Kila mtu anapenda responsible partner ila sikuhizi wanaume mnapenda kitonga na kulelewa sana, Sasa mtu akulee, akupe kila kitu wewe kazi yako kugegeda tu na yet akitoka kazini apinde mgongo kukufuraisha huku umechoka na unajua tu kazi huchosha, Kuna vikao vingi, kuandaa ma report plus stress mara za maboss yet akirudi nyumbani unataka ASI relax aanze kupika kukufulia na mikono eti Ili umuone ndio mke Bora, hayo maisha ya ujima na u primitive yaliisha baada ya vita viwili vya dunia.
I advise my fellow women kutafta wanaume wanaoendana kielimu na hata wanaojua mziki wa kazi jinsi ulivo maana, ukijfanya umeolewa na mwanaume umemuzidi elimu, huku yeye ni darasa la saba au machinga lazima hyo ndoa ife kifo Cha mende