Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Umemaliza kila kitu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Teh wala sikulazimishi uamini! Watu tumeachwa sababu ya hizo case za kupigana na wanaume na wanaume wenyewe ni wale wa kanda ya ziwa mnaowaita wababe sembuse wewe mpare sijui mchaga wa wapi duuh hebu nikae kimya asee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih.
 
Bwege ni yule anaekaa kimya hata mke akikosea anaona sawa, Mke anarudi asubuhi yeye usiku kucha alikua busy kubembeleza watoto!!!

Binafsi hapana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na ugumu wa ndoa tokea enzi na enzi watu hatutaacha kuoa na wengine kuolewa.
Tutafuniana, tutapigana,wengine wataumizana na kuuana lakini ndoa zinafungwa kila siku.
Wengine watalia walikosea kuoa na kuolewa lakini haita zuia ndoa.
Wengine watawanyanyasa wenzi wao lakini haitazuia.
 
Acheni kupangia watoto wenu maisha, kuna mtoto alimjibu baba yake bas njoo wee uwe mke, maana ulizidi ujinga lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi kumpangia maisha kama anajielewa ila kama atakuwa mjinga mjinga wa kukunishwa nazi baada ya kutoka standard chattered head office. Lazma niingilie kati
 
Hitimisho: Kupata ndoa bora ni suala la bahati nzuri tu.
 
Huna hoja, mie kama baba siwezi lalamika kutekeleza majukumu yangu ya msingi! Ni kama niwekee mgomo kutafta hela ya kulisha familia yangu na ya kulipa bill za utilties eti sababu mke wangu nawewe unaenda kazini kama mimi ni uzwazwa!

Nina uzoefu wa kuishi na mke tena mkorofi kuliko wewe😅 ndio maana nakuona chamdoli tu na mikwara yako ya kitoto! Hamna kitu ambacho mwanamke atafanya kiwe kigeni kwangu ila huwa nazingatiaga kumuweka katika nafasi yake anatulia tulii
 
Siwezi kumpangia maisha kama anajielewa ila kama atakuwa mjinga mjinga wa kukunishwa nazi baada ya kutoka standard chattered head office. Lazma niingilie kati
Uingilie kati wee inakuhusu nn? Muachee mwanao na ndoa yake, ndo nyie mnafanya watoto wenu wanaishi kwa kuigiza. Lol
Nasema tena huyo mtoto wako akifata matakwa yako ktk mambo yake binafsi, bas ni hatoshi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikubwa uhai tu😅 najua mnakuwaga wakarimu ila humu changamsha genge kila demu anajifanya kamanda
 
Hahahahah hatoshi sio😅anatosha sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…