A bitter truth, wengi hawatakubaki lakini ndio uhalisiaKumbuka tu, tunaitawala dunia, mambo on the ground sio kama tunavyojadili hapa, mtapika, mtadeki, mtaosha vyombo, mtafua, mtatenga maji...halafu mtatupa mbususu! Tena ukipapaswa kalio usiku tulia kabisa usikilizie [emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ndugu apige matukio asipige ni utamaduni niliojiwekea kufanya niyafanyayo
Swala la kuvumilia au kutokuvumilia matukio ni lingine. Popote nitakapokuwepo huwa nina package yangu kwa ajili ya mwanaume wangu. Siwez kusex na mtu mchafu ambaye sijamthibitisha kwa viwango nilivyojiwekea. Nafanya kwa ajili yangu ili niwe huru wakati wa sex...ni usafi kwa ujumla. Kifupi siishii kubeba ndoo tu ila namkalisha kwenye kigoda (kwa nyumba zetu za self kiswazi Swazi) namsugua anang'aa kama ndo katoka kuzaliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo umeamua mdogo wangu!!!hao ndo wanaume mamà!!Unaona mnavyotetea ujinga na kuvutia upande wenu! Ninyi mwanamke asipotimiza majukumu yake huwa mnashindwa kuvumilia mbona hamsemi two wrongs dont make a right ila mwanaume asipotimiza majukumu yake mnataka sisi tuvumilie na ndiyo mnakumbuka hiyo misemo kutetea ujinga wenu?
Moja ya wimbo bora sana wa kizazi hiki kutoka kwa dizasta.
Mdogo wangu we unaelewa haya mambo, saa tisa usiku usingizi umekukaba jamaa anaanza mambo yake, lazima upanue huna ujanja.Saa Tisa unaamshwa na mkono unapapasa kaah...ila nyie watu mweeeh![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!
Kila mtu anafanya kile alichozoea sikulazimishi ufanye nifanyavyo. Ukiona ni utumwa achaaa.
Usiku mwema.
Samia ndiyo anafanya kazi nyingi mkuu usitake tudanganyane hapa! Mwigulu ni kiongozi wa wizara moja while Samia ni kiongozi wa nchi nzima hapo anayetakiwa kuumiza kichwa zaidi ni Samia!Kati ya samia na mwigulu nani anafanya kazi nyingi
Na ndo maana hataki kukusikiliza maana ashajua huna pa kwenda
Utakufa kabla ya siku zako we endekeza tu mapenzi.
Na kama hakusikilizi tambua yupo mwingine mahali anayemsikiliza
Basi ndiyo iko hivyo hata kwa wanawake! Huwezi kutimiza majukumu yako kwa mwanaume asiyejielewa!Sasa umesema hakutii na hakuheshimu sasa hapo utatimiza vipi majukumu? Unless umerogwa.
Swali zuri sana, yaani sijui hawa wenzetu wa jinsia tofauti wana mawazon ganiWoooiiìiii kwa hiyo tuache kusomesha mabinti zetu au tuwasomeshe tuu ila wawe mademu za watu na sio wake za watu??
Mkuu bila shaka nawe unatimiza majukumu yako yote! Huulizii mshahara wa mkeo na unamhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na watoto na unalipia bills zote peke yako!
Teh mkuu sisi maandiko tunayajua vizuri sana ila huwa tunaamua kutambaa na beat tu! Mwanaume ukiacha kutimiza majukumu yako nasi tunaacha kutimiza yetu siyo ninyi kujifanya maandiko kuhusu majukumu yenu hamyaoni ila mnataka sisi maandiko ndiyo tuyafuate kikamilifu teh!Wewe mwenyewe biblia huijui, ungeijua husingeleta ligi za kipuuzi humu kwani biblia imebaanisha majukumu ya mwanamme na familia kwenye ndoa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Nani huyo Nakadori? Mjomba wako?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha Tu, kumbuka hapo na Mimi nafanya kazi. Ila Kwa haya niliyoyasoma humu nimejua mie ni bonge la mke.
Aahh kwa kweli! Wanajifanya humu oo mimi mke wangu asipotimiza majukumu yake lazima nichepuke, muulize sasa kwamba je mke wako akitimiza majukumu yake yote ndiyo hautachepuka, wanahamia kwenye nature utasikia oo unajua sisi wanaume kuchepuka ni nature tu ila tunawapenda teh![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora tu wale michemsho ya wasaidizi wa kazi.
Dooh hapo sasa ndipo ulipoharibu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ananidai hela maana nilikunywa kreti nzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutakwenda nao hivi hivi, usijichoshe.Aahh kwa kweli! Wanajifanya humu oo mimi mke wangu asipotimiza majukumu yake lazima nichepuke, muulize sasa kwamba je mke wako akitimiza majukumu yake yote ndiyo hautachepuka, wanahamia kwenye nature utasikia oo unajua sisi wanaume kuchepuka ni nature tu ila tunawapenda teh!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uliniambia ninywe soda ila hukusema idadi, sasa mimi kosa langu nini jamani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Dooh hapo sasa ndipo ulipoharibu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ningekuwa mimi ningemfungulia kesi ya madai, na kwakuonesha kwamba niko serious ninge hakikisha kesi ingesimamiwa na kibatala, mtobesya pamoja na mallyaVery funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially