Ni uvivu tu unawasumbua, hakuna lolote. 😁Una confuse kitu gani? Wewe ni mam mfanyakazi je ukirudi home kwako hutataka kumtengea mumeo chakula? Mi nawashangaa sana wanawake wa humu😅.
Nina cousin ni auditor wa TRA na mumewe yuko TASAC. Walianzana jamaa akiwa senior auditor TRA baadae akahamishiwa TASAC. You can imagine uhasibu ulivyo demanding ila mwanamke wakirudi wote kazini anapika wanakula na watoto wao na dada wa kazi yupo lakini😅 saingine wanakuwa hawana dada!
Sijawahi sikia yule binti wa watu akilalamika eti kupika anachoka😅 yani ni aibu na fedhea ila kuna watu humu kufanya kazi ni kisingizio kikubwa😅
Tunaomba uongezewe ulinzi... Wanawake bora kama wewe wanapungua kwa kasi sana.Shoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
What a wife material!Hakuna mwanamke asiyependa kumdekeza mumewe apatapo nafasi, ila inategemea kwa mama mfanyakazi kama atapata muda jioni ni vizuri kupika na kumtengea mume ila ikitokea amechelewa kurudi labda , mume amuelewe na asicomplicate maisha kama dada yupo basi atasaidia kupika, ila mimi sitopenda dada amsevia mume wangu chakula ntajitahidi nimsevie mwenyewe ama ajisevie mwenyewe.
Ila on weekends kupika ni lazima mama mjengo nioneshe maujuzi jikoni harufu nzuri nyumba nzima hadi baba mjengo aseme leo kaingia mama mwenyewe jikoni rahaa.😀
Ila wanaume nyie mnadeka sana eti tuwatengee chakula, maji ya kuoga wakati mlivokua single mlikua mnasugua hadi sufuria na michanga na kubeba madumu ya maji, ila ghafla umeoa basi umegeuka mtotoo huwezi hata kusogeza maji ya kuoga bafuni🤪. Ila fresh tu tunawapenda hivo hivo watoto wetu.
Mwanaume uliyeoa kama unapika, unafua, unadeki na kazi nyingine za nyumbani ujue wewe ni bwege... Usisingizie kazi ya mkeo, hiyo siyo excuse. Wewe ni bwege tu, ubadilike.Naishi hapa hapa Tz.
Ila nimeamua kuacha kuishi kimazoea na kipumbavu,haiwezekani mtu na mkewe wote wanaenda kazini alafu mtu anafosi mke akirudi aanze kupika,kufua,kushughulikia nyumba n.k sasa huyo mke au chuma ?
Ukitaka hayo mwambie asifanye kazi akae nyumbani,mtimizie kila unachoweza alafu hapo akiwa hafanyi hizo kazi ndo mtu aje aanze lawama humu
One man down! 😥Upuuzi tu na kuiga wazee wa zamani.
Kuwekewa maji ya kuoga sio vibaya ila vibaya ni kulalamika endapo mtu hujawekewa maji ya kuoga.
Mimi upuuzi huu kwwngu siutaki.
Upuuzi wa kuwekewa maji ya kuoga.
Upuuzi wa kuagiza maji ya kunywa wakati mwenyewe naweza kwenda kuchukua hizi ni puuzi za kuachwa tu hazifai katika jamii ya kitanzania.
Maji ya kuoga unatakiwa uweke mwenyewe chooni.
Kisingizio wametoka kazini wote... Sasa kama kazi inamzuia kutimiza majukumu yake si aiache!Ila nimeshangaa sana mke hata kumpikia mume wake tuu inakuwa ni big deal eti kisa na yeye katoka kazini!!! Real!! Yaani na makichen utilities yote kwa ajili ya kurahisisha kazi za jikoni bado mtu anakuwa mvivu!! Chaaaa!
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Mwanaume uliyeoa kama unapika, unafua, unadeki na kazi nyingine za nyumbani ujue wewe ni bwege... Usisingizie kazi ya mkeo, hiyo siyo excuse. Wewe ni bwege tu, ubadilike.
Umesahau Nakadori ni mchepuko wa mjomba wake?Tunaomba uongezewe ulinzi... Wanawake bora kama wewe wanapungua kwa kasi sana.
Na kalika kweliMjomba alikua akifikiria dinner meeting za kila siku anaona kabisa mama huko alikokua wakurugwa wameshamkula wife 🤣🤣
Swadakta.Labda ungewashauri tuu vijana wasioe kabla hawajipanga lkn sio kuwakebehi vijana walio na kipato cha chini katika nchi yenye asilimia zaidi ya sabini ya watu wasio na ajira rasmi tia maji tia maji.
Ni theories tu, huyo financial services hajaolewa huyoWhat a wife material!
Pole mkuu, ndoa ni kuvumiliana wanasemaNGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Sababu mwanaume alishajiandaa kuchukua majukumu yake na mie nilishajiandaa kuwa mama.Kama mbele mbele yaani. Maisha ndio hayo sasa. Mungu akupe nini tena.
Wanakuwa brainwashed. Ni hawahawa huunga mkono ndoa za jinsia moja, n.k.Kuna wanaume wanakuwaga na mtazamo kama huo uloandika hapo, basi iwapo ikitokea wakaenda nchi za Ulaya na America mfano kwenda kusoma au kuishi kwa muda fulani reasonable hujifunza kuona jinsi wanaume wa jamii zile wanavyosaidiana na wake zao kazi za nyumbani na kuona kumbe ni jambo la kawaida kabisa na wala sio ubwege kama uunavyozani na wengine wa nchi maskini.!
Wengine wanarejea bongo huanza kuwaambia wake zao sababu watoto walau wamekua kiasi basi hainahaja ya kuishi na mayaya sababu ya usumbufu wao, hivyo tujipange mimi na wewe tusaidiane kazi za hapa tukishatoka kwenye shughuli zetu kisha maisha yanaenda vizuri.
amu! Hilo ndilo Tatizo la siku hizi. Kijana less than 30 years unakimbilia ndoa ili iweje? Tulipokuwa vijana, tulielezwa kuwa kabla ya kuoa lazima ujipange! Hata ukimuoa Samia lazima ujue kuwa wewe ni provider. Lazima ujipange kiuchumi na kijamii. Kuoa maana yake ni mwanaume kuwa head of household (angalia definition ya sensa ya mwaka kesho). Huwezi kuoa wakati wewe si head of household (yaani mwanamke anakuzidi elimu, kipato, umri na madaraka) huko si kuoa bali ni kuolewa. Utaoaje uishi katika nyumba ya mkeo - hapo yeye ndiye head of the household. Hii hali ndiyo cariha anasema inachochea inferiority complex kwa wanaume hasa wanaolelewa.Swadakta.
Wajipange ndo waoe.
Wabebe majukumu yao.
Kweli.Na hapo kwenye kuchagua ndipo panapowashinda wanaume wengi! Wengi walivyo wabinafsi wanataka vyote wanataka wanawake wa kusaidiana nao maisha and yet wawatreat kama wafalme bila kujali kama wenzao wanachoka ama la!
Mnaambiwa mke , mchumba hasomeshwi hamtaki kuelewa, acha mnyooshwe kwanzaVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially