Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Mkuu unaweza kuta sio chamgamoto za malezi

Wengi wao wamekengeuka ukubwani baada ya kuwa uwezo wa kuingiza senti mbili tatu ukichagiza ma harakati za ufeminisn ndio kabisa

Vichwa vimeota mapembe.
Hahahahahahah
 
Aisee unatumia kinywaji gani bili zote kwangu tafadhali[emoji28]
Hawa ndio sasa watu tunaowataka they know their places.

Hawa hata ukihonga range utaumja siku 2 utaishia kusema "aaaah!!! Halali yake bhana."

Niliwahi kumuonga mchepuko hela ndefu sana kisa nilipewa tu treatment fulani nilijihisi mfalme aisee maana huko nakotoka majanga tupu
 
Mwanamke utaenda jikoni hili halina mjadala.

Yaani kama unajielewa nafsi itakusuta tu utasikia kisu na nyanya utaanza kazi

Wakati mimi miguu juu nabadili channel tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natoa maelekezo, chakula kinapikwa, tunakupumzika tukisubiri kula. Mambo mbona mepesi tu ila mnataka kuyafanya yawe magumu hivi ndugu zetu[emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369]
 
Hawa ndio sasa watu tunaowataka they know their places.

Hawa hata ukihonga range utaumja siku 2 utaishia kusema "aaaah!!! Halali yake bhana."

Niliwahi kumuonga mchepuko hela ndefu sana kisa nilipewa tu treatment fulani nilijihisi mfalme aisee maana huko nakotoka majanga tupu
Hahahahahhaha wale watu wanajua kukaa maeneo yao sana
 
Kaoe type yako mkuu unaoendana maono Sasa Karne hii ya 21 unabebewa maji kwa ndoo bafuni ka si ushamba nini?
Mume wangu awaze vitu vikubwa vya kimaisha sio kuwaza mie nimubebee maji kwa ndoo maana hapo bado tutakuwa tunaishi kwenye poverty line
Ofcoz hatowaza cos wewe utafanya mwenyewe voluntarily bila kushurutishwa in constantly basis
 
Hayo ndio maamuzi yetu, tutaoa working class women, na watafanya kila kitu cha nyumbani...walileta fyko ni spana za kwenda tu[emoji23], msitupangie coz huyo Mungu alisema sisi tunaitawala dunia.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wanawake wenye kazi hamtaweza kuwaburuza kama magari mabovu maana tayari wanajitambua.
Mtaendelea kulialia humu[emoji16]
 
Hukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.

Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua
@cariha unamaanisha wanawake wote wenye uwezo ukiwatongoza ni kwamba umefata connection na hela?
 
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.

Corporate women are not for the weak men.

Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
[emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724][emoji724] wrooooooong,,, no one can tame a wild woman,,, hata alpha hawezi
 
Back
Top Bottom