Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kwamba nifike kwako nianze kutafuta jiko lilipo nikajifatie kikombe kabatini?

Bora umutume tu huyo mmewako aniletee hayo maji.
Mkienda kwa watu punguzeni usumbufu usio wa lazima.
Si wewe hapa umetuambia kikombe kilikuwa karibu!kwanini usinyanyuke ukachukua?

Pia huwezi jua watu wamekubaliana kuishi vipi,,wewe umehudumiwa bado umekereketwa na mleta kikombe kweli mkuu!
 
Hayo mambo wafatafanya wanaume wenu mlenda mlenda, mnaowatuma wawafulie hadi vyupi?

Mwanamke mwenye akili atamtuma mumewe kikombe kabatini mbele ya wageni, ilihali yéyé amekunja miguu juu ya sofa?
Wewe ulitakiwa ufate mwenyewe unajua kuna vitu mtu jihudumue kabati unaliona hapo hapo,lingekuwa halipo hapo ndio ungeomba ,mnapenda sana kutuma tuma
 
Wewe ulitakiwa ufate mwenyewe unajua kuna vitu mtu jihudumue kabati unaliona hapo hapo,lingekuwa halipo hapo ndio ungeomba ,mnapenda sana kutuma tuma
Hahahahahaha[emoji16][emoji16][emoji16]

Mtu anatuma tuma kama ana ukilema hivi[emoji38][emoji38]

Before kuoa, anafua anapika anaosha vyombo na steelwire, lakin akiwa na mwanamke tu ghafla kawa kilema...

Mi hunitumi tumi asee kipuuzi[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Swala sio kuwasomesha aisee ishu ni mnavyo wa mould! Usidekeze mtoto wa kike hata siku moja. Muwafunze kuwa siku moja wataolewa na watatakiwa kufanya yote ambayo wanategea kufanya. Chapeni watoto wafanye kazi wazoee kazi!

Kiafrika mwanamke akiolewa household management ni kazi yake ya kudumu! Iwe usafi ama upishi na mazingira kwa ujumla. Bila kusahau malezi ya watoto.

Matokeo ya kuwadekeza ndio haya sasa mwanamke inafikia stage hata kuipikia familia anataka viwekwe vikao 😅😅😅 vya maridhiano!
Sasa hapo unazungumzia suala la malezi na personal attitudes ambazo tunatofautiana

Kuna wanawake wengi ni wasomi na wana nafasi kubwa lakini wakiwa nyumbani wanaacha nafasi zo na usomi wao huko kazini na they be obidient wives, responsible mothers and they play it so nicely

Unajua unaweza kulelewa kwenye maisha ambayo you have been taught to be a woman, lakini ukabadilika kutokana na hali za maisha, vyeo, elimu nk, hao wapo na ndio wanaofanya wanaume walalamike kwamba wanawake wasomi hawafai
 
Changamoto za wanaume wanaolalamika humu ni wale ambao hawana exposures na kukosa kuwa na kipato cha kutosha Kwa hiyo waongeze bidii ktk kufanya kazi na ubunifu wa kipato ili kutoka kwenye hayo malalamiko waliopo sasa.
Hahahah tunaomba kutambua kuwa babaako huenda ni Bhakresa au Gulam Dewji ila kama hayuko miongoni mwa hao na still alipikiwa na kufuliwa tafadhali ungekaa kimya ingefaa kusitiri ujinga wako kuliko kuuonesha hadharani!
 
Wewe ulitakiwa ufate mwenyewe unajua kuna vitu mtu jihudumue kabati unaliona hapo hapo,lingekuwa halipo hapo ndio ungeomba ,mnapenda sana kutuma tuma
Halafu mwenyewe kasema kikombe kilikuwa karibu,alishindwa nini kunyanyuka na kuchukua maji?!
Mgeni wa hivi kwangu simtaki aisee!
 
Hahahahahaha[emoji16][emoji16][emoji16]

Mtu anatuma tuma kama ana ukilema hivi[emoji38][emoji38]

Before kuoa, anafua anapika anaosha vyombo na steelwire, lakin akiwa na mwanamke tu ghafla kawa kilema...

Mi hunitumi tumi asee kipuuzi[emoji57][emoji57][emoji57]
Mgeni anakuja na kuanza kuwasumbua kuwatumatuma.
 
Halafu mwenyewe kasema kikombe kilikuwa karibu,alishindwa nini kunyanyuka na kuchukua maji?!
Mgeni wa hivi kwangu simtaki aisee!
Kuwaendekeza tu...mi nashukuru sijawahi kukumbana na mwanaume ambae kawa kilema baada ya kukutana na mimi....kazi za nyumbani tunasaidiana[emoji848]
 
Back
Top Bottom