Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kuwekewa maji ya kuoga ,kunawishwa mikono na vyote ulivo andika Ni vitu vidogo sana kuvi quote kwenye huu Uzi.
Yaani asipoambiwa chakula tayari ni kesiπkweli ni jamii zilizotulea kwa mfumo huo, sorry what are those kitchen politics? Sijaelewa unataka usiambiwe chakula kimeisha?nk.Kuna wanaume take these things serious
Binafsi I dont care who cooked that shit
Kinachoniudhi ni pale anaponiletea ujinga wa kitchen politics na mimi zinihusu
Kuna mshikaji wangu mmoja yeye asipoambiwa "chakula tayari" basi hali halafu ugomvi wake hauna mwisho
People are different aisee and some people take these things very very serious,I dont know inatokea wapi,nadhani society ndio imeleta haya,its the one to blame!
Sasa si ukae nae siku moja umfundishe badala ya kuendelea kulaumu
Wengine tunajua cz tulifundishwa kuandaa nyumbani tukiwa wadogo
Ukute ye hakupata hio fursa
[emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli bana heshima pesa tu nyingine mbwembweKwahio kazi ndio mumeo [emoji28] asee 60 tutafika tukiwa tumechoka sana
Ni kweli kuna hali hiyo pia. Ni wazi huyo mke hana tabia ya kujishusha, Ni wale wanawake ambao Mume akimwaga mboga yeye anamwaga ugali.Mkuu KANYIMBI msome vizuri Umusolopogasi, huyo jamaa ana tatizo kubwa kuliko unavyodhani.
Achana na mapishi na vyakula nk, lakini kubwa na zito sana hapa ni namna mke wake anavyodekeza watoto.
Mke anaingilia namna unapenda kuwaongoza watoto wako.
Kila unapowaonya watoto, mke wako anajifanya hodari kuwatetea.
Huu ni uchonganishi.
Watoto wanapata picha kuwa baba yao ni muonevu, asiye na huruma na mkatili.
Mkuyenge vipi? Si tulikubaliana mwanaume show?[emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli bana heshima pesa tu nyingine mbwembwe
Umeandika ukweli michepuko na kukosa uaminifu ndio huleta ukaidi, na kama no michepuko it's easy to reconcileChangamoto zipo palepale! Ila nilichojifunza, ndoa kama hakuna mtu kati yenu (mchepuko uwe wa kiume au wa kike), changamoto zinakabilika na maisha yanasongambele. Ndiyo maana nahusia vijana wanaotaka kuoa au kuolewa mwanaume awe kama 35 na mwanamke 30 years. Hapo watafika hata 100 wakiwa pamoja si vipande vipande
Kwa mambo unayopenda ulitakiwa uoe mama wa nyumbani...Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Jibu hoja achana na ku attack vitu personally umefilisika kihoja, jf sio beauty pageant useme wanabagua wachangiaji wewe mrombo au umeshalewa Ile chang'aa inayowamaliza wanaume nguvu za kiume huko ROMBo ndio maana mke kakukimbia, usituchafue wanawake wa humu kwa kujificha na sura mara tackle that's very low to a great thinker.Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.
Mwanaume machine napo msingi, ukiwa unampiga mkeo mkuyenge na kumkojoza hata kugombana kutaisha kabisaMkuyenge vipi? Si tulikubaliana mwanaume show?
Umemchukulia hivyo
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.
πππππππππππ kumbe ugomvi sio wa pesa tu! Nafikiri ifikie wakati ndoa ziwe kwa ajili ya starehe za ngono tu kila mtu aishi kwake tu...Mwanaume machine napo msingi, ukiwa unampiga mkeo mkuyenge na kumkojoza hata kugombana kutaisha kabisa
Pray for me lady...just pray for me so i can keep her! Or else you gon be the one to stay[emoji28]
Mwache aendelee kupika tu wakati mke anajua kabisa ni uzoba anaofanya kisha atavuka mitaa aende akampikie mwalimu wake wa GYMπUmemchukulia hivyo
Na km ushajua udhaifu wake
Acha mambo ya kupika yafanywe na binti wa kazi ambae mshamfundisha
Ama section ya kuku na samaki afanye dada
Mama afanye anayoyaweza zaidi
Ama unahisi wewe as a husband and father uko kamili gado kila sehemu 100%??
Mkeo angefunguka hapa tungeshangaa
Umemchukulia hivyo
Na km ushajua udhaifu wake
Acha mambo ya kupika yafanywe na binti wa kazi ambae mshamfundisha
Ama section ya kuku na samaki afanye dada
Mama afanye anayoyaweza zaidi
Ama unahisi wewe as a husband and father uko kamili gado kila sehemu 100%??
Mkeo angefunguka hapa tungeshangaa
Uswe hvo aisee tembea na theory mama.Thank you Mzee babu, ila si wajua theories tu kwa ground mambo huwa tofauti[emoji23]
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.