Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Hapana mkuu huyo dada yupo sahihi kabisa,hili jambo haliwezekani kwa wanawake wengi.

Kwa wanaoweza acha wafanye,kwa ambao wanashindwa wasibezwe kwa sababu ni kweli na wao wanachoka.

Imagine mke mwalimu anarudi labda saa tisa kazini,akifika nyumbani kachoka hapo aanze kufua,kupika,kuosha vyombo huku wewe baba kama baba au mume umetulia kwenye sofa unachati jamii forum ukiwa na soksi miguuni zenye vitobo vimetafunwa na panya unasubiri kula.

Hii haikubaliki,nenda kamsaidie mkeo kazi kwa sababu wote mumetoka kazini.

Wanaume wengi wakitz bado tuna umwinyi sana na upuuzi flani ambao hauna maana yeyote,kwanza hizo kazi sio lazima kwa mwanamke kufanya kijamii tu ndio kwa kuwa wanawake wengi ni watu wa nyumbani ndio imeonekana ni kazi zao.
Kuna wanaume mnajitambua asee
 
Jamaa anamaindi hajawekewa maji ya kuoga na mke mwenye dili zake za biashara. 😃
Upuuzi tu na kuiga wazee wa zamani.

Kuwekewa maji ya kuoga sio vibaya ila vibaya ni kulalamika endapo mtu hujawekewa maji ya kuoga.

Mimi upuuzi huu kwwngu siutaki.
Upuuzi wa kuwekewa maji ya kuoga.
Upuuzi wa kuagiza maji ya kunywa wakati mwenyewe naweza kwenda kuchukua hizi ni puuzi za kuachwa tu hazifai katika jamii ya kitanzania.

Maji ya kuoga unatakiwa uweke mwenyewe chooni.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole mzee ila mi ndo si semi kilichonikuta ni balaa mke ni janga, mkosi nuksi na kila taka taka
 
Naishi hapa hapa Tz.

Ila nimeamua kuacha kuishi kimazoea na kipumbavu,haiwezekani mtu na mkewe wote wanaenda kazini alafu mtu anafosi mke akirudi aanze kupika,kufua,kushughulikia nyumba n.k sasa huyo mke au chuma ?

Ukitaka hayo mwambie asifanye kazi akae nyumbani,mtimizie kila unachoweza alafu hapo akiwa hafanyi hizo kazi ndo mtu aje aanze lawama humu
Tatizo watu wanataka mteremko wa kusaidiwa majukumu, mteremko wa kupikiwa, mteremko wa kupasiwa, mteremko wa kuandaliwa maji ya kuoga. Mteremko wa papuchi. HAIWEZEKANI.

Chagua ufanye majukumu yako 100% kama mwanaume, yaani utoe huduma zote za familia au mshirikiane majukumu upoteze kuhudumiwa kama mfalme.
 
Mimi kupata unyumba hadi yeye atake , kuna kipindi alinipiga desh wiki 2 , bac siku aliyokuwa na hamu , alianza kujichekesha toka dinner, mapema akaenda kwa bed [emoji2922], nami nikasema ngoja nimuoneshe nami nikawahi kwa bed nikalala nikampa mgongo , akajiongelesha wee mi nikajifanya nakoroma , hadi asubuhi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], dah hizi ndoa hizi
Ahaaahaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Sasa si uliteseka na maugwadu yako till morning [emoji1787]
 
Sasa kuna raha gani umeoa mke na bado still unaishi maisha ya kuteseka😅???
Hujawahi sikia jamaa anabezwa na demu kwamba aoe atajipikia mpaka lini?

Wanawake baadhi mnajua majukumu yenu sema wachache wasiojielewa ndo wanafanya uhuni wa makusudi wa kutaka mashindano na wanaume. Na hawa ndo wale kabla ya kuolewa wanajifulishaga na kupiga deki magetoni ili wakuchote tu uingie kingi!
Kwahiyo sisi ndiyo tuliumbiwa kuteseka eeh, kamume kenyewe kamekaa sebuleni tu kameshika remote, mama anapalangana na masufuria jikoni, bado na kuoga upelekwe,akii wewe utatulisha kwa jasho humo ndani yaani utalipa kila bills sitoi mimi chochote na siku nikitoa pesa nakuandika kwenye kitabu cha madeni cha familia utanirefund tu.😂 si wataka kuwa kichwa cha familia eeh sawa sisi mikia tutakudekeza baba.ila utalipia hadi chumvi.🏃‍♀️
 
Inawezekana ukawa sahihi kulingana na maoni yako.....
Hapa tunajadili hoja hatujadili maoni.

Maoni kila mtu anayo ila hoja ndani ya maoni hayo ndicho kitu cha msingi.

Pinga kwa hoja usiishie kusema maoni yangu na kufanya hiyo ni hoja ya kujitetea kwako.

Huu ujinga wa kumrundikia mwwnamke mikazi haukubaliki katu.
 
Upuuzi tu na kuiga wazee wa zamani.

Kuwekewa maji ya kuoga sio vibaya ila vibaya ni kulalamika endapo mtu hujawekewa maji ya kuoga.

Mimi upuuzi huu kwwngu siutaki.
Upuuzi wa kuwekewa maji ya kuoga.
Upuuzi wa kuagiza maji ya kunywa wakati mwenyewe naweza kwenda kuchukua hizi ni puuzi za kuachwa tu hazifai katika jamii ya kitanzania.

Maji ya kuoga unatakiwa uweke mwenyewe chooni.
Haina shida endapo ww unafanya sehemu yako kwa asilimia zote. Leta chakula, somesha watoto, mpe mke pesa ya matumizi, hakikisha malazi, Afya na mavazi ni ya uhakika kisha muulize mkeo kwann hakuna maji ya kuoga bafuni.
 
Inawezekana ukawa sahihi kulingana na maoni yako.....
Hapa tunajadili hoja hatujadili maoni.

Maoni kila mtu anayo ila hoja ndani ya maoni hayo ndicho kitu cha msingi.

Pinga kwa hoja usiishie kusema maoni yangu na kufanya hiyo ni hoja ya kujitetea kwako.

Huu ujinga wa kumrundikia mwwnamke mikazi haukubaliki katu.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Mlizungumza jinsi ya kulea familia na mgawanyiko wa majuku kabla ya ndoa. Sababu u-busy wake haukuanza ndani ya ndoa.

Ndoa nyingi zina feli sababu watu wanashindwa kuwa na mazungumzo muhimu kabla ya ndoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]pole sana ingawa nimecheka hapo kupika kinyeo Cha kuku huwa ni kitamu sana, [emoji23][emoji23][emoji23] I understand you hivo vitu vidogo dogo huua ladha ya mahusiano kabisa imagine kumuelekeza mtu mzima huwa inachosha, angalia asiwaambukize watoto ujinga maana wataalamu husema watoto hurithi akili za mama
Huyo mke ana akili Kama za mahouse girl ninaokutanaga nao mie, Sasa hivi tumeamua sisi wenyewe na watoto wetu tukamate majukumu ya housegirl na tukibanwa sana tutafute mtu anakuja kufanya usafi hiyo siku Mara moja moja Basi kesi inaisha.
Sijajua connection kubwa Kati ya housegirl na ujinga aisee, au sie tunagundu nao? Wengi wao hawajielewi na ukiwaelekeza wanaona wanaonewa na kuteswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Huo uzezeta wake hukuona mwanzoni? Au ndip ulisema atabadilika ndani ya ndoa.

Huwa tuna ignore red flags kwenye mahusiano ya awali
 
NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.

Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!

Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.

Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Huyo mwanamke anafanana sifa na mahousegirl wengi tunaokutana nao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa tunajadili hoja hatujadili maoni.

Maoni kila mtu anayo ila hoja ndani ya maoni hayo ndicho kitu cha msingi.

Pinga kwa hoja usiishie kusema maoni yangu na kufanya hiyo ni hoja ya kujitetea kwako.

Huu ujinga wa kumrundikia mwwnamke mikazi haukubaliki katu.
Sawa ndugu nimekubaliana na wewe....
 
Wapi na nani kasema kwamba ni lazima mke akuwekee maji ya kuoga mkuu ?

Ni sahihi mkeo anayepata kila kitu kutoka kwako kukuhudumia hata kukuogesha ikimpendeza. As long as anapata kila kitu kutoka kwako na yeye akili yake ipo kwa ajili yako akikusubiri urudi akufurahishe.

Tatizo linakuja mwanamume kuacha majukumu akitegemea mwanamke azibe pengo huku akitimiza majukumu yake kwa mume kwa 100%
 
Kuna wanaume mnajitambua asee
Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.

Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.

Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.

Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.
 
Back
Top Bottom