Acha mbwebwe na sifa za kihaya za kiboya, au umenunua Washing Machine juzi??Inafikirisha...
Hatahivyo story yako inawalakini.
1. Unataka uwekewe maji bafuni? Wewe kwako hauna private shower? Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni mtu wa kipato cha kati. Unaishi wapi?
2. Kufuliwa. Umeshindwa kununua washing machine?
🙆🙆🙆Unazungumzia Watanzania gani hao?Inafikirisha...
Hatahivyo story yako inawalakini.
1. Unataka uwekewe maji bafuni? Wewe kwako hauna private shower? Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni mtu wa kipato cha kati. Unaishi wapi?
2. Kufuliwa. Umeshindwa kununua washing machine?
Soma uelewe wewe kimburu.Acha mbwebwe na sifa za kihaya za kiboya, au umenunua Washing Machine juzi??
NI watanzania wangapi wenye Washing Machine?
Pia wapo Matajiri wengi tu wanaweka Shower kwny public bathrooms lakini kwny Bedroom hawatumii...its a matter of choice
Huyo jamaa kutokana na maelezo yake inaonyesha ni mtu wakipato cha kati.🙆🙆🙆Unazungumzia Watanzania gani hao?
kila mmoja awe na private shower?
washing machine?
Maelezo ya kusadikika haya
Upo Tz kweli au ni wale slay queen vichwa panzi akili kisoda 🤠
PoleWadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Hunaga akili we shangaziYaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!
Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Sina eneji 😅binti kiziwi ulishapita humu..?
Nimekuwa maskini kwa kukosea kuoa noma sana,Bora Bora kuoa kijijini Tena asiye soma!Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Huyo uliyemwambia hivyo yupo Arusha au Dsm? Bora hata ungemwongelea mtu aliyeko Nairobi au J'burg sio BongoSoma uelewe wewe kimburu.
1. Huyo jamaa anaonyesha ni mtu wa kipato cha kati. Hasa ukisoma maelezo yake, sasa ashindwe vipi kuwa na shower ahangaike kupelekewa maji bafuni? Unaakili wewe?
2. Kama upo Arusha town au miji mikubwa ni kawaida kuwa na washing mashine si ufahari au utajiri.
Umeelewa
Mtu mwenye kipato cha kati ni rahisi kumiliki washing mashine, si ufahari.Mta ndio nini sasa wewe Kobe?
Hebu kwanza, kajifunze kuandika
Pili, Acha Ushamba
Tatu, Acha dharau, heshimu watu
Hayo yatakusaidia ukizingatia.
😂Kudadeki yaan hata ukitunga sentensi kwamba mpaji anaoa inakataaa