Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Na ndo sababu nikasema ushamba mkuu! Ogopa sana kuwa na mke mwenye mashosti ni hatari kwa afya ya ndoa... Mke wangu mimi ndo rafiki ake yani akitoka job anakuja officen kwangu tunakaa mpaka muda wakufunga ndo tunasepa dereva wake kazoea anamshusha hapo officen kwangu yeye Mbele....!!!! Kuwa na Pesa au elimu haimaanishi usimize wajibu kama mke au mama lakini wanahitaji msaada wetu zaidi" yani usimfanye mtumwa na wewe saidia kama anapika wewe fua maana sisi ndo tinavyoishi om dada ni kwaajili ya mtoto na vikazi vidogo vidogo lakini izo heka heka nyingine tunasaidiana!!!! Sasa sijui maybe na mimi ipo siku nitayaona haya yanasemwa hapa ya wasomi

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
Hiiiiiiiiiih..., hao wanawake wanaowatuma kazi na mnafurahia ni kawaida au kuna namna akili zenu zimechezewa?

Swala la kumsaidia wife naweza kufanya kwa natakiwa yangi mwenyewe tu, na haliwezi kabisa kutokea kwakua wife kataka. Eti baba fulani leo fua nguo mimi nipike...😄 (Kwanza hata mwanamke mwenyewe hawezi kukuruhusu kufanya kazi za ndani kama anajitambua).

Ukinikuta napika(hii huwa ni fantasy yangu), nafua, au kazi nyingine unusual basi ujue nimetaka mwenyewe tena kwa kumlazimisha wife apumzike maana bila hivyo hawezi kuniruhusu kabisa. Mimi kazi yangu ni kutimiza mahitaji ya familia yangu na kupiga shoo ya maana kila ninapopata muda.

Kuishi kwa amani na mwanamke hauna ulazima wa wewe kujitoa heshima ya uume wako kufanya kila analotaka, wewe timiza majukumu yako kama mwanaume na yéyé atekeleze yake.

Tatizo mnaoa wanawake wasiowapenda na wanakuwa after vitu fulani kwenu na sio mapenzi ndomaana baada ya miaka 2 tu mwanamke kashakuchoka na hawezi kukufanyia kazi bila kunung'unika.

Uoe mwanamke anaekupenda, unatimiza kila kitu vizito (pesa + migegedo) alafu utumwe kazi???

Vijana acheni huo ujinga, ndomaana hâta wazee wamebaki kuwashangaa tu.
 
Jibu hoja achana na ku attack vitu personally umefilisika kihoja, jf sio beauty pageant useme wanabagua wachangiaji wewe mrombo au umeshalewa Ile chang'aa inayowamaliza wanaume nguvu za kiume huko ROMBo ndio maana mke kakukimbia, usituchafue wanawake wa humu kwa kujificha na sura mara tackle that's very low to a great thinker.
Hoja hujibiwa kwa hoja
Mrombo wapi huyu fala wa bukoba... kuchafuana tu. Humu wanaume wanaojipaishaga tunawaangalia tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hela zipo.?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Asilimia 80% ya wanawake humu JF wanaojikuta wanaharakati wa 50/50 na feminist wengi wao Wana sura personal tackless .! Sura za baba ,hawajawahi pendwa wakijiangalia kwa kioo Ni wanajiona madume.
Na wengi wao ndo wale waathirika wa Punyeto na vile vibomba vya chooni..! Walishajiwekea mbadala ya kumaliza nyege zao.
Dem mzuri lazima apendwe athaminiwe na automatically atajua wajibu wake kwa mme wake.
Hawa wabovu ambao hata kutembea nao njiani Ni shida au kwenda nao kwa harusi huwezi ..! hua Wana sum Kali anajua hawez pendwa kamwe.
*Hapa sizungumzii slay queen Wala wadangaji.
Wabovu? Wewe uzuri wako uko wapi bloo.?? Ndo mnachoweza kukandia wanawake wanaoweza kuwalisha kuanzia ukoo wenu mpaka na majirani? Halaf wa kwkao uliyemuumba yuko wapi?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu
Naona mke amekukamata vilivyo...mume anaanzaje kufua na kupika ikiwa mke yupo mzima wa afya kabisa?
Amemkamata wapi, haya ndo mapenzi yanayotakiwa!

Huyu mwanaume ni mjanja na atakula vinono kwa mke wake mpaka basi!

Mwanamke ukimuwezea na hizi care ndogo ndogo ni umemuwin milele, utapendwa mpaka ujishangae[emoji848]

We endelea kukaa kibabe, utakutana nayo mbele huko
 
Huo ndo ukweli hamjawahi pendwa mnakuja na bra bra ! Mwanamke anaependwa lazima akazwe vizuri na kupitia yote hayo ataijua nafasi yake Kama mwanamke ..!
Sasa nyie hamkazwi hampendwi ndo kutwa nzima mnaleta porojo Ni Lin mtamheshim mwanamme ? Gubu zimewajaa
Halafu ishu ya kupendwa watu wamependwa. It only didnt last. Hata wanaoooana ndoa hufa baada ya mapenz kufa. Mapenzi hayaangalii sura wala nyoko nyoko... kucrash wanawake kwa outlook zao ni kwa small boys wasiojielewa. ... men are supposed to be gently. Musijipe sana umuhimu kwa watu. Halaf sasa unakuta anayekupenda humpendi. Na unayempenda hakupendi. Vice versa is true. Kila mtu ana mtu wake ampendaye.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wewe cariha inaonekana ushapigwa matukio mengi na hujawahi kua na mahusiano yenye amani kaa chini jiulize..! Hayo yote unayo ongea hum kuhusu wanaume kamwe huwezi pata Mwanaume wa hvo ..! Kama utampata wa hvo inabid ustuke atakua na mapungufu..! Sio unyanyasaji Ni uhalisia wa Mambo .
Niko hapa kumpa cariha backup[emoji23][emoji23][emoji23] ishu si matukio maana waweza pia kuwa mpiga matukio ungali ukijiona mwema.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
House girl anafua mpaka boxer za baba mwenye nyuma na chupi za mama mwenye nyumba.


Mnh hiyo sasa itakuwa dhambi jamani kuwafanyisha kazi za namna hiyo watoto wa watu.

Hata kama mke amejifungua au anaumwa bora kumuomba ndugu yake wa damu amfulie na siyo yaya jamani!

Yani mtu anashindwaje kufua nguo za ndani ?

Unaloweka na sabuni kisha unafikicha kidogo na kusuuza kwa maji mengi na kuanika juani.
 
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Wanaume wengi wana mtazamo wa kale just imagine this century kuna washing machine badala ajiongeze aweke ndani mkewe asiteseke
Au wakae chini wazungumze anataka nini yeye anakimbilia kumdunda ona alichofaidika
 
Halafu ishu ya kupendwa watu wamependwa. It only didnt last. Hata wanaoooana ndoa hufa baada ya mapenz kufa. Mapenzi hayaangalii sura wala nyoko nyoko... kucrash wanawake kwa outlook zao ni kwa small boys wasiojielewa. ... men are supposed to be gently. Musijipe sana umuhimu kwa watu. Halaf sasa unakuta anayekupenda humpendi. Na unayempenda hakupendi. Vice versa is true. Kila mtu ana mtu wake ampendaye.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna namna nimekugusa au ndo umekuja kuwapa wenzio backup?
 
Back
Top Bottom