Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kuna wanaume take these things serious

Binafsi I dont care who cooked that shit

Kinachoniudhi ni pale anaponiletea ujinga wa kitchen politics na mimi zinihusu

Kuna mshikaji wangu mmoja yeye asipoambiwa "chakula tayari" basi hali halafu ugomvi wake hauna mwisho

People are different aisee and some people take these things very very serious,I dont know inatokea wapi,nadhani society ndio imeleta haya,its the one to blame!
Yaani asipoambiwa chakula tayari ni kesi😒kweli ni jamii zilizotulea kwa mfumo huo, sorry what are those kitchen politics? Sijaelewa unataka usiambiwe chakula kimeisha?nk.
 
Muwe mnasoma na kuelewa. Msiwe mnarukia mambo bila kuelewa! Kwa hiyo mimi ndiye nilipelekwa unyago siyo? Miaka 12 haitoshi kujua kuwa kinyeo inabidi kitolewe kwenye kuku kabla ya kupikwa.

1639034769957.png

Sasa si ukae nae siku moja umfundishe badala ya kuendelea kulaumu

Wengine tunajua cz tulifundishwa kuandaa nyumbani tukiwa wadogo
Ukute ye hakupata hio fursa
 
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.
 
Mkuu KANYIMBI msome vizuri Umusolopogasi, huyo jamaa ana tatizo kubwa kuliko unavyodhani.
Achana na mapishi na vyakula nk, lakini kubwa na zito sana hapa ni namna mke wake anavyodekeza watoto.
Mke anaingilia namna unapenda kuwaongoza watoto wako.
Kila unapowaonya watoto, mke wako anajifanya hodari kuwatetea.
Huu ni uchonganishi.

Watoto wanapata picha kuwa baba yao ni muonevu, asiye na huruma na mkatili.
Ni kweli kuna hali hiyo pia. Ni wazi huyo mke hana tabia ya kujishusha, Ni wale wanawake ambao Mume akimwaga mboga yeye anamwaga ugali.

Ukiona Mke anakuwa hivyo unapata jibu kuwa kuna mgogoro/ uhasama kati ya mume na mke na kupelekea Mke kuhamishia upendo wote kwa watoto. Hivyo Jambo lolote utakalowarekebisha au kuwakataza watoto, yeye Mke lazima atakuwa kinyume nawe. Naikumbuka hali kama hii ilijitokeza sana kwa wazazi wangu siku za nyuma.

Utakuja kushangaa pale Mume akianza kurejesha upendo kwa mkewe na kufurahia yote ayafanyayo, Mume akiwachapa watoto au kuwasema na mke nae anakuwa upande wa Mume kuwakaripia watoto.
 
Changamoto zipo palepale! Ila nilichojifunza, ndoa kama hakuna mtu kati yenu (mchepuko uwe wa kiume au wa kike), changamoto zinakabilika na maisha yanasongambele. Ndiyo maana nahusia vijana wanaotaka kuoa au kuolewa mwanaume awe kama 35 na mwanamke 30 years. Hapo watafika hata 100 wakiwa pamoja si vipande vipande
Umeandika ukweli michepuko na kukosa uaminifu ndio huleta ukaidi, na kama no michepuko it's easy to reconcile
 
Kwa wale ambao wanaishi mazingira yanayohitaji Mwanaume kupelekewa maji bafuni nashauri wanawake endeleeni kuwapelekea wanaume wenu maji bafuni maana kwa kufanya hivyo ni sehemu ya kuonesha mahaba na mapenzi.

Mwanamke umeitwa kuwa mlezi wa familia kama jukumu la msingi.

Iwapo umeolewa na aina ya Mwanaume anayeteka apelekewe maji bafuni (Mwinyi) mpelekee tu kwa furaha huku ukiona fahari kumtumikia mumeo bila manung’uniko may lawama.

Usimlinganishe mume wako na wa jirani yako maana hawafanani walivyokuzwa na kulelewa mazingira yalikuwa tofauti.

Marriage couples are unique in most cases, we should not treat all the same apart from all things which are in common but modalities can differ!

The one who read must understand.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Kwa mambo unayopenda ulitakiwa uoe mama wa nyumbani...

U cant have a corporate lady and a house wife at once
Kuna vitu utakosa
ht km hana dinner meetings

Natamani tungesikia upande wa mkeo
Ukute matumizi ulikua hutoi dada akaona apambane na kazi aingize hela aweze kuishi
 
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.
Jibu hoja achana na ku attack vitu personally umefilisika kihoja, jf sio beauty pageant useme wanabagua wachangiaji wewe mrombo au umeshalewa Ile chang'aa inayowamaliza wanaume nguvu za kiume huko ROMBo ndio maana mke kakukimbia, usituchafue wanawake wa humu kwa kujificha na sura mara tackle that's very low to a great thinker.
Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Muwe mnasoma na kuelewa. Msiwe mnarukia mambo bila kuelewa!

View attachment 2037959
Umemchukulia hivyo
Na km ushajua udhaifu wake
Acha mambo ya kupika yafanywe na binti wa kazi ambae mshamfundisha

Ama section ya kuku na samaki afanye dada
Mama afanye anayoyaweza zaidi

Ama unahisi wewe as a husband and father uko kamili gado kila sehemu 100%??
Mkeo angefunguka hapa tungeshangaa
 
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.


Je umewezaje kuyafahamu hayo usemayo?

Je umetumia kipimo gani kujua hayo ili yamkini tuweze kusadiki uyasemayo?

Tafadhali elezea kwa kina.
 
Mwanaume machine napo msingi, ukiwa unampiga mkeo mkuyenge na kumkojoza hata kugombana kutaisha kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kumbe ugomvi sio wa pesa tu! Nafikiri ifikie wakati ndoa ziwe kwa ajili ya starehe za ngono tu kila mtu aishi kwake tu...
 
Umemchukulia hivyo
Na km ushajua udhaifu wake
Acha mambo ya kupika yafanywe na binti wa kazi ambae mshamfundisha

Ama section ya kuku na samaki afanye dada
Mama afanye anayoyaweza zaidi

Ama unahisi wewe as a husband and father uko kamili gado kila sehemu 100%??
Mkeo angefunguka hapa tungeshangaa
Mwache aendelee kupika tu wakati mke anajua kabisa ni uzoba anaofanya kisha atavuka mitaa aende akampikie mwalimu wake wa GYM😅
 
Ok, mama. Ngoja nijaribu miaka mingine 12 tukiwa hai. Kwamba Watanzania wote mil 60 wanaweza kuwa na housegirl ni assumption nzuri! Sasa house girl wa house girl atatoka wapi, Malawi?
Umemchukulia hivyo
Na km ushajua udhaifu wake
Acha mambo ya kupika yafanywe na binti wa kazi ambae mshamfundisha

Ama section ya kuku na samaki afanye dada
Mama afanye anayoyaweza zaidi

Ama unahisi wewe as a husband and father uko kamili gado kila sehemu 100%??
Mkeo angefunguka hapa tungeshangaa
 
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.


Kwa taarifa yako unapaswa kufahamu kuwa hakunaga Mwanamke mbaya kwa sura au vyovyote [emoji108]

Mwenyezi Mungu ameumba kwa uzuri na kupendeza.

Usitake kukosoa kile Mungu alichokiumba kwa ukamilifu ukamkufuru wewe.

Kila Mwanamke ni mzuri .

Sometimes hutegemea anavyojiweka na matunzo tu.

Wewe Yani nachelea kusema ni mtu wenye wa aina fulani.
 
Back
Top Bottom