Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Earphone sivai wala nini.Uvae na earphones maana utaamshwa tu
Hahahahahahhah kwahio maza unamkaziaEarphone sivai wala nini.
Ukweli mimi huwa sipendi bugudha..
Hata sasahivi nikiwa home huwa najichimbia rum.
Kama sioni ulazima wa kutoka sitoki ng'oo.
Mambo ya kuitana itana maza anapaza sauti aaah! Nishakataa.
Nitatoka mwenyewe nikipenda.
Mkuu mimi nimeongelea wewe kuja na wageni bila taarifa..mbona unabadili mada?Need I say more? Acha nitulie as long as ninae anaenielewa inatosha, nyinyi pia mtapata hao mtakaokuwa mnawatuma ili mpate muda wa kuchati humu jf.
Take an example (mfano), hapo ulipokaa saivi ni saa saba, kisha mmeo aje anadai ana njaa alafu umwambie akapike mwenyewe ili wewe uendelee kukaa hapo ujibizane na mimi kwenye simu[emoji1]. Really? Hayo ndo mapenzi mnayotaka? Mtawapata tu.
Ni kweli kabisa, hao mnaowataka nyinyi wakuwatuma mnavyotaka ili mpate nafasi ya kuchati jf ni wachache sana, wengi tuna tambua magasin zetu kwenye familia.Hata nyie wanaume wa package hizo za mumewa huyo dada hampo humu
Kuna nyie ambao the whole family inaweza fanya any chores na wengne ambao they can't ( majority of us) kufanya chores kila mtu anafanya,,, wanaume nje ( kufagia,, cleaning the garden,, kupalilia) na women ni ndaniNi vitu vya kujiongeza mkuu.
Huwezi kupanga kiwango maana siku zinatofautiana.
Liko sahihi [emoji817]...sema hiyo ni kwa mimi sasa...Dada if it's right [emoji817] then hakuna haja ya kulificha kuwa lifanyike mkiwa nyie tu na sio mbele ya wageni ndo ubadilike
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa mmoja alikuwa anajifanya kidume kumpiga dadaangu kama wewe hivyo. Siku hiyo niko na wahuni wangu tumekula pombe mpaka akili zimekatika, nikasema jamani nipelekeni. Saa kumi usiku nilimburuza kwenye matope ya mvua Mungu wake hawezi kusahau. Halafu fala tu Mpemba anapiga mademu nguvu hana, yaani ni sawa na wewe
Nani huyo atakuja home kwake na wageni bila taarifa? atakuwa boya.Mkuu mimi nimeongelea wewe kuja na wageni bila taarifa..mbona unabadili mada?
Nyumbani lazima nipike,anakaaje na njaa?
Hata akija bila taarifa fresh tu,atakula.
Ila siyo anibebee watu bila taarifa.
Sitoi k usiku unless awe amenisaidia kaziNi kweli unavyosema lakin mfano wewe Upo Na mkeo tu ,kazi nyingi mkeo anafanya peke yake mara afue,apike,asafishe nyumba ndani Na nje huwezi kumsaidia hata viwili hapo Na kumhurumia kuwa atalala hoi
Na usiku napo unataka umkunje kama tairi atakuwa a hamu kweli
Atakula vinono mpaka akinaiHahahahah Care ndogo ndogo sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitoi k usiku unless awe amenisaidia kazi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana...we ndo mwanaume[emoji122][emoji122][emoji122]
I wish u culd be my brotha
K kutoa ni compulsory labda useme hutoi ushirikiano😅 ila K utatoa!Sitoi k usiku unless awe amenisaidia kazi
Safi sana ..Ukimpiga dadaangu ujiandae kukanyagwa miguu ya shingo. Sasa niko na mdogo wangu wa mwisho huyo ni chizi kuliko mtu wowote kwenye Dunia hii. Ni msela wa Johannesburg, nikimwambia kitu chochote tu lazima anisikilize
Mmmmh hunijui wewe[emoji57][emoji57][emoji57]K kutoa ni compulsory labda useme hutoi ushirikiano[emoji28] ila K utatoa!
Mmh hahahahaha😄😄😄, hivi hao wanaume mnakuwa mnashinda nao ndani siku nzima, au unamaanisha utamuachia kazi ili akitoka kazini aje azifanye? Yani nitoke kazini jioni kisha nifikie jikoni kukusaida ili usiku usinyime mbususu?Sitoi k usiku unless awe amenisaidia kazi
Kweli vile...mtu wa hivo hata vigenye nae huna asee[emoji57][emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hasa hasa inahusu weekend...wote tusaidiane kaziMmh hahahahaha[emoji1][emoji1][emoji1], hivi hao wanaume mnakuwa mnashinda nao ndani siku nzima, au unamaanisha utamuachia kazi ili akitoka kazini aje azifanye? Yani nitoke kazini jioni kisha nifikie jikoni kukusaida ili usiku usinyime mbususu?
Hahahahahaha hii hoja imenichekesha sana.
Safi sana ..
Mwanaume pumbavu ndo anajisifia kumpiga mwanamke...
Utasikia " nilimnasa kibao akazimia" yaan ka sifa vile, akikufia?[emoji848][emoji848][emoji57][emoji57]