Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kwani kupika ni dhambi yeye apike ka anataka na anajiskia kufanya hivo no problem at all, Yani awe anaskia njaa na vitu viko afe njaa akisubiria mtu amfanyie, na ka amechoka ale huko huko ashibe Cha kufia nini?
 
Nishasema sana hapa HAYA WANAWAKE WENYE VIAJIRA SIO WA KUOA, NI WA KUTAFUNA NA KUTUPA KAMA CONDOM. Haya yamemkuta mtoa mada na corporate lady. Hawa kina #cariha ni ya kutomb..a na kutupa ukijifanya kuoa haya mamtu utajuta.
Soma comments kuna mmoja amemuoa mama wa nyumban na anamkera. Usikariri
 
Shoga ukiona utumwa utasaidiwaaa
Me yoote tusaidiane lakini swala la usafi wake, kunyoa na K nitayafanya hadi kufa hata niwe nimechoka.
Ma corporate ladies hawawezi kukuelewa!......wapo corporate ladies wachache sana ambao pamoja na vyeo vikubwa maofisini ,hela nk lakini wapo down to earth wakiwa nyumbani...Humu wengi hawajielewi
 
Sawa kama kipo mezani ila meza haijaandaliwa kabisa na mke kajinyoosha anataka mume akajipakulie
Meza inaachwaje kuandaliwa jamani hiyo kitu si constant na utaratibu wa nyumbani hauwezi kuhadilika kamwe
 
Very possible mkuu
 
Hapo pa wanaume tia maji tia maji nimepapenda sanaaaa.
 
Ma corporate ladies hawawezi kukuelewa!......wapo corporate ladies wachache sana ambao pamoja na vyeo vikubwa maofisini ,hela nk lakini wapo down to earth wakiwa nyumbani...Humu wengi hawajielewi
Kwenye swala la mapenzi vyeo inabidi vibaki mlangoni ziingie nafsi mbili tu ....vyeo vikiingizwa basi uasili wa neno mapenzi unakuwa haupo. Mwanaume awe mwanaume na mwanamke awe mwanamke kimajukumu ya asili. Hata uchepukaji ukiwepo kutakuwa na alama zisizofutika milele ambazo ndo zitakazia bond iliyopo.
 
Nashukuru, vinginevyo ningeua au ningekuwa chizi.....kweli kuna watu wanaongea tu humu lakini kuna wanawake majeuri na viburi siyo vya nchi hii....yaani inafikia kurudi nyumbani kwako unaona kama unakwenda jela?....yaani hata akiwahi kurudi au weekends au public holidays hajishughulishi na chochote zaidi ya kuwa bize na simu ,ipad nk......Wacheni nyie jamani!
 
Nishasema sana hapa HAYA WANAWAKE WENYE VIAJIRA SIO WA KUOA, NI WA KUTAFUNA NA KUTUPA KAMA CONDOM. Haya yamemkuta mtoa mada na corporate lady. Hawa kina #cariha ni ya kutomb..a na kutupa ukijifanya kuoa haya mamtu utajuta.
[emoji23][emoji23][emoji23] wanawake hatuna shida, nyie ndio mna matatizo vichwani kaoeni wanawake size yenu mtaacha kulia lia humu oooh
 
Anajimekapu na kuvaa madera kwenda kwenye vikoba

Wakati jamaa mwenye mke kakalia kibao cha mbuzi korodani ziko nje anakuna nazi.[emoji1787]

Huyo ndio jentomeni corporate ladies wanemtaka[emoji1787][emoji1787]
 
Ndiyo ashindwe kujishughulisha hata weekends au holidays? anashinda kwenye simu,iPad bhaaas!?
 
Mwanaume mwenye akili hana mda mchafu kushindana na mwanamke wala hana malalamiko madogo yasiyo na kichwa wala miguu
Na kwa kuyajua hayo, tunakuwa hatuna muda wa kushinda na wanawake wenye viburi na ubeijing mwingi.
 
Nimeoa na nimeacha nw single na enjoy maisha.
 
Mnaonaje badala ya kuhangaika na wanawake wa kazini wanawapasua vichwa hadi mnachanganyikwa,kwanini msioe tu wale majobless ili muwatumikishe mtakavyo na muishi bila kufanya kazi yoyote nyumbani kama walemavu!
Hayo ndio maamuzi yetu, tutaoa working class women, na watafanya kila kitu cha nyumbani...walileta fyko ni spana za kwenda tu[emoji23], msitupangie coz huyo Mungu alisema sisi tunaitawala dunia.[emoji23]
 
Feminists wengi kwanza ndoa zilishawashindwa.

Wanaishi miserable life kwanza unaweza note tu wana psychological disorders.

Wanawake wanaojilewa hukaa mbali na feminists.

Feminism is here for moral destruction.
 
Ndiyo maana nilisema ma corporate ladies mnawezana na hao wapenda kitonga na ndiyo mnaweza mkakaa nao kindoa na si vinginevyo.Mwanamme anayejielewa hawezi akaoa ndani watu kama nyie wa mashindano...mimi nilioa wakati bado hajawa corporate lady. ELEWA HILO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…