Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa



Hatujui aliekosea hapa ni wewe au mkeo? Kwasababu we jamaa ni fala sana ujue
 
Ukimpiga dadaangu ujiandae kukanyagwa miguu ya shingo. Sasa niko na mdogo wangu wa mwisho huyo ni chizi kuliko mtu wowote kwenye Dunia hii. Ni msela wa Johannesburg, nikimwambia kitu chochote tu lazima anisikilize
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi ni wajibu wa jamii nzima wabab kwa wamama kuwaelimisha mabinti zetu namna ya ku cope na hali zote za maisha pasipo kuathiri uhalisia na malezi tuliyopewa
 
Basi ni wajibu wa jamii nzima wabab kwa wamama kuwaelimisha mabinti zetu namna ya ku cope na hali zote za maisha pasipo kuathiri uhalisia na malezi tuliyopewa
Lawama hizo ntaelekeza kwa mama sababu sisi wababa kwa binti zetu ni wadhaifu sana! Yani kudekeza mtoto wa kike ni kawaida sababu tunapenda wawe na comfortπŸ˜… so kazi ya ukauzu anatakiwa aifanye mama yake!
 
Pole sana, ita too late, alivyoanza kuota tu pembe ungemfungashia virago umrudishe kwa wazazi wake akaotee pembe huko
 
Lawama hizo ntaelekeza kwa mama sababu sisi wababa kwa binti zetu ni wadhaifu sana! Yani kudekeza mtoto wa kike ni kawaida sababu tunapenda wawe na comfortπŸ˜… so kazi ya ukauzu anatakiwa aifanye mama yake!
Basi kama mzigo wa malezi mnamwachia mama msije kulia lia humu sijui mmekosea kuoa
 
Ukimpiga dadaangu ujiandae kukanyagwa miguu ya shingo. Sasa niko na mdogo wangu wa mwisho huyo ni chizi kuliko mtu wowote kwenye Dunia hii. Ni msela wa Johannesburg, nikimwambia kitu chochote tu lazima anisikilize
Duh hao dada zako kweli wamepata mume shoga au wasenge yaani ndani ya nyumba yangu shemeji aje kunipangia heee baba mkwe mwenyewe anaogopa kuni iingia sembuse shemeji.tawakimbiza nyie hehe kama paka alie iba mboga ya watu.dah kweli tumetofautiana yaani shemeji aje kunipangia nyumbani kwangu Hahahaa labda sio mimi.
 
Ukimpiga dadaangu ujiandae kukanyagwa miguu ya shingo. Sasa niko na mdogo wangu wa mwisho huyo ni chizi kuliko mtu wowote kwenye Dunia hii. Ni msela wa Johannesburg, nikimwambia kitu chochote tu lazima anisikilize
Dadaako akileta umama anachezea tu ili uje na wewe pia ule vitasaπŸ˜‚ huwezi kulelea jambazi la kike af utetee ujinga.

Mi kaka zangu walikuwa wanamwambia sister kabisa akileta umama kwa mumewe akirudi wanamuongezea kipigo!
 
 
Hii hasa hasa inahusu weekend...wote tusaidiane kazi

Siku za kazi ndo kabisaa siingii jikoni mimi, na obviously dada wa kazi yupo utamtuma tuma huyo
KiKikubwa huyo dada wa kazi nimtafute mimi au kama utamtafuta wewe hakikisha unatafuta mzuri kuliko wewe, ili ukiwa umechoka sana akusaidie kila kitu.
 
Dadaako akileta umama anachezea tu ili uje na wewe pia ule vitasa[emoji23] huwezi kulelea jambazi la kike af utetee ujinga.

Mi kaka zangu walikuwa wanamwambia sister kabisa akileta umama kwa mumewe akirudi wanamuongezea kipigo!
Makaka zako ni makatili....mi kaka zangu ni mabadindu but linapokuja swala la mwanaume kumgusa Wit....hahaha my friend wanaweza hata kukupaka Vaseline

Mwanaume afanye ujinga wote lakin asinipige na nikawapa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…