Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Usiolewe ,

Endapo utaolewa kutumiza majukimu yako ni lazima sio ombi wala haina mjadala
 
Usiolewe ,

Endapo utaolewa kutumiza majukimu yako ni lazima sio ombi wala haina mjadala
Unafikiri tunakataa basi wala hatukatai! Ila tu ukubali kuwa hutokaa uione hata mia yangu na nikihitaji pesa lazima unipe na kila kitu kinachonihusu mimi watoto pamoja na nyumba utagharamia wewe bila kuulizia mshahara wangu napeleka wapi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Si rafiki yako alikupa mkuu au?
Mbona kumletea makasiriko dada wa watu na wakati maji ulipewa!?
Hukunywa maji nyumbani?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe na nyie mlikuwa mnaongea tu!
Ungeenda kuchukua.
Shwaini mmoja😅 happy new year
 
Kwahio unalazimisha na sie ma chief tuwe kama baba yako?
 
Wasukuma wana hizi tabia.
Kuna huyo dada yangu mmoja ameolewa na msukuma aisee nadhani siku ya mwisho atatunukiwa taji ya ushindi yule dada.

Hataki mtoto wa kiume aguse jikoni na ana wa kiume tu.
Ndiyo baadaye mitoto itaanza kuishi kama milemavu.
Huyo jamaa ni mwamba😅 na kimsingi ndio inavyotakiwa. Mtoto wa kiume kukaa kaa jikoni ni umama.
 
Ila cha ajabu mama yako ana binti mvivu ambaye hata kutumwa glasi ya maji na mumewe anajionea kero 😅
 
Kumbe malalamiko yoote na kuwaponda waliosoma kumbe bado mnawataka haohao
Hamtaki wasiosoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani mnawadis wasomi ila mnawakubali kiaina.
Kweli mti wenye matunda hupigwa mawe.
Wapo waliosoma wakaelimika na wapo waliosoma kukamilisha ratiba. Walioelimika wanaheshimu values zao katika jamii ila wakamilisha ratiba bado elimu haijawakomboa na ndio hawa ambao they misuse their brains na kutaka kuweka ligi na men!
 
Unafikiri tunakataa basi wala hatukatai! Ila tu ukubali kuwa hutokaa uione hata mia yangu na nikihitaji pesa lazima unipe na kila kitu kinachonihusu mimi watoto pamoja na nyumba utagharamia wewe bila kuulizia mshahara wangu napeleka wapi!
Kwa huu muandiko Hakuna mwanamke hapa.


Nyie Ni wa kupiga Mambo na kuwa dumped
 
Huyo bwege anataka apple hilo amenye😅 japo elimu hana
 
Wao power kubwa huwa wanaipata kupitia ushirikina😅 thats the only way anaona atakumiliki. Hilo ndio baya kuhusu un educated guys
 
Mjuba kama Mjuba aaniii😅
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah halafu huwa nashangaa.

Ukikaa na mwanaume ukimuuliza atakwambia hataki mwanamke mlevi kupindukia,ila ndio wanaokesha nao kunywa.
Wanawake wanaokunywa wana vibe lake flani amazing sana yani😅 si sawa na wanywa juisi wale ambao wamepooza sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…