Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Heeee[emoji849][emoji849][emoji849] wewe sikuwezi[emoji119][emoji119]

A gentleman ni boya???

Hands down una mfume dume asee[emoji848]
 
Afu yeye awe anafanya kazi gani?
Hiv ninyi watu mbona mna rahisisha sana mambo
Nitafute mahari nikuowe then?
Yaan ilimlad tu uonekane mke wangu!?
Watu sikuiz mnarahisisha sana mambo
Ndio maisha,lazima kurahisisha mambo.
Mnapenda wake zenu wapate shurba ktk kazi zao za nyumbani wakati Kuna mbadala..
Usiongelee mahari kuhusiana na kazi za nyumbani.. unless otherwise ulimnunua awe mtumwa wako. In short Mpende mkeoo,
 
Au we unasemaje witness?😁😁😁
 
Hukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.

Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua
Hahaha cariha kwenye ubora wako,yani we dada kuna nyuzi nikiingia nakua natafuta mchango wako unichome roho kidogo

btw mke wa type hiyo hata uwe vipi lazima msumbuane tu inferiority yaweza isiwe shida bali mwanamke kujimwambafy.
 
Mkuu hiyo kauli uliyomwambia hajaisahau inamuumiza sana na inawezekana itafanya akupikie mpaka mavi ya kuku.
 
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.

Corporate women are not for the weak men.

Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
[emoji3][emoji3] wanawake mnamajibu makali sana,jibu kama hili unakuta alipewa mkuu hapo,akatembeza kichapo cha kulazwa hospital.
 
Nilikua nnawaza kuoa, huu uzi umenitoa kwenye reli kabisa....
 
Hahaha cariha kwenye ubora wako,yani we dada kuna nyuzi nikiingia nakua natafuta mchango wako unichome roho kidogo

btw mke wa type hiyo hata uwe vipi lazima msumbuane tu inferiority yaweza isiwe shida bali mwanamke kujimwambafy.
[emoji23][emoji23][emoji23] eti ukuchome moyo kidogo eeh, but what I have observed a lot have happened and changed kuhusu maisha ya Sasa Karne hii ila wanaume mumeachwa nyumq hamtaki kubadilika, mahusiano mengi ambayo mwanaume amezidiwa hata elimu huwa ni shida achilia kipato, hyo Hali umfanya mwanaume ajione ni less mwanaume, kiasi hata mkitofautiana kibinadamu mwanaume hujiona amezarauliqa kisa mke kamzidi elimu na kipato Matokeo yake mwanaume unakuwa na gubu au kufanya mambo ambayo ya kumu undermine mke, Sasa na wewe ukiwa una mu abuse kuwa ni mwanamke sijui nini hapo ndio huharibu na kufanya wanawake wawachukie na wawe wajeuri.
So mwanamke kuwa corporate hakumfanyi awe malaika kukosea ni hulka yetu, wanaume mnahitaji elimu ya empowerment kuishi na wake karne hii bila hivo mtakufa na stress zenu huku wanawake tukiamimi financial independence is everything
 
Hiyo minguvu ya kupiga wanawake si waihamishie kwenye kusaka mapene
Na hizo nguvu wakihamishia kutafta hela na wakipata hela ugomvi utaisha nyumbani, wewe angalia baba asipokuwa na hela anakuwa mkali ka nini, Sasa ukiwa na hela unakuwa bar unapiga bia na kitimoto mda wa kubishana na mkeo upate wapi?
 
Kuna swali moja hapa. Ukilipatia, na hakika utakuwanna maamuzi:
Samsoni kwenye Biblia,inasemekana alimuua Simba. Si alikuwa zaidi ya hodali? Af, Delila,mwanamke,alimuweza na akammaliza. Sasa,kati ya simba na mwanamke, mnyama mkali ni yupi? Je ,mnyama unayecheza nae unamfahamu?! Sasa basi,maamuzi ni yako
 
Na hizo nguvu wakihamishia kutafta hela na wakipata hela ugomvi utaisha nyumbani, wewe angalia baba asipokuwa na hela anakuwa mkali ka nini, Sasa ukiwa na hela unakuwa bar unapiga bia na kitimoto mda wa kubishana na mkeo upate wapi?
Pesa na mwanamke[emoji1787]
 
Dah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisa
Ukikaidi utapigwa by mizengo kayanza peter pinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…