Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Labda Dada Zako Mkuu.

Acha wazalishwe wivu wa nini, ulitaka uzalishwe na wewe?

Utapigwa miti tu na mimba hubebi.

#emperor my ass kuja na lingine am ready.
Peleka huko usingo maza na kuzalishwa nyumbani..hakuna mwanaume anaweza kufunga safari na ndugu zake wa heshima kuja kutoa mahari kwa takataka kama wewe. Msipotoshe mabinti wengine wenye maadili yao
 
Peleka huko usingo maza na kuzalishwa nyumbani..hakuna mwanaume anaweza kufunga safari na ndugu zake wa heshima kuja kutoa mahari kwa takataka kama wewe. Msipotoshe mabinti wengine wenye maadili yao
Wenyewe watapima na watachagua kama wazalishwe kama mashangazi zako au watasoma na kujiendeleza kimaisha na kuchagua wanaume wanaoendana nao.
 
You pay her to ASSIST, kumbe ni msaidizi si ndio, duties za msaidizi sio unambebesha zigo lote la nyumba yako. Atafua, atapika, atadeki, atafanya kazi Ila kumbuka the "home" is yours, majukumu ni yako sio yake.

Fanya kazi acha uvivu, halafu ujue mwanamke mvivu kufanya kazi za ndani ni naturally mchafu inside out, naturally hata sex hawezi/hapendi, mtu akiwa active na kazi za ndani automatically anakuwa msafi na hata 5x6 anaimudu vizuri.
Na njia nzuri ya kupongeza msichana wa kazi ni kumla.unapandisha daraja, ukiweza mtafute chumba mpangishe. Huduma zifuate kulekule
 
Nimeshtushwa na idadi kubwa ya wanaume wenye mtazamo kwamba wanawake wameshindikana
Najiuliza hivi ni kweli hawa ndio wale waumini wa imani zetu ambao wengi wao wanajua nafasi waliyopewa Mungu? Mbona kama wanakwepa kuvaa viatu vyao

Ninachoamini mimi mwanaume akiwa mwanaume kwenye nafasi yake haya maneno na lawama zitapungua. Haikanushiki kwamba Mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake...Mwanamke anahitaji kuongozwa, kupendwa na kutunzwa huku akirudisha heshma na shukrani kwa mwanaume

Heshma ya mwanaume inagharamiwa na mwanaume mwenyewe. Haiombwi
Uzi ufungwe maana umemaliza yote
 
Jamani nimeufatilia huu mjadala Kwa karibu sana, wanaume mmefunguka, mmelalamika, Ila Naomba niulize, unalalamika mkeo hakupikii, hapangi nyumba, ni lini ulimsifia mkeo Kwa hizo shughuli? Jamani udhaifu WA mwanamke ni masikio yake, maneno matamu yanaweza kumfanya mke awe mtumwa wako na awakane hata ndugu zake.
Mimi huyu mbaba Kwa kweli nashukuru, anajua kuappreciate....nikimpikia ananisifia, si ofisini kwake, si Kwa ndugu zake wote wanajua mkewe anajua kupika[emoji23]...
Pia ananihamasisha, kidogo mara kanisuprise oven, mara mashine ya kusagia Nyama, mara food processor....Kwa nini nisimpikie hata Kama narudi kazini saa Saba ya usiku?
Sasa wewe huna muda WA kununua viamba upishi, unasubiri acheze vikoba anunue kisha unataka upikiwe....[emoji23][emoji23]

Wanaume mjiangalie mnajikwaa wapi, wengi mna visirani viso msingi.

Hata kununua washing machine hawataki wanataka mke afue wakati zipo hadi za laki nne
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Sasa ulikua unashindaje kesi na wewe sio mwanasheria na kapuku?
 
Teh watakuambia uliona wapi kiongozi akaendelea kupiga kampeni hata baada ya kuchaguliwa? Hayo yote wameshaambiwa ila wanashupaza shingo tu!
Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
 
Safi,! Narudia tena safi!
Nashangaa et kuna watu huko juu wanamtetea huyo mwanamke kivipi kiaje
Unapoolewa definitely wewe ni mke
Utakua responsible na kila kitu kinachohusu nyumba
Mwanaume atabaki Na familiakiujumla!
Et kwakua wew n mke wangu na nmekufhngulia biashara af hiyo biashara igeuke namna yakuninyanyasa tena
Na ndo sababu nikasema ushamba mkuu! Ogopa sana kuwa na mke mwenye mashosti ni hatari kwa afya ya ndoa... Mke wangu mimi ndo rafiki ake yani akitoka job anakuja officen kwangu tunakaa mpaka muda wakufunga ndo tunasepa dereva wake kazoea anamshusha hapo officen kwangu yeye Mbele....!!!! Kuwa na Pesa au elimu haimaanishi usitimize wajibu kama mke au mama lakini wanahitaji msaada wetu zaidi" yani usimfanye mtumwa na wewe saidia kama anapika wewe fua maana sisi ndo tunavyoishi om dada ni kwaajili ya mtoto na vikazi vidogo vidogo lakini izo heka heka nyingine tunasaidiana!!!! Sasa sijui maybe na mimi ipo siku nitayaona haya yanasemwa hapa ya wasomi

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom