Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Achana na Hako ka mwanamke Ni kajinga kana mdomo mchafu Sana ..! Ukisoma anacho andika hum Ni utumbo wa kitimoto tuUnajifanya kutoa ushauri hapa lakin inawezekana wewe ni msimbe na singo maza, na hauoleki ( Nungayembe)
Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
True 💯You pay her to ASSIST, kumbe ni msaidizi si ndio, duties za msaidizi sio unambebesha zigo lote la nyumba yako. Atafua, atapika, atadeki, atafanya kazi Ila kumbuka the "home" is yours, majukumu ni yako sio yake.
Fanya kazi acha uvivu, halafu ujue mwanamke mvivu kufanya kazi za ndani ni naturally mchafu inside out, naturally hata sex hawezi/hapendi, mtu akiwa active na kazi za ndani automatically anakuwa msafi na hata 5x6 anaimudu vizuri.
Msimbe na singo maza mwingine huyu. Anajifanya expert wa mahusiano wakati mpaka umri huo anaelekea uzeeni hakuna mwanaume ameenda kwao kutoa mahari na aolewe kwa heshima. Anaishia kuzalishwa tu mtaani...🚮🚮🚮Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.
Corporate women are not for the weak men.
Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Nimefika Best.. Huu Uzi naona unasonga balaa..Na hisia zangu nyingi ziko hapo hii ilikuwa siri yangu miaka yote sasa imejulikana[emoji1732][emoji1732][emoji85]
Makiwendo Namuita shost yangu sijui kapotelea wapi[emoji848]
Kaendelee na ule uzi wako wa Mmaa.[emoji23]Aisee, hapo alidhamiria kabisa. Shingo ni very sensitive, lazima hisia zije, Ila inategemea mapenzi yenu niaje, wengine hata kushikana mikono hawawezi, sembuse kuchum shingo.
Apite shem Makiwendo aone ulivyoharibu mambo kwa kubusiwa shimgoni[emoji125][emoji23]
Teh akusifie? Watakuambia akusifie nini wakati hilo ni jukumu lako ila wao wanataka tuwe na shukurani hata wakitimiza majukumu yao!Jamani nimeufatilia huu mjadala Kwa karibu sana, wanaume mmefunguka, mmelalamika, Ila Naomba niulize, unalalamika mkeo hakupikii, hapangi nyumba, ni lini ulimsifia mkeo Kwa hizo shughuli? Jamani udhaifu WA mwanamke ni masikio yake, maneno matamu yanaweza kumfanya mke awe mtumwa wako na awakane hata ndugu zake.
Mimi huyu mbaba Kwa kweli nashukuru, anajua kuappreciate....nikimpikia ananisifia, si ofisini kwake, si Kwa ndugu zake wote wanajua mkewe anajua kupika[emoji23]...
Pia ananihamasisha, kidogo mara kanisuprise oven, mara mashine ya kusagia Nyama, mara food processor....Kwa nini nisimpikie hata Kama narudi kazini saa Saba ya usiku?
Sasa wewe huna muda WA kununua viamba upishi, unasubiri acheze vikoba anunue kisha unataka upikiwe....[emoji23][emoji23]
Wanaume mjiangalie mnajikwaa wapi, wengi mna visirani viso msingi.
Msimbe mwandamizi.... Singo maza 🚮🚮🚮Siwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
Mimi siuzi mbinu za kivita aisee[emoji23]Aisee, hapo alidhamiria kabisa. Shingo ni very sensitive, lazima hisia zije, Ila inategemea mapenzi yenu niaje, wengine hata kushikana mikono hawawezi, sembuse kuchum shingo.
Apite shem Makiwendo aone ulivyoharibu mambo kwa kubusiwa shimgoni[emoji125][emoji23]
KUNA WAKATI NI HERI WAZAZI WAKATENGANA/TALIKIANA KWA FAIDA YA WATOTO.Aisee. Pole sana, Hali ya kuota mapembe huwa inatokea kwa wanawake wachepukaji na kupelekea kuanza dharau kwa waume zao na kupelekea kuangusha ndoa zao.
Msingefikia hatua ya Talaka nina hakika mke wako angekuja kujirudi na kubadilika na kuwa mke baada ya kufikia umri fulani. Maana wanawake na watoto ndio wanaathirika sana mnapotengana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeweka kambi kule!!!
Single maza afu sura personal Nani akapende zaid katazalishwa afu wakatupilie mbaliMsimbe mwandamizi.... Singo maza [emoji706][emoji706][emoji706]
Nimekuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeweka kambi kule!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]nenda katie neno basi!!
Kule panakufaa wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nenda katie neno basi!!
[emoji23][emoji23][emoji23]pole jitunze kugegeda mke wako na utafte hela Ili uache kutukana humu jf. Tafta hela, tafta hela, tafta hela uache makasirikoMsimbe mwandamizi.... Singo maza [emoji706][emoji706][emoji706]