wanajisahaulisha tu hawa. kwanza akitoka amechoka kazini hata kitombo hatoi anasema amechoka sembuse kuanza kuosha vyombo, kupiga kudeki sijui kufua. pyuuuuuSiyo kweli kwamba huyo mwanamke ni multiple human being awe anaacha ya kazini a nafanya ya nyumbani!?
Yaani mnataka tushirikiane kwenye mambo ya kuingiza pesa and at the same time tuwafulie and every thing 100%?
Wewe mwanaume na nguvu zako unaweza kufanya kazi zako za ofisini na kisha kutimiza majukumu ya nyumbani?
Kwani wapi imeandikwa wajibu wa mwanamke ni kufanya kazi za nyumbani? au ni mfumo dume tu uliowekwa na nyinyi wanaume wenyeweKati ya mwanaume na mwanamke anayetumikishwa ni nani hapa Duniani? Kutimiza wajibu wako ni kutumikishwa? Si Bora uishi mwenyewe sasa.
Umeongea kishabiki.mm ukiniambia nichague bora mwanamke anaejiuzia maandazi kuliko hao walioajiliwa hadi kufunga mtoto nep hawajuiYaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!
Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Kuna shida mahali kwa binti huyu, nimepenyezewa hapa anakimbilia late 30 bila ndoa, kitu ambacho nimekujua gundua ana jeuri na mjivuni na hii si nzuri kwa mwanamke, wapo wanawake wana vyeo, mishahara mikubwa na elimu kubwa ngazi ya U- proffesa wala hutoona analilia kumpikia mke wake.Katikati ya mstari naona una tatizo kubwa sana la kisaikolojia linalohitaji msaada wa haraka sana.... samahani kama umekwazika
Imeandikwa kwenye maadili ya jamii za kiafrika,huwezi acha usifanye na uishi mwenyewe..Kwani wapi imeandikwa wajibu wa mwanamke ni kufanya kazi za nyumbani? au ni mfumo dume tu uliowekwa na nyinyi wanaume wenyewe
Wewe ni kichaa, ukapimwe akili, yani uteseke kwa ajili ya watoto?Wanawake wasomi kama huyo huwa hawaolewi, wao ndio wanaoa.
Ila kama uliweza kuishi nae kwa miaka yote hiyo na kupata nae watoto wanne, ningekushauri ungeishi nae tu hivyohivyo kama skrepa lako kwa maslahi mapana ya watoto.
Pole mkuu. Kwakuwa tayari Mahakama imeshabariki Talaka hapo hamna suluhisho lingine.
Ni aibu kuacha puu yako.Kuna wanaume asili yao unyanyasaji.
Kuna dasa aliwahi sema mumewe akimaliza kupui haflash ananawa huyo mwanamke ndo aflash.Imagine mtu wa hivyo???
Kuna wanaume wao wanachelewa kuamka lakini ataamka utakuwa umeshamuandalia chai maji nguo n.k lakini kutandika tu kitanda hawezi anasubiri mke atandike.
Yaaani mwingine mnaweza kurudi wote home saa 4 usiku inabidi useme mnunue chakula mkifika mlale tu anagoma eti apikiwe??kweli saa 4 ufike na kuanza kupika??
Yaani kina vitu vidogo vya ubinadam tu lakini vinakosesha nyumba amani.
Uzuri ni kwamba wanatambua hilo haliwezekanai ila wanashupaza shingo tu. Mambo kwa ground hayako hivi wanavyoyashupalia. Mambo kusaidiana jamani ndio maana tunaweka house maids. Sasa pesa tunatafuta za nini ikiwa haziwezi kuturahisishia maisha yetu?Siyo kweli kwamba huyo mwanamke ni multiple human being awe anaacha ya kazini a nafanya ya nyumbani!?
Yaani mnataka tushirikiane kwenye mambo ya kuingiza pesa and at the same time tuwafulie and every thing 100%?
Wewe mwanaume na nguvu zako unaweza kufanya kazi zako za ofisini na kisha kutimiza majukumu ya nyumbani?
Hahahahahah hawajuagi show kali! Baada ya miezi 6 tu chali harusi sikuhizi watu wanafanyia fashion tu 😅 ila saikolojikale hawana ukomavu wa ndoa!huwa naangalia harusi za vijana wa kileo kwenye social platforms za ma-MC maarufu wa kibongo.
naangalia vipande vya video zikionyesha maharusi wanavyoingia ukumbini kwa mbwembwe, bashasha na mikogo yote. kimoyomoyo nasema hiiiii(kwa sauti ya marehemu magufuli).
Hawa ndio wanaume sasa.Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.
Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.
Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.
Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.
Mkuu vp ulipotea ghafla,nacheki nakuta umepigwa banMkuu ilikuwaje ukaoa mke kilaza namna hio au ndio mlikutania KFC 😅🤭🤣 penzi likachipua? Au ndio zile connection za dada yangu hana mtu nikuunge nae😅
Sitetei wanaume ama wanawake irresponsible.Kila mtu anapenda responsible partner ila sikuhizi wanaume mnapenda kitonga na kulelewa sana, Sasa mtu akulee, akupe kila kitu wewe kazi yako kugegeda tu na yet akitoka kazini apinde mgongo kukufuraisha huku umechoka na unajua tu kazi huchosha, Kuna vikao vingi, kuandaa ma report plus stress mara za maboss yet akirudi nyumbani unataka ASI relax aanze kupika kukufulia na mikono eti Ili umuone ndio mke Bora, hayo maisha ya ujima na u primitive yaliisha baada ya vita viwili vya dunia.
I advise my fellow women kutafta wanaume wanaoendana kielimu na hata wanaojua mziki wa kazi jinsi ulivo maana, ukijfanya umeolewa na mwanaume umemuzidi elimu, huku yeye ni darasa la saba au machinga lazima hyo ndoa ife kifo Cha mende
Makaburini si mnakwenda kwa viranga vyenu, hebu itathminini life style yenu mjue wapi mnakosea. Si huwa mnaona sifa eeh? Kumbe hamjui mnalikaribia kaburi.Ingekuwa kuna ugumu kuliko majukumu ya mwanaume basi makaburini kungejaa wanawake,sasa ni wengi lakini wanaume wachache wameyajaza makaburi.
Ulikubaliana na nani?Mbona wanaume tulisha kubaliana hapa ndani kwamba hakuna kuoa...[emoji53]
Ndio maana nimekujibu ni mfumo dume, lakini pia inaweza kuwa kipindi hizo tamaduni za majukumu ya nyumbani ni ya mama zinawekwa kina baba walitimiza wajibu wao kwa kuhudumia familia mke akabaki na majukumu ya nyumbani tu. Lakini tamaduni hizo haziwezi kuendelea kushikiwa bango sasa hivi kipindi ambacho mke na mume wote wanatoka kutafuta. Muda unapoamua kuoa mke mfanyakazi jua tu hawezi kukuhudumia kama yule anaeshinda nyumbani full time.Imeandikwa kwenye maadili ya jamii za kiafrika,huwezi acha usifanye na uishi mwenyewe..
Kwani wewe hapo unapoishi na majirani zako unaona nani wanafanya hizo Kazi? Umewaona wanaume? Uje uwaulize wapi pameandikwa watakupa jibu.
Hili hakuna mtu kalikataa 😛 swala ni kusingizia eti hata glass ya maji kumpa mumeo huwezi kisa mmetoka wote kazini! Huo ni utoto wa hali ya juu, au kupakuwa chakula mle unaona kama utumwa you must be death!Uzuri ni kwamba wanatambua hilo haliwezekanai ila wanashupaza shingo tu. Mambo kwa ground hayako hivi wanavyoyashupalia. Mambo kusaidiana jamani ndio maana tunaweka house maids. Sasa pesa tunatafuta za nini ikiwa haziwezi kuturahisishia maisha yetu?
House maids wanafanya majukumu kwa maelekezo yetu, pale inapobidi na muda unapopatikana basi tutafanya ila isiwe eti ni lazima as if sie ni machines ebo!!
Mmeishiwa hoja mmeanza personal attacks na wimbo wenu uleule.Kuna shida mahali kwa binti huyu, nimepenyezewa hapa anakimbilia late 30 bila kitu ambacho nimekujua gundua ana jeuri na mjivuni na hii si nzuri kwa mwanamke, wapo wanawake wana vyeo, mishahara mikubwa na elimu kubwa ngazi ya U- proffesa wala hutoona analilia kumpikia mke wake.
Huyu mwanamke kuna shida mahali katika serikali ya ubongo wake, na sio huyu tu wapo wengi humu wanajazana ujinga masaa 24.
Usimshangae Nature ishamkataa ataendelea kuwa sperm deport ila ndoa ataisikiliza kwa wengine.
Ishu ya Samson na Delila ni tofauti kidogo.Hapo kwenye kumpenda utafanyiwa kama Samsoni wa Delila na Adamu wa Hawa.
So long as kwa aina hii ya maisha sipungukiwi kitu kwangu naona ni raha tupu.Maana kuna familia naziona yaani mwanamke ni kukaa tuu na kula mwanamke ni kuhangaika mda wote si Kazi za nyumbani za uchumi wala kitaani
Yaan anakunya halafu haflash? Mbona huyu ni mnyanyasaji?Kuna wanaume asili yao unyanyasaji.
Kuna dasa aliwahi sema mumewe akimaliza kupui haflash ananawa huyo mwanamke ndo aflash.Imagine mtu wa hivyo???
Kuna wanaume wao wanachelewa kuamka lakini ataamka utakuwa umeshamuandalia chai maji nguo n.k lakini kutandika tu kitanda hawezi anasubiri mke atandike.
Yaaani mwingine mnaweza kurudi wote home saa 4 usiku inabidi useme mnunue chakula mkifika mlale tu anagoma eti apikiwe??kweli saa 4 ufike na kuanza kupika??
Yaani kina vitu vidogo vya ubinadam tu lakini vinakosesha nyumba amani.
Anafikiri anaoa kwa ajili ya kumbato tu[emoji23][emoji23][emoji23]Oa pale unapokuwa umejiandaa kuwa baba, kubeba majukumu yako.
Sasa wewe unafikiri unaoa kwa ajili ya nini???