Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wewe bado una mpenda mkeo Hadi unafatilia kuwa aliolewa na kuachika huko aliko bado una mpenda rudisheni mpira kwa kipa na muache ujeuri za kijinga na mambo ya ajabu mzeeke pamoja
Simfuatilii kabisa ila kwa sababu tunalea watoto pamoja kila mtu na mji wake na wakija wanakuja na dada yao wa kazi basi baadhi ya taarifa zinafika kote automatically ...nafikiri umenielewa
 
Simfuatilii kabisa ila kwa sababu tunalea watoto pamoja kila mtu na mji wake na wakija wanakuja na dada yao wa kazi basi baadhi ya taarifa zinafika kote automatically ...nafikiri umenielewa
Eeeh kazi kweli kweli
 
Huyu mwanamke alikutwa hana kitu..😷😷😷
 
Kwahiyo mkuu vinyeo vya kuku wewe hulii??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…