Teh teh teh mmewaamulia leo[emoji1787][emoji1787]Pole sana mnajidanganya kwamba a woman cannot be a beauty with brains and her own hard earned money.
Kazee kana machungu haka sijui kaliokotwa mtaani?
#wachagga hawawi hivyo kenge we.
Peleka huko usingo maza na kuzalishwa nyumbani..hakuna mwanaume anaweza kufunga safari na ndugu zake wa heshima kuja kutoa mahari kwa takataka kama wewe. Msipotoshe mabinti wengine wenye maadili yaoLabda Dada Zako Mkuu.
Acha wazalishwe wivu wa nini, ulitaka uzalishwe na wewe?
Utapigwa miti tu na mimba hubebi.
#emperor my ass kuja na lingine am ready.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hebu niache jamaniNimekuruhusu leo shem, fanya kutoa tamko lako juu ya mma nifurahi![emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe watapima na watachagua kama wazalishwe kama mashangazi zako au watasoma na kujiendeleza kimaisha na kuchagua wanaume wanaoendana nao.Peleka huko usingo maza na kuzalishwa nyumbani..hakuna mwanaume anaweza kufunga safari na ndugu zake wa heshima kuja kutoa mahari kwa takataka kama wewe. Msipotoshe mabinti wengine wenye maadili yao
Na njia nzuri ya kupongeza msichana wa kazi ni kumla.unapandisha daraja, ukiweza mtafute chumba mpangishe. Huduma zifuate kulekuleYou pay her to ASSIST, kumbe ni msaidizi si ndio, duties za msaidizi sio unambebesha zigo lote la nyumba yako. Atafua, atapika, atadeki, atafanya kazi Ila kumbuka the "home" is yours, majukumu ni yako sio yake.
Fanya kazi acha uvivu, halafu ujue mwanamke mvivu kufanya kazi za ndani ni naturally mchafu inside out, naturally hata sex hawezi/hapendi, mtu akiwa active na kazi za ndani automatically anakuwa msafi na hata 5x6 anaimudu vizuri.
Uzi ufungwe maana umemaliza yoteNimeshtushwa na idadi kubwa ya wanaume wenye mtazamo kwamba wanawake wameshindikana
Najiuliza hivi ni kweli hawa ndio wale waumini wa imani zetu ambao wengi wao wanajua nafasi waliyopewa Mungu? Mbona kama wanakwepa kuvaa viatu vyao
Ninachoamini mimi mwanaume akiwa mwanaume kwenye nafasi yake haya maneno na lawama zitapungua. Haikanushiki kwamba Mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake...Mwanamke anahitaji kuongozwa, kupendwa na kutunzwa huku akirudisha heshma na shukrani kwa mwanaume
Heshma ya mwanaume inagharamiwa na mwanaume mwenyewe. Haiombwi
Jamani nimeufatilia huu mjadala Kwa karibu sana, wanaume mmefunguka, mmelalamika, Ila Naomba niulize, unalalamika mkeo hakupikii, hapangi nyumba, ni lini ulimsifia mkeo Kwa hizo shughuli? Jamani udhaifu WA mwanamke ni masikio yake, maneno matamu yanaweza kumfanya mke awe mtumwa wako na awakane hata ndugu zake.
Mimi huyu mbaba Kwa kweli nashukuru, anajua kuappreciate....nikimpikia ananisifia, si ofisini kwake, si Kwa ndugu zake wote wanajua mkewe anajua kupika[emoji23]...
Pia ananihamasisha, kidogo mara kanisuprise oven, mara mashine ya kusagia Nyama, mara food processor....Kwa nini nisimpikie hata Kama narudi kazini saa Saba ya usiku?
Sasa wewe huna muda WA kununua viamba upishi, unasubiri acheze vikoba anunue kisha unataka upikiwe....[emoji23][emoji23]
Wanaume mjiangalie mnajikwaa wapi, wengi mna visirani viso msingi.
Labda Dada Zako Mkuu.
Acha wazalishwe wivu wa nini, ulitaka uzalishwe na wewe?
Utapigwa miti tu na mimba hubebi.
#emperor my ass kuja na lingine am ready.
Teh teh teh mmewaamulia leo[emoji1787][emoji1787]
Peleka huko usingo maza na kuzalishwa nyumbani..hakuna mwanaume anaweza kufunga safari na ndugu zake wa heshima kuja kutoa mahari kwa takataka kama wewe. Msipotoshe mabinti wengine wenye maadili yao
Ndo wanapokwama hapo....wanasubiri mke acheze kikoba anunue, hapo hata kufuliwa lazima ufuliwe Kwa masimango mke akifikiria machungu ya marejesho.Hata kununua washing machine hawataki wanataka mke afue wakati zipo hadi za laki nne
Kazi kweli wabarikiwe wanaume wanaojielewa Na wanaowahurumia wake zaoNdo wanapokwama hapo....wanasubiri mke acheze kikoba anunue, hapo hata kufuliwa lazima ufuliwe Kwa masimango mke akifikiria machungu ya marejesho.
Sasa ulikua unashindaje kesi na wewe sio mwanasheria na kapuku?Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!
Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.
Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.
Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.
Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.
ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA
KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....Teh watakuambia uliona wapi kiongozi akaendelea kupiga kampeni hata baada ya kuchaguliwa? Hayo yote wameshaambiwa ila wanashupaza shingo tu!
Wewe nae mi walewale tu๐ฎ๐ฎ๐ฎMmezidiwa mnaanza toa povu
Unakwama [emoji57]
๐๐๐๐Wewe nae mi walewale tu๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Standard zao zinaishiaga twitter, we chagua kamoja slide dm hutaamini. Uzuri wa kule unaona kabisa majanga yako uliyojichaguliaWanawake wa twitter wana mambo ya ajabu sana mkuu. Wana standard za ajabu ajabu sana.
Na ndo sababu nikasema ushamba mkuu! Ogopa sana kuwa na mke mwenye mashosti ni hatari kwa afya ya ndoa... Mke wangu mimi ndo rafiki ake yani akitoka job anakuja officen kwangu tunakaa mpaka muda wakufunga ndo tunasepa dereva wake kazoea anamshusha hapo officen kwangu yeye Mbele....!!!! Kuwa na Pesa au elimu haimaanishi usitimize wajibu kama mke au mama lakini wanahitaji msaada wetu zaidi" yani usimfanye mtumwa na wewe saidia kama anapika wewe fua maana sisi ndo tunavyoishi om dada ni kwaajili ya mtoto na vikazi vidogo vidogo lakini izo heka heka nyingine tunasaidiana!!!! Sasa sijui maybe na mimi ipo siku nitayaona haya yanasemwa hapa ya wasomiSafi,! Narudia tena safi!
Nashangaa et kuna watu huko juu wanamtetea huyo mwanamke kivipi kiaje
Unapoolewa definitely wewe ni mke
Utakua responsible na kila kitu kinachohusu nyumba
Mwanaume atabaki Na familiakiujumla!
Et kwakua wew n mke wangu na nmekufhngulia biashara af hiyo biashara igeuke namna yakuninyanyasa tena
Ni Bampa to Bampa hakuna kulalaLeo humu kuna waanapasuka Yaan haaachwi mtu
[emoji23][emoji1787][emoji1787]Ndo wanapokwama hapo....wanasubiri mke acheze kikoba anunue, hapo hata kufuliwa lazima ufuliwe Kwa masimango mke akifikiria machungu ya marejesho.