Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Acha ujinga na wewe!!! Sasa ili iweje mkuu? Ndo Sababu hawa wanawake wanatukimbia kama akili zenyewe ndo hizi.... Unajua mazara yakufanya ivyo mkuu?

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
Nafanya hivyo ku seize my lost powers and Authority

When she has nothing ,guess where she will go.

Hapo asijue tu akijua umeharibu
 
Umekosea au ulishindwa kwenda kasi na mkeo...???
Katika mahusiano lazima kuwa na adjustments hasa miaka 7 ya kwanza

Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
 
Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Mkuu nimecheka kama jambo la kufurahisha kumbe la kuhuzunisha ,nimefatilia michango ya wengi wanamtumia lawama jamaa hawajui changamoto za kuishi na mwanamke ,yaani wanamaauzi madogo madogo ambayo kwa mwanamme huwa ni makubwa ,wakati mwingine ndoa nyingi zinasavaivu kutokana na hatma za watoto ila zinalovunjika inakuwa hakuna namna watu walishajaribu njia zote na zimefeli ,
Haya mambo sio rahisi kama mtu anavyochangia humu na kutoa hukumu na lawama .
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole Sana mkuu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu

Umefanya la maana kupiga chini hiyo maneno

Haiwezekani eti baba katoka kazini akakuta kazi zake za nyumbani asifanye eti kachoka au eti mwanamke nae azifanye.

Na kazi za baba ni nyingi wanafanya:
Kurekebisha umeme wa nyumba,kuchimba mitaro,kupiga rangi,mafriji yakiharibika ni wewe,kubadili bulbs,kufweka,magari yakiharibika,ikitokea shoti,mabomba na masinki yakivuja au kupasuka,kuziba pancha,kubadili matairi,madirisha,paa likivuja,pipe za gesi zikiharibika,kununua hardware,kupanda sehemu zote ndefu,TV zikiharibika,mageti yaki-jam,watu wakija kuvunja usiku uzuie,kusimamia vibarua na mafundi wa kazi mbalimbali,etc

Baba hawezi toka kazini kazikuta hizo kazi eti asizifanye eti kachoka au eti mwanamke pia azifanye ni kazi sawa

Ila mwanamke akitoka kazini eti kupika ni debate eti sio kazi yake eti kachoka na baba nae apike

Then watu wapo hapa wadiscuss this nonsense,like really?

Tumefika huku?

Kazi za nyumbani zinaleta mjadala wote huu?

Ni ukosefu wa maadili tu na watu walikosewa kufundishwa gender based roles zao sawasawa!
Wababa hawa wa miguu juu na ulalamishi ndio wakubadilisha bulb na kufyeka kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapa hatuzungumzii heshima mkuu.

Tunazungumzia majukumu na kazi za nyumbani kwa wanandoa ambao wote wanaenda kazini na wote wanarudi nyumbani usiku huku kila mmoja akiwa na mwili wa nyama na amechoka.
Mkuu,

Primary responsibility ya mwanaume ni kuhudumia familia, wakati ya mwanamke ni kulea familia.

Ni jambo la ajabu sana mtu anapoacha au anaposhindwa kutimiza majukumu yake ya msingi akiwa busy na majukumu ya mwenzie.

Wewe fanya kazi, lakini kama unaona hauwezi kufanya kazi na bado ukatimiza majukumu yako ya msingi kama mwanamke chagua moja - kazi au familia.

Hakuna sababu ya kumlazimisha, yes kumlazimisha, mwanaume naye afanye majukumu yako.

Usione wanaume wabaya kwa sababu ya irresponsibility yako... With due respect.
 
Ndiyo maana nilisema ma corporate ladies mnawezana na hao wapenda kitonga na ndiyo mnaweza mkakaa nao kindoa na si vinginevyo.Mwanamme anayejielewa hawezi akaoa ndani watu kama nyie wa mashindano...mimi nilioa wakati bado hajawa corporate lady. ELEWA HILO
Mkuu inferiority complex imeua ndoa yako kizembe na wewe siutafte kazi ya ki corporate wewe ni stubborn in nature, ndio madhara ya kuoa mke kisa yuko vizuri financially, ona ndoa umezeeka eti una achana unafikiria asiye corporate ndio mambo mepesi eeeh.
Pole mkuu mkeo alikuwa mvumilivu sana Yani moments unampiga anakuvumilia tu I'm sure tukimleta na yeye atapika nyongo hapa utaukimbia huu uzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume wakubebewa maji bafuni akapimwe akili
Suala la kubebewa maji sio ishu kabisa , ishu ni kusema kua huwezi kumuhandle mumeo , ww nahisi unatakiwa ukapimwe mkojo aisee
 
Kwani kupika ni dhambi yeye apike ka anataka na anajiskia kufanya hivo no problem at all, Yani awe anaskia njaa na vitu viko afe njaa akisubiria mtu amfanyie, na ka amechoka ale huko huko ashibe Cha kufia nini?
😁😁 Unaongea tu hapa, lakini I am sure ukimkuta mtoto wako anafanya kazi za kike itakuwa habari nyingine.
 
Hilo ndo huwa nashangaa kwamba baba yake akimtuma ni sawa ila mumewe akimtuma anamuwekea ligi?

Ni changamoto za malezi nafikiri hizi na matokeo yake ndio haya hapo!

Mume akitoa order ni lazma itekelezwe bila kelele matatizo ya kuwa na mwanamke argumentative kwenye kila kitu ndio inakuja kuharibu watoto
Mkuu unaweza kuta sio chamgamoto za malezi

Wengi wao wamekengeuka ukubwani baada ya kuwa uwezo wa kuingiza senti mbili tatu ukichagiza ma harakati za ufeminisn ndio kabisa

Vichwa vimeota mapembe.
 
Kama wewe unalijua hilo kwamba ndoa haina chance ya ku survive kama mwanamke kampita mwanaume hela na elimu na kila kitu?

Inakuaje still unaenda kujiolesha kwake na unajua ana hizo "inferiority complexes"?

Na hii hoja ya inferiority complex mbona unawatumia wanaume tu yaani wanawake hawana?

Na ndoa zote zimevunjika kwa "inferiority complex" tu?

Stop this campaign bana
Inferiority complex inamfanya mwanaume awe kipofu wa kusimama ka head of family, Matokeo yake hata changamoto za kutatua kikawaida kwa kutumia akili yeye atalaumu kazi na kipato Cha mkewe kuwa ndio ina mpa jeuri, na kusahau kutofautiana kuko tu mtu awe msomi au lah, mtu anayelalamika badala ya ku solve tatizo na too much lawama yeye ndio ana shida
 
Mkuu

Umefanya la maana kupiga chini hiyo maneno

Haiwezekani eti baba katoka kazini akakuta kazi zake za nyumbani asifanye eti kachoka au eti mwanamke nae azifanye.

Na kazi za baba ni nyingi wanafanya:
Kurekebisha umeme wa nyumba,kuchimba mitaro,kupiga rangi,mafriji yakiharibika ni wewe,kubadili bulbs,kufweka,magari yakiharibika,ikitokea shoti,mabomba na masinki yakivuja au kupasuka,kuziba pancha,kubadili matairi,madirisha,paa likivuja,pipe za gesi zikiharibika,kununua hardware,kupanda sehemu zote ndefu,TV zikiharibika,mageti yaki-jam,watu wakija kuvunja usiku uzuie,kusimamia vibarua na mafundi wa kazi mbalimbali,etc

Baba hawezi toka kazini kazikuta hizo kazi eti asizifanye eti kachoka au eti mwanamke pia azifanye ni kazi sawa

Ila mwanamke akitoka kazini eti kupika ni debate eti sio kazi yake eti kachoka na baba nae apike

Then watu wapo hapa wadiscuss this nonsense,like really?

Tumefika huku?

Kazi za nyumbani zinaleta mjadala wote huu?

Ni ukosefu wa maadili tu na watu walikosewa kufundishwa gender based roles zao sawasawa!
Tuombe Mungu,haya maisha ya ndoa bila ya kuwa karibu na Mungu usitegemee muujiza...
 
Na kwa kuyajua hayo, tunakuwa hatuna muda wa kushinda na wanawake wenye viburi na ubeijing mwingi.
Ndio mtafte wanawake size yenu, mahusiano huwa hayana tofauti na kuvaa nguo au kiatu, ukichagua kiatu kikubwa lazima kikupelekwete tu, wewe hupendi design flani ya mwanamke ila Kuna wanaume Wana mpenda alivo na anaelewana tu
 
Inaonekana JF na Twitter ni dunia ya kipekee kabisa aisee. Sio kwa standars hizi zinazosetiwa humu. Japo naishi kwenye jiji na pia kuwa sehemu ya hawa corparate and very hectic women lkn sijawahi kushuhudia yaliyoandikwa humu.
[emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] wengine tunaish mikoan sio dar hivyo pambn nawakwenu
 
Dawa ya mwanamke jeuri kama wewe ni mimba kila mwaka hadi akili ikukae vizuri[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah Mimi na control uzazi na nitazaa mfululizo kama nitataka, kama staki sizai ng'o
 
Back
Top Bottom