Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Huwezi kuhudumia by 100% ila minor stuffs kama kutenga sahani mezani mkala na familia pia ni ishu! Eti ooh si wote tumetoka kazini! Nashukuru Mungu amenipa akili tu ya ku analyze mambo kwa upana.

Nawaonea sana huruma wanawake wa kileo yani ambao mnaendekeza usasa ila nilichogundua wengi ni wavivu by nature! Mnatafuta justifications tu za kukwepa majukumu yenu😀!

Haiwezekani eti mke ana complain kuweka chakula mezani ama kukupa glass ya maji ya kunywa au kutenga maji bafuni ambayo hata yeye hajayabandika. Housemaid kafanya yote.

Sometimes its better kukaa na housemaids kwa sisi mabachelor ukajua kabisa kuwa huyu kazi yake ni kufanya nyumba iwe safi na kupika tu! Akimaliza aache funguo aende zake. Kesho tena anaamkia usafi na kufua na kupika kisha anaacha chakula kwenye hotpot anaishia zake! Unamlipa hela tu kwa mwezi it saves alot kuliko kuwa na mtu unayemuita mke ila hawezi kufanya hata 20% ya yale ambayo anayafanya beki 3!
Hayo umetaja ni mambo madogo dogo sana mtu kushindwa kufanya, ingawaje kama unasikia kiu ya maji ukiyafuata kunywa mwenyewe unapungukiwa nini? au kupakua chakula kitu gani kinakushinda kufanya hivyo? Mimi nasema kazi zile kubwa kubwa za kusema usifuliwe au kupikiwa chakula na house maid wakati mke nae anachangia pato la familia.
 
Mimi nisaidiwe tu tena nitafurahi sana huwa nafanya kitu nikijiskia if I don't feel doing it naacha, Yani nafanya jambo kwa kuamua na sio kuwaza Ili nisisaidiwe what I know you can't please people hata ufanyeje binadamu haturiziki, so nafanya kujifuraisha I would rather allow my partner kufanya anachojiskia kuliko Kuni force kufanya nisichotaka kabisa.
Mama ya misimamo yake...
Ila mwanaume wako lazima awe muelewa sana ukiwapata hawa waliopo sokoni mda wote Hahaha lazima talaka iandikwe
 
Jukumu lako la msingi ni kufanya kazi za nyumbani na malezi kwa ujumla... Whatever you do, hakikisha jukumu hili unalitimiza at the expense of other issues.
Mume kama wewe na mke wa kipindi hiki hiyo nyumba ligi zisingeisha. ndio maana ndoa za sasa hivi talaka mwaka hauishi sababu wanawake wameamka na wao wanajua haki zao.
 
Siwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
Duuuh Mungu aniepushe na mwanamke wa aina hii, kwa hiyo mmeo hana shukrani, ila sidhani kama umeolewa
 
Hayo umetaja ni mambo madogo dogo sana mtu kushindwa kufanya, ingawaje kama unasikia kiu ya maji ukiyafuata kunywa mwenyewe unapungukiwa nini? au kupakua chakula kitu gani kinakushinda kufanya hivyo? Mimi nasema kazi zile kubwa kubwa za kusema usifuliwe au kupikiwa chakula na house maid wakati mke nae anachangia pato la familia.
Hahahahahah kweli kila mtu na mtuwe bila shaka ulipokuwa mdogo wakati mama yako anakutuma kila wakati ulikuwa unalalamika kwanini anakutuma tuma pamoja na kukunja sura!

Tuna changamoto sana ya malezi kama vijana tunaoingia umri wa kuwa washua. Ifikie wakati mujue kwamba kazi mnazofanya haziwaondolei hali ya kuwa wake!

Trust me hata uwe katibu mkuu UN uko still utagonwa na utazaa na utanyonyesha vile vile! Nafikiri kwa akili zenu za sikuhizi wale wazee waliokuwa wanahimiza msipelekwe shule walikuwa na mantiki sana sahizi ndo tunawaelewa vyema sasa. Mwanamke ukimuwezesha anazidi kuwa mjinga kuliko akiwa na utashi tu wa kawaida!

Feminist wengi walikuwa wanazikwa na huu mfumo tofauti na leo wana mapembe na wanaendelea kuharibu wenzao.
 
Wanaume tunapotea kwa kasi sana. Na twanamke tulivyotujanja hawa wanaume mabwege tunawasifia kuwa majentlomen... Basi ubwege ndiyo unajaa. Haha...
Eeh jamaa anaitwa jentomen anachekelea halafu upande wa pili mwanaume jeuri na mbabe anamchapia uwa lake kila akisafiri😅
 
Mume kama wewe na mke wa kipindi hiki hiyo nyumba ligi zisingeisha. ndio maana ndoa za sasa hivi talaka mwaka hauishi sababu wanawake wameamka na wao wanajua haki zao.
Kuna wanawake wengi tu wanaojitambua na kutimiza majukumu yao kama mke na mama. Isipokuwa feminists wachache ndiyo hawa wanaongezea kundi la single mothers kwenye jamii.
 
Yani mwanaume asiwe anaenda kutafta hela atakuwa na mApepo huyo, wengine watafta hela yeye yuko nyumbani kufanya kazi za house girl si mwendawazimu huyo
Sindio hawa mnaitaga majentromenz 😅 wanawa care sana yani!
 
Dah sikuhizi Hali imekuwa vice versa wanaume wanapenda kulelewa na wanawake wengi wana jishughulisha kutafta hela wanaume wao ni mwendo wa kubet tu, kwetu hata mtu ukitaka kuolewa wazazi wanauliza huyo mtu ana shughuli ya kumuingizia kipato halali na ni mzima kichwani, but unfortunately sikuhizi wanaume hawafanyi kazi na mahari hulipiwa na wanawake Sasa ukichangia na kutokujiamini kwa kukosa hela basi wanaume wanageuka toxic na kuanza kunyanyasa wanawake kila jambo basi Inakuwa dhambi kubwa
Labda hiyo type unayo izungumzia ww ndiyo unayo kutana nayo, ila wanaume wanaotimiza majukumu yao kuanzia kwenye kulipa mahali mpaka kutumiza majukumu yao ndani ya familia wapo wengi tu.

Tatizo wengi wao hawa wataki wabeijing na wanawake wanaotaka mashindano kama nyinyi. Mnawapata hao wanaopenda kulelewa na kwapa hela ya mahali wakawalipie, ili muwaendeshe.
 
Mume kama wewe na mke wa kipindi hiki hiyo nyumba ligi zisingeisha. ndio maana ndoa za sasa hivi talaka mwaka hauishi sababu wanawake wameamka na wao wanajua haki zao.
Sasa haki ipi ambayo inaruhusu wewe kukwepa majukumu yako kama mama wa familia 😅 mbona mnajiaibisha nyie!?
 
Back
Top Bottom