambiwa umelewa nakutimua ili upitilize kwenu na hizo pombe zako.
Au nakuruhusu kabisa kabisa uingie ndani kisha namlala dadako na wewe ukiwepo msanii ili alie vizuri (milio ya mgegedo) mbele yako, na hiyo ni kukuonyesha tu kwamba nina mamlaka juu ya dadako, alafu tuone sasa utaenda kushitaki wapi. Maana najua hâta tukiamua kuwindana kitaa sichelewi kukuweka kwenye box la mbao.
Wanaume wengine wanakuwaje hawa, yani anakuja kupigwa kwenye nyumba yake?
Hao mimi hawachukui round nyumbani kwangu labda kama wife asinifikishie taarifa.Tena kama wageni wa kike wakiwa kwangu except (Mama zangu na mashangazi) watafanya kazi as usual, labda kama wawe wapitaji tu lakini two week na kuendelea wawe kwangu bila kufanya kazi sitaruhusu.
Cha ajabu humu utakuta mwanamke anataka mkwewe akija kukaa kwake eti afanye kazi, how comes jamani? Mama yangu aje kukaa nyumbani kwangu Kisha wewe utake afanye kazi kwakua unataka afanye? atafanya kazi akitaka mwenyewe.
Ninachokikataa ni ile mwanaume kufanya kazi za ndani eti kwakua wife wake kasema, au ile unakuta wamewekeana zamu za kuosha hadi vyombo[emoji1].
Mwanaume afanye kazi za ndani kumsaidia mke wake kwakua kwa kupenda yeye na anafurahia kufanya hivyo, na sio kwa kutumwa tena mbele za wageni.
Nilifanya yote hayo ndani ya miaka 15..........baada ya kuona amefanikiwa akaota mapembe na kuvaa ngozi ya mamba.....kulikuwa hakuna chance ya kujadiliana chochote......alikuwa hana muda huo!!!lazima uelewe kuna mambo yapo nje ya uwezo wa kawaida wa kibinadamu yanaweza kuingilia ndoaPole sana
Kuna namna ambavyo ulishindwa kusimamia mamlaka yako au nafasi yako kama mume ndani ya nyumba.
Ukiona mpaka mwanamke anafikia hatua ya kujiamulia kuishi anavyotaka ndani ya nyumba na ku deligate majukumu yake kwa beki 3 basi kuna shimo mahali ambalo hukuliziba tangu mwanzo wa ndoa yenu na sasa limekua sugu halizibiki
Umeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye suala zima la ku handle issue kwenye ndoa, huwezi kutatua changamoto au tofauti kwa kumpiga mke
Mwisho wa yote you knew her better na ulikua inajua anapenda nini, priorities zake ni zipi na carreer goals zake ni zipi, badala ya kumpiga mngekaa pamoja mkubaliane namna ambavyo anaweza kubalance her career onjectives pamoja na majukumu ya kifamilia bila kuathiri kimoja wapo
Chakula kitamu kweli au anakupiga kunga tu 😅😅😅Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
Itategemea na kaliba yake! Kama mjuaji atapambana na hali yake na usiku tunda kama kawaida😅 lazma liliweNi kweli unavyosema lakin mfano wewe Upo Na mkeo tu ,kazi nyingi mkeo anafanya peke yake mara afue,apike,asafishe nyumba ndani Na nje huwezi kumsaidia hata viwili hapo Na kumhurumia kuwa atalala hoi
Na usiku napo unataka umkunje kama tairi atakuwa a hamu kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kama kupika hujui nikusifie kweli!?
Mie unafiki na mimi huwa hatupikiki chungu kimoja[emoji28] kuna wanawake wanapika na ni hobby kabisa kwao! They cook alot and wabunifu leo atakupikia meat chops, kesho atajipikilisha vitu gani sijui yani full amazing[emoji28]! Mara kiji culiflower kidogo katengeneza na chops za carrot na hoho kuna vipande vya samaki fillets na kwa mbali mixa pili pili manga mara katengeneza pishi flani unaona dah hii menu ni 5 star kabisa.
We daily wali marage halafu unataka sifa[emoji28]? Ukibadilisha ni ugali na chuzi la nyama halina hata viungo yani hoves kabisa[emoji3] nijikute tu nasifia utumbo kama huo??? Ukijitahidi ni pilau jumapili [emoji28]
Fanya hizo mambo tukusifieJamani nimeufatilia huu mjadala Kwa karibu sana, wanaume mmefunguka, mmelalamika, Ila Naomba niulize, unalalamika mkeo hakupikii, hapangi nyumba, ni lini ulimsifia mkeo Kwa hizo shughuli? Jamani udhaifu WA mwanamke ni masikio yake, maneno matamu yanaweza kumfanya mke awe mtumwa wako na awakane hata ndugu zake.
Mimi huyu mbaba Kwa kweli nashukuru, anajua kuappreciate....nikimpikia ananisifia, si ofisini kwake, si Kwa ndugu zake wote wanajua mkewe anajua kupika[emoji23]...
Pia ananihamasisha, kidogo mara kanisuprise oven, mara mashine ya kusagia Nyama, mara food processor....Kwa nini nisimpikie hata Kama narudi kazini saa Saba ya usiku?
Sasa wewe huna muda WA kununua viamba upishi, unasubiri acheze vikoba anunue kisha unataka upikiwe....[emoji23][emoji23]
Wanaume mjiangalie mnajikwaa wapi, wengi mna visirani viso msingi.
Hahahahah Care ndogo ndogo sioAmemkamata wapi, haya ndo mapenzi yanayotakiwa!
Huyu mwanaume ni mjanja na atakula vinono kwa mke wake mpaka basi!
Mwanamke ukimuwezea na hizi care ndogo ndogo ni umemuwin milele, utapendwa mpaka ujishangae[emoji848]
We endelea kukaa kibabe, utakutana nae
Ukija na mgeni wako msumbufu nyumbani jua kuwa mtasumbuana wenyewe[emoji16]Dah jamaa likainuka kabisa kwenda kufuata kikombe[emoji28] aisee kuna watu wana maisha magumu sana huku kwenye hizi ndoa!
Hapo unakuta mke ameshikilia simu anaangalia umbeya insta[emoji3]
Shemeji yako kazi yake ni kumubudumia rafiki yakoYani naomba maji badala ya kuhudumiwa na shemeji yangu, eti napewa na mshikaji wangu.
Halafu kuna watu wanakwambia sio vibaya kumsaidia mke wangu.