DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Miaka mitatu sasa mwanetu.
Upo humu utoe feedback? ile 120 ipo vilevile?
Tuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.Tupe mrejesho mkuu, vipi vicheko bado vimetawala hapo nyumbani au unashinda bar kukimbia kelele za nyumbani?😄😄
[emoji23][emoji23]mkuu umetudisiapointi sana sisi tulitaka tusikie kuwa nyumban kwako saivi hakukaliki kumewaka moto, lkn wai ayu pruving asi wrong mkuuTuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko [emoji23][emoji23]
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
🤭🤭 May be a change of state. From alive to... You knowYeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Daaahh, mnatukaanga sanaKuzaliwa kwenye familia masikini.
Wanasema kati ya watu 10 walio kwenye 3 ndo wanafurahia ndoa zao ! Huenda mimi pia ni miongoni mwa hao watatu kaka 😂😂[emoji23][emoji23]mkuu umetudisiapointi sana sisi tulitaka tusikie kuwa nyumban kwako saivi hakukaliki kumewaka moto, lkn wai ayu pruving asi wrong mkuu
Big Up my brotherTuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko 😂😂
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
Itamsaidia kuondoa utataMkuu hao watoto wa 4 nakushauri uwapime DNA.
[emoji16][emoji16]“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo
My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,
Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,
Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…
Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..
Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
Mnaendeleaje?[emoji3][emoji3] Nina mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Wanawake wakuoa wapo nitafutie bia nne nikufundishe ndugu huyo alikuwa mweweWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Yaani kama ulikosea na ukazaa naya basi hili ni kosa la Pili.Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Kaka, hana mdogo wake uniunganishe naye?Tuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko 😂😂
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
Tunaendelea vizuri mkuu !! Penzi limetaradadi kilo mia hamsini 🤣Mnaendeleaje?
A woman is a being full of confusions, she don't know even herself, today she can declare that " she loves you than her parents and there is no way can leave you, may be by death" & and tomorrow there come the declaration "I hate you than Satan" hahahaha...being masculinary enough isn't enough to control a woman if her true intentions to rebel have stood...so, take heed..take care of your health, love yourself, stand on what truth is, take hobbies, get busy, build yourself financially...care less about women, stop arguing with women, be a man enough to yourself.Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
We ni mwanamke au mwanaume?“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo
My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,
Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,
Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…
Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..
Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
Mimi ni genius haswa ....mtu mwenye akili nyingi duniani....sasa jamaa kasema alimwezeshe huyo demu maana yake kabla ya kuoana ndiyo alimkuta duni ila alimwezesha na kumwinua hadi walipo fikia kuoana tayari demu alikuwa na uwezo na connection nyingi kutokana na kuwezeshwa na huyo jamaa ....sasa kakosea wapi au wewe kichwa chako ndiyo kina akili za kuchambia.Watz wakiwemo wewe babako na mamako ee safi sasa toa hoja acha personal attacks af sku zote ulikuwa wapi uje kujibu leo yasiyokuhusu kukoza kazi nako ni kazi pole. Linda marinda
SAwa njoo bas nikupakate nikuchambishe kiongozi tumia akili zako genius kulinda MarindaMimi ni genius haswa ....mtu mwenye akili nyingi duniani....sasa jamaa kasema alimwezeshe huyo demu maana yake kabla ya kuoana ndiyo alimkuta duni ila alimwezesha na kumwinua hadi walipo fikia kuoana tayari demu alikuwa na uwezo na connection nyingi kutokana na kuwezeshwa na huyo jamaa ....sasa kakosea wapi au wewe kichwa chako ndiyo kina akili za kuchambia.
Uliza kwanza mimi ni nani humu JF sifanyaki kazi za kulinda marinda kaziyangu ni kupasua mrinda yenu walinda marinda yahee ...achana na kulinda marinda yako leta tuya tafune mabasha tupo ...SAwa njoo bas nikupakate nikuchambishe kiongozi tumia akili zako genius kulinda Marinda