ππAhaaahaahaaa utasikia mkofi paaaa![emoji1787][emoji1787]
Heeee[emoji849][emoji849][emoji849] wewe sikuwezi[emoji119][emoji119]A gentleman kwenu si boya, we fine with that shit! A boya kind of man ni Gentleman kwa kila msichana[emoji23] but a commanding man anaonekana katili!
A real man has to put your in your place everytime you get off the timming! Mwanaume anaekuchekea on whatever the fauk u do huyo hafai kuwa kiongozi wako japo utahisi ndio upendo wenyewe ila after sometime utajichenga tu kutafta changamoto nyingine mbele ya safari!
Mwanaume mstaarabu nafikiri tafsiri yake haihusiani na weakness abeg!
Safi sana ..
Mwanaume pumbavu ndo anajisifia kumpiga mwanamke...
Utasikia " nilimnasa kibao akazimia" yaan ka sifa vile, akikufia?[emoji848][emoji848][emoji57][emoji57]
Ndio maisha,lazima kurahisisha mambo.Afu yeye awe anafanya kazi gani?
Hiv ninyi watu mbona mna rahisisha sana mambo
Nitafute mahari nikuowe then?
Yaan ilimlad tu uonekane mke wangu!?
Watu sikuiz mnarahisisha sana mambo
I want your hands up lady acha nikuwe gentlemanπ! I agree gentleman si boya ni mwanamume anaejua ku baby sit mubebi yakeHeeee[emoji849][emoji849][emoji849] wewe sikuwezi[emoji119][emoji119]
A gentleman ni boya???
Hands down una mfume dume asee[emoji848]
Dah pole sanaVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Au we unasemaje witness?πππ[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe umepinda simple as that
Asee nimecheka kidogo nigonge mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha cariha kwenye ubora wako,yani we dada kuna nyuzi nikiingia nakua natafuta mchango wako unichome roho kidogoHukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.
Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua
Mkuu hiyo kauli uliyomwambia hajaisahau inamuumiza sana na inawezekana itafanya akupikie mpaka mavi ya kuku.NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
[emoji3][emoji3] wanawake mnamajibu makali sana,jibu kama hili unakuta alipewa mkuu hapo,akatembeza kichapo cha kulazwa hospital.Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Msaliti huyoMbona wanaume tulisha kubaliana hapa ndani kwamba hakuna kuoa...π
π KaribuMmeanza na challenge kabisaπ
[emoji23][emoji23][emoji23] eti ukuchome moyo kidogo eeh, but what I have observed a lot have happened and changed kuhusu maisha ya Sasa Karne hii ila wanaume mumeachwa nyumq hamtaki kubadilika, mahusiano mengi ambayo mwanaume amezidiwa hata elimu huwa ni shida achilia kipato, hyo Hali umfanya mwanaume ajione ni less mwanaume, kiasi hata mkitofautiana kibinadamu mwanaume hujiona amezarauliqa kisa mke kamzidi elimu na kipato Matokeo yake mwanaume unakuwa na gubu au kufanya mambo ambayo ya kumu undermine mke, Sasa na wewe ukiwa una mu abuse kuwa ni mwanamke sijui nini hapo ndio huharibu na kufanya wanawake wawachukie na wawe wajeuri.Hahaha cariha kwenye ubora wako,yani we dada kuna nyuzi nikiingia nakua natafuta mchango wako unichome roho kidogo
btw mke wa type hiyo hata uwe vipi lazima msumbuane tu inferiority yaweza isiwe shida bali mwanamke kujimwambafy.
Na hizo nguvu wakihamishia kutafta hela na wakipata hela ugomvi utaisha nyumbani, wewe angalia baba asipokuwa na hela anakuwa mkali ka nini, Sasa ukiwa na hela unakuwa bar unapiga bia na kitimoto mda wa kubishana na mkeo upate wapi?Hiyo minguvu ya kupiga wanawake si waihamishie kwenye kusaka mapene
Kuna swali moja hapa. Ukilipatia, na hakika utakuwanna maamuzi:Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Samsoni kwenye Biblia,inasemekana alimuua Simba. Si alikuwa zaidi ya hodali? Af, Delila,mwanamke,alimuweza na akammaliza. Sasa,kati ya simba na mwanamke, mnyama mkali ni yupi? Je ,mnyama unayecheza nae unamfahamu?! Sasa basi,maamuzi ni yakoWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Ohooooo, sasa na wewe unataka akakate roho hapa hapa! Je,akikuta hana hata mmoja si ndo atakufa kabisa!Mkuu hao watoto wa 4 nakushauri uwapime DNA.
Pesa na mwanamke[emoji1787]Na hizo nguvu wakihamishia kutafta hela na wakipata hela ugomvi utaisha nyumbani, wewe angalia baba asipokuwa na hela anakuwa mkali ka nini, Sasa ukiwa na hela unakuwa bar unapiga bia na kitimoto mda wa kubishana na mkeo upate wapi?
Ukikaidi utapigwa by mizengo kayanza peter pindaDah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisa