Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa


KWA NAMNA ULIVYO ELEZA, TAYARI NIMEJUA HUYU MWANAMKE NI WA KABILA GANI.
YEYOTE ALIYE OA HAWA WATU NDOA ZAO NGUMU, NI VILE WANAUME HATUNA UTAMADUNI WA KUSEMASEMA YA NDANI.
NI KWELI WAZURI WA SURA, UMBILE, AKILI ZA BIASHARA, WAMESOMA WAKO KWENYE TAASISI NYINGI ZA FEDHA,NK


SIFA HIZI ZINAWAPA UPOFU, ZINAFUNGA FAHAMU ZAO HAWAJUI HIZI HOME ACTIVITIES NI KICHOCHEO KIZURI CHA MAPENZI NA UPENDO.UNAOA MKE HALAFU UNAJIULIZA HIVI HUYU KUSIMAMA JIKONI NA KUPIKA HATA CHAI ILIKUWA MWAKA GANI?

NYUMBANI NI WACHAFU, WAVIVU, HAWAJUI KUPIKA, MALEZI YA WATOTO SIO KAZI YAO, KWENDA KUSALI WANAKWENDA KWA AJILI YA KUONEKANA TU, MAPENZI KITANDANI NI MZIGO, WANAPENDA MNO KUISHI KWA KUFUATA MACHO YA WATU, WANAPENDA KUFANYA YA KUWAPENDEZESHA WATU,KIBAYA ZAIDI WANA LUGHA NGUMU SANA SANA. NJE KWA WATU BAKI LUGHA NI NZURI NA LAINI SHIDA IKO KWA WATU WA NYUMBANI KWAO! NA HAWA NDIO WATESI WAZURI WA WAFANYAKAZI WA NDANI.

ZAMA ZETU HIZI KUOA NI RISK!NI HATARI KWA AFYA YA AKILI, MWILI NA ROHO.

KUNA WATU NIKISIKIA WANAOA WATU WA KABILA HIZI, NASIKITIKA SANA KWA SBB SIWEZI KUKUSHAURI UBADILISHE MTAZAMO WAKO KWA SBB TAYARI UKO KWENYE ULEVI WA MAPENZI. NA KUKULEVYA WANAJUA SANA... SASA OA INGIENI NDANI. RANGI ZOTE UTAZIJUA.
 
True 💯
 
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.

Corporate women are not for the weak men.

Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
Msimbe na singo maza mwingine huyu. Anajifanya expert wa mahusiano wakati mpaka umri huo anaelekea uzeeni hakuna mwanaume ameenda kwao kutoa mahari na aolewe kwa heshima. Anaishia kuzalishwa tu mtaani...🚮🚮🚮
 
Kaendelee na ule uzi wako wa Mmaa.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh akusifie? Watakuambia akusifie nini wakati hilo ni jukumu lako ila wao wanataka tuwe na shukurani hata wakitimiza majukumu yao!
 
Msimbe mwandamizi.... Singo maza 🚮🚮🚮
 
Mimi siuzi mbinu za kivita aisee[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUNA WAKATI NI HERI WAZAZI WAKATENGANA/TALIKIANA KWA FAIDA YA WATOTO.
 
Umeanza vizuri ila umemalizia hovyo hovyo, unaposema kukosea kuoa bora ukosee kuzaliwa unajua uzito wa hicho ulichokisema?

Usikufuru thamani yako ya kuzaliwa na vitu vya hovyo, unatakiwa kumshukuru Mungu kwa kukupa fursa ya kuzaliwa ukiwa hujakosewa.
 
Unaweza kuwa na harusi nzuri ila usiwe na ndoa nzuri, na unaweza kuwa na ndoa nzuri ingawa hukuwa na harusi nzuri.Harusi ni sherehe lakini ndoa ni maisha. Tuwe makini ambao bado hatujaoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…