Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Umejitahidi sana miaka 15 🙌🙌🙌🙌🙌🙌wenzio masaa tu washavunja ndoa....
 
Ukishaanza kumdanganya wife mtakosana
 
Tatizo kutafta mke ambaye hajasoma ni mazoezi kwa sasa😅!!! Utampatia wapi labda uende usambaani huko Bumbuli ukalokote goigoi.

Wanawake ni nyie nyie mliosoma tutawaoa ila unajipimia tu size ya kero😂 ambazo unaweza vumilia! If you wanna mistreat your man sababu unaenda kazini then wapo ambao watavumilia mis treatments hizo 😅😅😅! Huwezi kosa boya wako wa kumpelekesha na kumpangia ratiba za papuchi sababu unaenda ofisini!

What i mean its irrelevant yani kuunganisha kazi na majukumu yako kama mke kwenye familia. Its never an excuse kabisa😎
 
Kukuhudumia haimaanishi anakua mtumwa kwenye nyumba yake. Ndoa ni kushirikiana na kusaidiana na sio sehemu ya mfalme na kijakazi wake. Kama mke anachoka anastahili kupata muda wa kupumzika, kutoka na marafiki zake maana maisha sio ndoa tu.

Yani kuna nyumba mama akiamka saa 11 asubuhi hadi saa mbili usiku hajapumzika anahudumia familia. There's no trophy in doing all of that na siku mwili umedhoofu huyo huyo unamuhudumia ndio wa kwanza kukusimanga umezeeka humvutii tena
 
Huyo mke anayeamka saa 11 na kumaliza kazi saa 2 usiku atakuwa na ram 500MB!

Wanawake are known for multitasking yani anaweza fanya mambo yake chap chap saa 3 kashamaliza kila kitu nyumba safi na kila kitu kiko on order. Anapumzika zake hadi saa 5 anajipikilisha saa 7 watu washakula!

Anakuja kujigusa saa 11 tena kuandaa cha usiku! Saa 1 kila kitu on point. Wanawake wavivu ndio hamkosi sababu na mara nyingi mke akiwa na mtoto mdogo huwa tunawawekea mabeki 3
 
Unaweza kuoa Samaki mwanzoni lakini akageuka nyoka huko mbeleni,hivyo hupaswi kujilaumu kwa sababu wewe ulioa samaki hukuoa nyoka.
 
Hapo kwenye bond na chemistry nmepaelewa aisee...unaweza kuwa na demu mkali had washkaj wanakuonea wivu ila ukawa huna bond nae na chemistry hakuna..ila ukawa na demu wa kawaida tu ila mka connect vibaya mno...yameshanitokea haya mambo
Yes na hyo chemistry na bond ndio watu wengi wanaikosa kwenye mahusiano, Kuna wale watu hutokea mna connect sana, ila ndio huwa watu ka hivo hamdumu
 
Duuh..pole sana.
Ila hapo kwenye samaki na kuku kuna mbadala.
Sidhani kama kuna ulazima wa yeye kukwarua samaki na kukata vinyeo, unless otherwise mnawavua wenyewe..
Wanaowauzia wanaweza fanya hayo mkipenda
Wale wanaouza huwa hawamalizi magamba na manyoya. Lazima uwasafishe wewe mwenyewe vizuri kumalizia takataka zilizobaki then marinate ufanye upendavyo . Hivi mwanamke na akili zake anampika samaki na magamba au kuku na manyoya kweli anaweza hata kufua pichu au kunyoa zivu??
 
Atapoteza ada tu 😅
 
Humo kuna kilaza Pro Max watoto wa date za KFC na Pizza Hut hao! Anajikojolea mpaka form 6 😅
 
Usiombe uchokwe mamawe hakuna rangi utaacha ona yaani mtu uishi nae miaka12 na ushee akulishe samaki na magamba[emoji848]we unaona ni sawa hii??unless kuna sehemu amevurunda ma ke akaona isiwe tabu utakula hivyohivyo bora liende
 
Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo kweli pepo....auze fridge anunue simu??? Huo ni mwanzo, siku atauza gari akanunue redio
 
Ndivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
Sio mgonjwa nakuambia...wapo watu wa hivyo kuna mmoja namfahamu ni msomi kabisa ila mambo yake ndio kama hayo uliyosema sijui wanakuwa na haraka ya wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…